Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,428
- Thread starter
- #161
Ahsante sana, sikuwahi kuwaza kama nina kipaji, nawapa shukrani za dhati, asanteni sana.
Simulizi iliyoandikwa na mtu mwenye kipaji utaijua pale ambapo utakapogusa mstari wa kwanza huwezi kuiacha kuisoma hadi mwisho. Sina sababu ya kukuvisha kilemba cha ukoka. Nitasoma simulizi uliyoniambia kwamba uliiandika. Najiandaa kufurahia andiko lako