Mpira unaulazimisha ila sio fani yako tafuta mchezo mwingine ushabkie. Mechi ya Yanga dhidi ya Mamelodi Yanga hakucheza mpira wao wa kukabia kwa juu, bali waliwaacha Mamelodi wacheze ila Yanga ikaziba njia huku wakitegemea mipira ya counter attacks. Jambo lililofanya Mamelodi wapige pasi nyingi golini kwao na katikati ila wakifika golini kwa Yanga mipira wana nyang'anywa au Mamelodi kupoteza mipira kwa kupiga pasi ovyo.Kote umeongelea pressing....kasoro mechi hizo mbili walizocheza na MAMELODI hujasema wamecheza mfumo upi mkuu....unahisi hawakucheza pressing pia??
Kafungua njia kwa kuwasoma Yanga kimfumo na namna ya kucheza nao shida Iko wapi.....kwanza nilichompendea katoka adharani kwenye press na kusema ili kuwakabili Yanga nicheze ABC na ndicho alichokifanya.....Sasa hata Kama ww ni Kocha mfano wa namungo/pamba au timu yoyote ambaye mechi ijayo inakutana na Yanga, ni lazima utatumia mechi hii Kama referenceKwahiyo uliposema kuhusu kocha wa Ken Gold kufungua njia kwa makocha wengine, hii mechi ya Ken Gold na Yanga ambayo ulioizungumzia kwenye uzi wako ilikuwani ya mwaka
Subiri kesho mkuu Azam kawapeleka Zenji sio pale Taifa kwenye makorokocho tutajua mbivu na mbichiNa kama sio makosa ya kibinadamu leo mtu angeumbuka vibaya sana🤣🤣🤣View attachment 3106624
Akibadilika atafungwaKwani yeye hayupo dynamic kubadilika kutokana na mazingira?
Sawa nashukuruMpira unaulazimisha ila sio fani yako tafuta mchezo mwingine ushabkie. Mechi ya Yanga dhidi ya Mamelodi Yanga hakucheza mpira wao wa kukabia kwa juu, bali waliwaacha Mamelodi wacheze ila Yanga ikaziba njia huku wakitegemea mipira ya counter attacks. Jambo lililofanya Mamelodi wapige pasi nyingi golini kwao na katikati ila wakifika golini kwa Yanga mipira wana nyang'anywa au Mamelodi kupoteza mipira kwa kupiga pasi ovyo.
Mwenzio huyu hapa alikuja na uzi baada ya kuona Yanga imeshinda kwa mbinde msimu uliopita lakini pamoja na kuweka hizo mbinu adharani lakini huyo huyo Gamondi kawa bingwa wa NBC na FA na CAF kacheza robo fainali. Sio kwamba msimu uliopita hakuna timu zilizocheza kama Ken Gold zipo nyingi na zilicheza hivyo na zikafungwa. Ndio maana nikakuuliza wewe mpira umeanza kufatilia leo? Maana unaleta utumboKafungua njia kwa kuwasoma Yanga kimfumo na namna ya kucheza nao shida Iko wapi.....kwanza nilichompendea katoka adharani kwenye press na kusema ili kuwakabili Yanga nicheze ABC na ndicho alichokifanya.....Sasa hata Kama ww ni Kocha mfano wa namungo/pamba au timu yoyote ambaye mechi ijayo inakutana na Yanga, ni lazima utatumia mechi hii Kama reference
Kwa aidha;
1...kurekebisha makosa ambayo ken Gold wamefanya kwa kutumia muundo huo huo
2....kuboresho muundo huo huo ili kupunguza makosa ya ken gold
Kaka, unakuta baadae nae anajiita mchambuzi.Mwenzio huyu hapa alikuja na uzi baada ya kuona Yanga imeshinda kwa mbinde msimu uliopita lakini pamoja na kuweka hizo mbinu adharani lakini huyo huyo Gamondi kawa bingwa wa NBC na FA na CAF kacheza robo fainali. Sio kwamba msimu uliopita hakuna timu zilizocheza kama Ken Gold zipo nyingi na zilicheza hivyo na zikafungwa. Ndio maana nikakuuliza wewe mpira umeanza kufatilia leo? Maana unaleta utumbo
Jinsi ya kuifunga Yanga ya Gamondi
Nimeshuhudia ASAS Djibouti, KMC na hata JKT wote wakicheza mpira unaofanana walipocheza na Yanga ambao umesababisha wakaadhibiwa vibaya. Leo nitatoa maoni yangu kwa timu zingine zitakazokuja kucheza na Yanga siku, wiki na miezi inayokuja nini wanatakiwa wafanye ili wapate matokeo. Kwanza...www.jamiiforums.com
Kocha wa ken Gold kafungua njia kwa makocha wengi kimfumo namna ya kucheza na Yanga, ni vile Hana wachezaji sahihi wa kutekeleza TU ( alichosema kwenye press preMatch na Imani makocha wengi wataanzia hapo )
Nilishawahi kusema aina ya mpira ambao Kocha mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anafundisha ni mpya Sana hapa kwa soka LA afrika ( pressing )....kwa afrika Bado ijazoeleka kwa makocha wengi.
