Nayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana

Nayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana

Moja ya njia ya kupata ahueni ya yaujazayo moyo ni kuyatoa tena kwa jf ni rahisi sababu ya anonymity, jipe moyo mkuu!
Frightening world..!

May be one day nitapata courage to utter my story.

Huwa najiuliza kwann Mungu aliruhusu nipitie haya...?

R.I.P Age Mate.
 
Mpauko sasa marehem mbona uko online??? Nivip hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20200225-140002.png
 
UNSPECIFIED nakuomba na ninajua una huu uwezo..kuna dogo namkubali sana...anajituma sana ila hajapata kazi ...msaidie..mm ameomba nimsaidie ila ss hv n hz mvua mambo yanaenda mradi...

Na mm nna watu watatu nyuma yangu sijaona wa kumtoa coz nao wanahitaj msaada wangu..naomba niwe mdhamini wake mimi...umsaidie kazi tena ikiwezekana km ya yule chalii ulomrudisha...!

poptoe pale anafit...ukikubali nauli ntatoa mimi!yuko Dar nw!
 
Makiseo,

Amen love. Naamini ananibariki tu!..leo moyo wangu unauma!...huyu dogo had saa8usk anakutxt..anakuambia mama sijala toka jana natetemeka ...jamani !

nashukuru sijawah muignore hata siku moja!yaani ningekuwa nimewaza mbali zaidi huyu ningemshawishi hubby tuishi naye tu mradi kuishi naye! Kilikua kilio chake daily mama nisaidie nitoke hapa nyumbani😭😭😭😭
 
Wangari Maathai, Nilikuwa nawasiliana nae pia na Alinambia anakujua...


Sijacomment popote pale hadi mtu mmoja anipe confirmation kama ni kweli kafariki maana nina doubts zangu. Si kwa ubaya lakini

Sijaamini hadi sasa
Ladt visit yake ni tatehe 19 jan
 
Nimeshapewa confirmation ni kweli amefariki.
Last time nilichat nae whattsap tar 19.1 af kajiua 20. Its really heartbreaking ..i'm literally speechless brother

Wangari Maathai


Alikuambia nn?...dah..mm moyo unauma..aliwah niomba nimfanye kuwa mwanaye nikamwambia ww ni mwanangu...utofauti uko mbal tu na wanangu ..jaman kumbe ningemleta tu kwangu ..aliwah had nitaftia mdada wa kazi😭😭😭😭
 
Amen love. Naamini ananibariki tu!..leo moyo wangu unauma!...huyu dogo had saa8usk anakutxt..anakuambia mama sijala toka jana natetemeka ...jamani !...nashukuru sijawah muignore hata siku moja!yaani ningekuwa nimewaza mbali zaidi huyu ningemshawishi hubby tuishi naye tu mradi kuishi naye! Kilikua kilio chake daily mama nisaidie nitoke hapa nyumbani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Jamani.. Nimetoa hadi Machozi..Pole sana Dear.. Nakumbuka aliwahi kunichek siku moja DM.. Naomba Mungu anisamehe sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuambia nn?...dah..mm moyo unauma..aliwah niomba nimfanye kuwa mwanaye nikamwambia ww ni mwanangu...utofauti uko mbal tu na wanangu ..jaman kumbe ningemleta tu kwangu ..aliwah had nitaftia mdada wa kazi😭😭😭😭

Alikuwa akiniomba niwapigie watu wa iringa simu kwa ajili ya ORDER ya bidhaa maana hakuna uwezo mzuri wa kusikia. Sikufanya hivyo kiukweli na tukabishana kiasi maana alikuwa short tempered. Sikujua next day angejimaliza
 
Hebu funguka...to speak pia ni healing

I appreciate your concern Mkuu. Be blessed.

The bad thing about my story ni kuwa "naumizwa sana na mambo ambayo ni mwiko kusema."

Kuna moments huwa nasikia uchungu mpaka kifua kinawaka moto, saa nyingine mpaka nalia, na kujifariji mwenyewe. Highly probable this is my Fate..!

I won't kill myself though.
 
We jamaa umekata tamaa so kufanikiwa itakuwa ngumu boss.. Mi mwenzako nina degree ys USDM ya PSPA na ninauza viatu karume na goli ni la mwana wa darasa la saba lakini maisha yanaenda, namkaza mtoto mzuri wa kihaya, nakula vizuri, weekend elegance kama kawa. I dont give a gaadm kwani siku ikitaka kuja itakuja tu.
Haha haaaa
Umewaza ngono tu, maaninah.
Ila nimependa ulivyo chukulia easy hili life.
Wewe kujiuwa ni ngumu.
 
Alikuambia nn?...dah..mm moyo unauma..aliwah niomba nimfanye kuwa mwanaye nikamwambia ww ni mwanangu...utofauti uko mbal tu na wanangu ..jaman kumbe ningemleta tu kwangu ..aliwah had nitaftia mdada wa kazi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
He ! Makubwaa michozi inanitoka hapa ngoja nitoke humu kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndama dume, Pole Sana mkuu.
Siku nyingine ukibahatika kupata nafasi Kama hiyo usiipoteze..

Mungu hupitisha msaada kwa Watu kama Hawa kupitia binadamu ambaye Ni Mimi na wewe.

Unapofanya kumsaidia na kumhurumia jua unamkopesha Mungu mwenyewe na amini Atakulipa..amini kuwa hiyo Kaz haufanyi bure Na usije acha kufanya kwa Sababu umetingwa na Mambo yako mengine.
Unaweza kuona Kama haupati chochote au unapoteza Muda lakini jua hiyo kazi si bure.

Omba rehema na toba kwa Mungu pia acha kujihukumu Sana.Mungu wetu Ni wa upendo anasamehe na kusahau kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saint Anne,
Mkuu ni kweli nilifanya kwa pale nilipo weza ila kujisikia kwangu hukumu ni pale alipotaka niwe karibu nae na niendelee kumpa mwanga na mawazo ila sikufanya hivyo,

Hapa ndipo nafika najiuliza yeye katangulia je! Itakuwaje pale nitakapoulizwa wewe ndio nilikupa nafasi ya kuwa mzazi ila ukiacha nitajibu nini mbele ya mwokozi Yesu.

Kiukweli nipo nimekaa nimeshindwa hata cha kufanya mwili wote umekosa nguvu naingia kwa maombi ya Toba ya msamaha na hata kwa watu wote humu Jf na uongozi mzima yakuwa nikiri wazi tumefanya dhambi twahitaji kutubu katika hili, maana hata wengine waliishia tu kumkebehi duuuh
 
Back
Top Bottom