Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana
Unaishije kwani tafadhali kama hutojali
Najua pole yangu haitoshiSocialphobia, anxiety, depression, panic attack inaniua taratibu! Msaada
Kama ni udongo Mungu kaumba basi mimi ni udongo wa mwisho kabisa tena mfinyanzi/ tifutifu. Niombe radhi kwa aina ya uandishi mbovu, nitakayoandika hapa maana ni matokeo ya anxiety. Mimi ni kijana mwenye umri 29, ambaye mpaka sasa siwezi kujieleza, sina confidence, sijui kipaji changu, sina...www.jamiiforums.com
So insensitive of you😌😌Kumbe wewe ni kiziwi,sasa mbona unakuwaga mbishi
Najua pole yangu haitoshi
Ila jua tu kuna watu bado wana mioyo ya kutoa faraja angalau neno tu.
Mungu akusaidie sana maana ktk mapito ni Imani tu kwa Mungu ndiyo ivushayo.
kwanza usamehe chochote ambacho unafikiri kilipelekea ww hali yako kufika hapo, samehe wazazi samehe mazingira samehe system zetu za elimu na walimuasante, nipo duniani kuwasindikiza wenzangu mnaoishi maana mimi siishi. Cha ajabu huyu Mungu wenu amekuwa mzito kunichukua baada ya kujaribu hatua kama zote za kurudi kwake. Mara mia ningeenda mie ruge wa clouds angebaki.
Ni story au really?
We jamaa umekata tamaa so kufanikiwa itakuwa ngumu boss.. Mi mwenzako nina degree ys USDM ya PSPA na ninauza viatu karume na goli ni la mwana wa darasa la saba lakini maisha yanaenda, namkaza mtoto mzuri wa kihaya, nakula vizuri, weekend elegance kama kawa. I dont give a gaadm kwani siku ikitaka kuja itakuja tu.asante, nipo duniani kuwasindikiza wenzangu mnaoishi maana mimi siishi. Cha ajabu huyu Mungu wenu amekuwa mzito kunichukua baada ya kujaribu hatua kama zote za kurudi kwake. Mara mia ningeenda mie ruge wa clouds angebaki.
We jamaa umekata tamaa so kufanikiwa itakuwa ngumu boss.. Mi mwenzako nina degree ys USDM ya PSPA na ninauza viatu karume na goli ni la mwana wa darasa la saba lakini maisha yanaenda, namkaza mtoto mzuri wa kihaya, nakula vizuri, weekend elegance kama kawa. I dont give a gaadm kwani siku ikitaka kuja itakuja tu.
Umejiita maiti na haujui kwamba neno linaumba?i wish ningeishi kama wewe ila ndo imeshindikana, Mungu amegoma na hataki niwe hivyo. anataka niwe mtu wa huzuni/hofu na depression muda wote ndo furaha yake hiyo. Ndomana akanipatia wazazi wasiojua wanamkuza mtu wa aina gani kwa malezi yao ya vitisho na kutojali ndani yake.
Ooohhhhhhpss pole sana mkuu daah!!!!!!
Wale wote walio kuwa wamekudhihaki na kuku kashifu humu baada ya kuanzisha uzi wa kuomba msaada
Sijui watajisikiaje baada ya kuusoma huu uzi ''Bila Shaka watafurahi maana mijitu katili huwa haina hata chembe chembe za huruma. ...Huyo aliye kuambia u-post thread yako. .Nature imlaani tena alaanike haswaa period
Umejiita maiti na haujui kwamba neno linaumba?
Hapana kaka, let us hook up this Friday tuanzie Tips mpya ya bahari beach nakupa mtoto wa kubambia kwenye borne fire then later we hang out at Elegance. All things on me my boy, this world is ours nicca and we aint going nowhere.i wish ningeishi kama wewe ila ndo imeshindikana, Mungu amegoma na hataki niwe hivyo. anataka niwe mtu wa huzuni/hofu na depression muda wote ndo furaha yake hiyo. Ndomana akanipatia wazazi wasiojua wanamkuza mtu wa aina gani kwa malezi yao ya vitisho na kutojali ndani yake.
Tumfanye awe huru kama sisi, tumfanye ajione kama sisi. Abishe, atukane, na yeye kama vipi weekend hii apatiwe mtoto mzuri mwenye shep ya birika aone dunia ni sehem sahihi kwake.Hey..sorry..huenda hujanielewa!
Indeed!Sad sad sad. ...