Nayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana

Nayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana

Dunia haina usawa ndugu. Pole sana kwa unayopitia. Mara nyingi tunapopitia ugumu suluhisho huwa n gumu sana kupata japo utatuzi huenda ukawa upo around. Vipi kuhusu vifaa vya kusaidia kusikia ulishajaribu?
 
Najua pole yangu haitoshi
Ila jua tu kuna watu bado wana mioyo ya kutoa faraja angalau neno tu.
Mungu akusaidie sana maana ktk mapito ni Imani tu kwa Mungu ndiyo ivushayo.
 
Najua pole yangu haitoshi
Ila jua tu kuna watu bado wana mioyo ya kutoa faraja angalau neno tu.
Mungu akusaidie sana maana ktk mapito ni Imani tu kwa Mungu ndiyo ivushayo.

asante, nipo duniani kuwasindikiza wenzangu mnaoishi maana mimi siishi. Cha ajabu huyu Mungu wenu amekuwa mzito kunichukua baada ya kujaribu hatua kama zote za kurudi kwake. Mara mia ningeenda mie ruge wa clouds angebaki.
 
asante, nipo duniani kuwasindikiza wenzangu mnaoishi maana mimi siishi. Cha ajabu huyu Mungu wenu amekuwa mzito kunichukua baada ya kujaribu hatua kama zote za kurudi kwake. Mara mia ningeenda mie ruge wa clouds angebaki.
kwanza usamehe chochote ambacho unafikiri kilipelekea ww hali yako kufika hapo, samehe wazazi samehe mazingira samehe system zetu za elimu na walimu

Then kama hutojali jaribu tena kwa Imani kuwakubali watu waingie na kutoka kwenye maisha yako
Kumbuka maisha ni hayahaya kila mtu ana changamoto ila tu zinatofautiana majina.
 
asante, nipo duniani kuwasindikiza wenzangu mnaoishi maana mimi siishi. Cha ajabu huyu Mungu wenu amekuwa mzito kunichukua baada ya kujaribu hatua kama zote za kurudi kwake. Mara mia ningeenda mie ruge wa clouds angebaki.
We jamaa umekata tamaa so kufanikiwa itakuwa ngumu boss.. Mi mwenzako nina degree ys USDM ya PSPA na ninauza viatu karume na goli ni la mwana wa darasa la saba lakini maisha yanaenda, namkaza mtoto mzuri wa kihaya, nakula vizuri, weekend elegance kama kawa. I dont give a gaadm kwani siku ikitaka kuja itakuja tu.
 
We jamaa umekata tamaa so kufanikiwa itakuwa ngumu boss.. Mi mwenzako nina degree ys USDM ya PSPA na ninauza viatu karume na goli ni la mwana wa darasa la saba lakini maisha yanaenda, namkaza mtoto mzuri wa kihaya, nakula vizuri, weekend elegance kama kawa. I dont give a gaadm kwani siku ikitaka kuja itakuja tu.

i wish ningeishi kama wewe ila ndo imeshindikana, Mungu amegoma na hataki niwe hivyo. anataka niwe mtu wa huzuni/ hofu na depression muda wote ndo furaha yake hiyo. Ndomana akanipatia wazazi wasiojua wanamkuza mtu wa aina gani kwa malezi yao ya vitisho na kutojali ndani yake.
 
i wish ningeishi kama wewe ila ndo imeshindikana, Mungu amegoma na hataki niwe hivyo. anataka niwe mtu wa huzuni/hofu na depression muda wote ndo furaha yake hiyo. Ndomana akanipatia wazazi wasiojua wanamkuza mtu wa aina gani kwa malezi yao ya vitisho na kutojali ndani yake.
Umejiita maiti na haujui kwamba neno linaumba?
 
Ooohhhhhhpss pole sana mkuu daah!!!!!!

Wale wote walio kuwa wamekudhihaki na kuku kashifu humu baada ya kuanzisha uzi wa kuomba msaada

Sijui watajisikiaje baada ya kuusoma huu uzi ''Bila Shaka watafurahi maana mijitu katili huwa haina hata chembe chembe za huruma. ...Huyo aliye kuambia u-post thread yako. .Nature imlaani tena alaanike haswaa period


Angemtaja kabisa...naukumbuka ule uzi wake..
 
i wish ningeishi kama wewe ila ndo imeshindikana, Mungu amegoma na hataki niwe hivyo. anataka niwe mtu wa huzuni/hofu na depression muda wote ndo furaha yake hiyo. Ndomana akanipatia wazazi wasiojua wanamkuza mtu wa aina gani kwa malezi yao ya vitisho na kutojali ndani yake.
Hapana kaka, let us hook up this Friday tuanzie Tips mpya ya bahari beach nakupa mtoto wa kubambia kwenye borne fire then later we hang out at Elegance. All things on me my boy, this world is ours nicca and we aint going nowhere.

Usikate tamaaa, i will text you my watspp number i am sure utasahu kaka. Nimeishi Mtwara najua hapo hakuna good time kivile. So naeza pia kukulink na mwanangu anaitwa chapa ilale yupo TRA. nataka kwanza ule good time na ule watoto wazuri wawili watatu. Then hustle baadae sanaa.
 
Back
Top Bottom