Nayaona mafanikio ya Taifastars siku wachezaji wote wa JKT Tanzania watakapochaguliwa kuitumikia!

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
... πŸ‘‚ π— π— π—˜π—¦π—œπ—žπ—œπ—” π—›π—¨π—žπ—’ ?πŸ˜€

"Nayaona mafanikio ya Taifastars siku wachezaji wote wa JKT Tanzania watakapochaguliwa kuitumikia. Rejea ushauri wa Rais wa awamu ya tano"

©️ Masau Bwire.
Afisa habari wa klabu ya JKT.

Tom Cruz
 
Nchi ya wajinga hii taifa la watu milioni 70 linakosa wachezaji ishirini wa wakika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…