Kama ni mfuasi wa shetani sema tu hakuna shida, yaani unaposema unaipendatu kuliko vitu vyote ndani kwako ina maanisha kama wewe ni mkristo au msilam unaipenda hiyo sanamu zaidi ya maandiko matakatifu.
Jinga kabisa hili
Leta uthibitisho sio story za vijiweni.
Aiseee! Kumbe unaamini propaganda za kijinga vile? Kile ni kitu ambacho yeyote anaweza kufanya.Mbona huku JF kuna watu wana avatar za ishara za Freemason unataka kusema nao ni Freemason kwa kigezo cha kutumia nembo zao?Angalia signs alizotumia kwny nasema nao,angalia wmbo wte wa mr nay af tafta cd yyt inayoongelea wasanii na freemason utajua nnachomean
Dah! Eti unaamini 100%.Who knows? Labda na wewe ni mwenzie katika hilo.Me naamin kwa 100% na co yy 2 hapa tz wapo wasanii na viongoz wa din shaz ambao ni wafuac wa shetan
Aiseee! Kumbe unaamini propaganda za kijinga vile? Kile ni kitu ambacho yeyote anaweza kufanya.Mbona huku JF kuna watu wana avatar za ishara za Freemason unataka kusema nao ni Freemason kwa kigezo cha kutumia nembo zao?
Dah! Eti unaamini 100%.Who knows? Labda na wewe ni mwenzie katika hilo.
Ila kama sio una shida sana kumuamini Ney ambaye yuko tayari kusema au kufanya lolote kwa ajili ya kupata kick mjini hapa.
Mbna unamtetea sana ni binam ako nn
May God hav a merc on yu cz u don no wt u r sayn
Aiseee! Kumbe unaamini propaganda za kijinga vile? Kile ni kitu ambacho yeyote anaweza kufanya.Mbona huku JF kuna watu wana avatar za ishara za Freemason unataka kusema nao ni Freemason kwa kigezo cha kutumia nembo zao?
We una uhakika gani kama si mfuasi na nani alishajitokeza akaleta na vithibitisho? Nisaidiwe tafadhali
Nani alikuambia YESU ni sanamu?Freemason hyo hakuna jngne kwnn acnnue sanam ya yesu au ya k2 chcht mpk annue ya shetan tena gharama kubwa hvo...jaman e mkubal au mkatae nay ni freemason kama unabisha jiulze kwnn anapendaga kusema nine double six yan 966 hyo 9 ukiigeuza chin unapata 6 so inakua 666 au angalia ule wmbo wa mr nay utapata majb
Me naamin kwa 100% na co yy 2 hapa tz wapo wasanii na viongoz wa din shaz ambao ni wafuac wa shetan
Kwani kuwa Freemason ndio ujanja au ndio kama prestige au rank fulani kuubwa sana ambayo inakupa Utofauti wa maana sana na watu wengine mbona ni jambo la kipumbavu tu wa kawaida yeye ndio anaona ni fahari na uniqueness while ni creepy cheaply lunatic.Na kuna wajinga wanaamini eti ni kweli na yeye ni Freemason. Huyu anataka kutushika tu akili zetu ila atawapata hao hao wajinga wenzie wa manzese huko.
Angalia signs alizotumia kwny nasema nao,angalia wmbo wte wa mr nay af tafta cd yyt inayoongelea wasanii na freemason utajua nnachomean
Mkuu unaandika kifacebook!umeshinda huko au???
Nay wa Mitego ni mtu wa maamuzi na mapenzi tofauti na wengine. Ndio maana ukiingia ndani kwake utakutana na sanamu isiyo ya kawaida ni sanamu ya shetani!
Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa sanamu hiyo ni moja ya vitu anavyovipenda zaidi ndani mwake.
Mimi naipenda na niliinunua hela nyingi tu, ni dola elfu tatu, amesema Nay.
Nilitokea tu kuipenda, ni moja kati ya vitu muhimu ninavyovipenda ndani ya nyumba yangu. Kuna sehemu niliinunua sio Tanzania. Mimi nilitokea kukipenda yaani naipenda sana tena sana na hata ukiingia ndani kwangu utaanza kuiona hiyo, amesisitiza rapper huyo
Kwani kuwa Freemason ndio ujanja au ndio kama prestige au rank fulani kuubwa sana ambayo inakupa Utofauti wa maana sana na watu wengine mbona ni jambo la kipumbavu tu wa kawaida yeye ndio anaona ni fahari na uniqueness while ni creepy cheaply lunatic.