Atacms
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,884
- 8,924
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sikuwahi kumfuatilia huyu dogo, imeniuma sana kufariki kwake, Nilikuwa naweza kusaidia kwa lolote, Una macho Ya ndani ,Nataman ningesoma reply zakoni stry ya ukweli..huyu dogo anahitaji sana ukaribu na watu..amekata tamaa binafsi namfahamu kupitia hiishida yake hii
sikuwahi kumfuatilia huyu dogo, imeniuma sana kufariki kwake, Nilikuwa naweza kusaidia kwa lolote, Una macho Ya ndani ,Nataman ningesoma reply zako
Nilikuwa nawasiliana nae pia na Alinambia anakujua...
Sijacomment popote pale hadi mtu mmoja anipe confirmation kama ni kweli kafariki maana nina doubts zangu. Si kwa ubaya lakini
Sijaamini hadi sasa
Ni kweli hajawahi kupatikana toka simu zianze kufungiwa. Kuna mtu anafuatilia hiyo issue sister, atatupa habari kamili maana mimi hadi saa hii naona many gaps yaani story haikamiliki unless nipate confirmationHata mm sijaamin..nimepekua sana simu zile nambq zake zingn sjaona ..nadhan zilikua kwa simu nyingine .napiga zantel wanadai amefungiwa