Bashite wahedWw ukipiteza daftar au hela afu jamaa akakupa matumaini kuwa itafute tu iyo vizur kufika jioni utakuwa ushaipa na kweli kabla jioni haijafika ushaipata utaamini kuwa yeye ndo aliificha hela yako.....muwe mnatumia na akili kuwaza
Bavicha ni vigumu kuelewa coz washakalili diamondHah hah hah hah ha Makamanda bana hapo mbona liko wazi ni dongo kwa Roma.
Msihamishe mada kijanja hah hah ha hah.
Baada ya wasanii kuandamana baadaye jamaa kupatikana kana kwamba alisafiri kidogo amerudi kwa uchovu wa safari.
Ndipo true boy akastaajabu eeh kumbe "UnaTUCHEZEA SINEMA MPAKA WANA"....
Una
Una....
Una....
Unatuchezea...
Binafsi nilielewa Bashite anazijua Hip hopMOVIES hivyo kwake ni kamchezo kaa kitoto ukitegemea yeye anawachezesha mauno hadharan mpaka viongoz wa din unategemea nini?Ulielewa maneno ya bashite kuwa ndugu zetu wote wanne watapatikana kabla ya j2 wakiwa salama, umeelewa nini hapo?
Diamond ana njaa?!!!Diamond....
KADA
Ha ha ha... bora mitangao ya kijamii ifungwe maana daaaah hatutakuja kupata maendeleo kamwe
Nani kati ya ulio wataja unafiri ni mwana (rafiki) kwa ney??Nani huyo anaecheza sinema, bashite, au huyo roma
Ukiwa na akili ndogo na ukazoea kulishwa kila kitu.....unakuwa huna Uhuru w kuwaza na kuwazua ni sawa na mtu aliezoea kuangalizia kwny mtihani hata swali rahisi ataangalizia tu, ndo akili zenu bavicha.....ni janga kwa taifaBashite wahed
Sakata la kutekwa kwa Roma limezidi kupamba moto baada ya Nay kushitukia Rafiki yao aliwachezea sinema.
Kwenye ukurasa wake ameandika haya.
naytrueboy1. Unatuchezea Sinema mpaka wana.?! F***k.! Njaa zitatuua.
#Wapo☝️
- naytrueboy2. Una Sign mkataba wa kucheza Sinema yenye Quality Mbovu, Tena inayo Rekodiwa kwa Camera ya Simu.?! Unategemea nini.? Nakuvua vyeo ata Kama Mkataba ni Mnono, Itaku Cost tu na utayumbisha Career yako.!
Mwana Katoa Bokoo.!
Ili dongo either Dai au RomaSakata la kutekwa kwa Roma limezidi kupamba moto baada ya Nay kushitukia Rafiki yao aliwachezea sinema.
Kwenye ukurasa wake ameandika haya.
naytrueboy1. Unatuchezea Sinema mpaka wana.?! F***k.! Njaa zitatuua.
[HASHTAG]#Wapo[/HASHTAG][emoji121]️
- naytrueboy2. Una Sign mkataba wa kucheza Sinema yenye Quality Mbovu, Tena inayo Rekodiwa kwa Camera ya Simu.?! Unategemea nini.? Nakuvua vyeo ata Kama Mkataba ni Mnono, Itaku Cost tu na utayumbisha Career yako.!
Mwana Katoa Bokoo.!
Mpk roma anatengeza kiki ya kutekwa daah mpk siaminiYa hi nchi imekua ya kiki kila siku
Alafu Nay anamalizia "Njaa zitatuua" nan huyu mwenye njaa?Ukiwa na akili ndogo na ukazoea kulishwa kila kitu.....unakuwa huna Uhuru w kuwaza na kuwazua ni sawa na mtu aliezoea kuangalizia kwny mtihani hata swali rahisi ataangalizia tu, ndo akili zenu bavicha.....ni janga kwa taifa