Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Pia nljaribu kifo kama mshikajiDuh..had nimesisimka...kwann sasa alikubali mfunge ndoa..maskini..ss ndoa ukaahirisha au??huyo naye ana damu ya umalaya...duh...jamani...wengine tùkishapata mimba hata salam ya babako mzaz unatapika..ht salam huwez kumsalimia mwanaume mwingine yyt yule..uwiii..watu wana guts mbaya...pole sana mpendwa
Lakini baadae nljua nkifa ntawapa point kubwa sana hawa jamaa
Nkaamua kupambana , kuna siku nlipanda mpaka juu ghorofani ilkua mwanza hapo mzee ndo najiandaa kujirusha , aahah [emoji28]
Kilichotokea , huwa namshukuru Mungu
Vidonge nimemeza sana ani
Ila baadae nliona ni ujinga , mwanaume kupambana
Mi nkaamua nishike elimu basi hiyo.ndo ikawa hope yangu , kusaidia watu kadri nnavyoweza
Niishie hapa , other things must be disclosed for my identity !
Ila jamaa asikate tamaa , atakuwa happy kama dogo hapo chini