Nayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana

Nayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana

i wish ningeishi kama wewe ila ndo imeshindikana, Mungu amegoma na hataki niwe hivyo. anataka niwe mtu wa huzuni/hofu na depression muda wote ndo furaha yake hiyo. Ndomana akanipatia wazazi wasiojua wanamkuza mtu wa aina gani kwa malezi yao ya vitisho na kutojali ndani yake.
Nilitamani kukuunganisha na MTU akusaidie lakini umenivunja moyo kumtamka Mungu kwa lugha utumiayo na kulaumu wazazi wako kiasi hiko

Sikh ukijua Mungu hakosei na wazazi in baraka yako utatubu na kuwaomba wazazi msamaha na ndio utakua mwanzo was mausha yakk kubadilika
 
Pole sana, kwanini usifuatilie (sijui wanavipata wapi) vifaa vya kuvaa masikioni vitakavyoweza kukuongeza uwezo wa kusikia, lakini pia kuna vyama vya walemavu wa kusikia na kuona nadhani, kwanini usiende kwenye hicho chama kwa sababu kuna watu wazima wanaweza kukushauri cha kufanya na jinsi ya kupata hicho kifaa cha kuvaa masikioni
 
Asante kwa mawazo, kuhus vfaa na matibabu nilikwishafaya sikufanikiwa, vifaa havina msaada.

Vyama hivi ni kweli vipo, lakini ofisi ipo mkononi, pia kuwapata hao viongozi ni shida kwan wanaendesha shughuli zao binafsi ofisi huwa haigunguliwi.

Kwa ufupi hata NGos nimejaribu lakin mafanikio hamna, uwajibikaji wa wahusika hauridhishi, inakatisha tmaa sana
Pole sana, kwanini usifuatilie (sijui wanavipata wapi) vifaa vya kuvaa masikioni vitakavyoweza kukuongeza uwezo wa kusikia, lakini pia kuna vyama vya walemavu wa kusikia na kuona nadhani, kwanini usiende kwenye hicho chama kwa sababu kuna watu wazima wanaweza kukushauri cha kufanya na jinsi ya kupata hicho kifaa cha kuvaa masikioni
 
Asante kwa mawazo, kuhus vfaa na matibabu nilikwishafaya sikufanikiwa, vifaa havina msaada.

Vyama hivi ni kweli vipo, lakini ofisi ipo mkononi, pia kuwapata hao viongozi ni shida kwan wanaendesha shughuli zao binafsi ofisi huwa haigunguliwi.

Kwa ufupi hata NGos nimejaribu lakin mafanikio hamna, uwajibikaji wa wahusika hauridhishi, inakatisha tmaa sana
Aisee...... so sad
Nitakufuata PM angalau tuwe tunachart whatsup manake hujafa hujaumbika, umenifikirisha sana! Yesu azidi kukutunza utatoboa tu siku moja
 
miguu ya kuku, Ok yote uliyosema ni dhahiri ndio mahitaji yako ya msingi.

Kuna mahali uligusia elimu lkn inaonyesha hukumaliza,

Akitokea mtu wa kukurudishia chuo , vipi kwasasa unaweza kurudi shule?
 
Thank you sanaaaa, natumaini Mungu atabaki kuwa mkuu milele hakika marafiki ni faraja.
Aisee...... so sad
Nitakufuata PM angalau tuwe tunachart whatsup manake hujafa hujaumbika, umenifikirisha sana! Yesu azidi kukutunza utatoboa tu siku moja
 
Kielimu, nilisoma business administration, sadlly i didnt manage to handle some matters hivyo niliishia certificate.

Nikasoma ualimu(primary) nikahitimu lakini kwa kuuomba uongozi wa chuo, hivyo nilimaliza na kupata GPA ya 3. 7

Lakini cheti sijakikomboa kwani nadaiwa ada milioni 1. 1

Kujiendeleza chuo ni suala zuri am willing to go back kusoma, elimu haina mwisho.

Nikipewa choice ni wazi nitachagua ajira au mtaji, hata hivyo nitaheshimu mawazo ya mtoa msaada kwani hatufahamu ya mbeleni.
Ok yote uliyosema ni dhahiri ndio mahitaji yako ya msingi.

Kuna mahali uligusia elimu lkn inaonyesha hukumaliza,

Akitokea mtu wa kukurudishia chuo , vipi kwasasa unaweza kurudi shule?
 
Back
Top Bottom