Kwa Yanga huu mfumo umeonekana kufanya kazi kuendana na wachezaji walio kuwa nao.... ( Nilielewa hichi kitu kuanzia mechi na MAMELODI )
Ila Sasa ni dhahiri makocha wengi wamemsoma na kuanzia kujua namna ya kucheza na mfumo huu ( watu hawalali wakuu )
Hata pep guadiola kipindi anakuja Mancheter City na saivi ni tofauti kabisa kabadili mfumo si chini ya mara mbili ili kuendana na ushindani baada ya kujua tayari kila wakati makocha wanamsoma mbinu zake
Soma Pia: FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024
Hivyo basi, kwa Gamondi naona linaenda kutoka na inawezekana baada ya mda akaondolewa kabisa au timu yake ikapotea....
Nawasilish
Tatizo unaandika ki shabikiTitle ipi mkuu?? Umesoma vzr??.....Unaujua mpr vzr?? Unaelewa kwenye mpira sio kila Kocha ana uwezo wa kubadili philosophy ya kile anachoamini?
Ngoja muone moto wa GamondiKwa hali ya leo sioni yanga akivuka makundi.
Geme ya leo ilikua droo.Lile goli la Madogo Refa kameza filimbi.Ngoja muone moto wa Gamondi
Ila FT Ubao ulisomekaje?Geme ya leo ilikua droo.Lile goli la Madogo Refa kameza filimbi.
Kwa majibu haya usikumbushie lile goli la mamelod.Ila FT Ubao ulisomekaje?
Usisahau, mliropoka mineno ya kiubaya ubwela kama haya enzi za IHEFU..!! Na mliifanya Ihefu kuwa kichaka cha kujifichia. Wakaja kula KHAMSA BIN SUFURI pale Chamazi. Endeleeni tu na vichaka vyenu vipya kila kukicha, na sisi tutavifyeka kila mkivianzisha..!!Kocha wa ken Gold kafungua njia kwa makocha wengi kimfumo namna ya kucheza na Yanga, ni vile Hana wachezaji sahihi wa kutekeleza TU ( alichosema kwenye press preMatch na Imani makocha wengi wataanzia hapo )
Nilishawahi kusema aina ya mpira ambao Kocha mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anafundisha ni mpya Sana hapa kwa soka LA afrika ( pressing )....kwa afrika Bado ijazoeleka kwa makocha wengi.
Kwa Yanga huu mfumo umeonekana kufanya kazi kuendana na wachezaji walio kuwa nao.... ( Nilielewa hichi kitu kuanzia mechi na MAMELODI )
Ila Sasa ni dhahiri makocha wengi wamemsoma na kuanzia kujua namna ya kucheza na mfumo huu ( watu hawalali wakuu )
Hata pep guadiola kipindi anakuja Mancheter City na saivi ni tofauti kabisa kabadili mfumo si chini ya mara mbili ili kuendana na ushindani baada ya kujua tayari kila wakati makocha wanamsoma mbinu zake
Soma Pia: FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024
Hivyo basi, kwa Gamondi naona linaenda kutoka na inawezekana baada ya mda akaondolewa kabisa au timu yake ikapotea....
Nawasilish
Baada ya mechi kutamatika hata nikikumbushia inabadilisha matokeo?Kwa majibu haya usikumbushie lile goli la mamelod.
Tena ya pili..!!Mechi moja wachambuzi buku
Wamesahau habari ya IhefuKuna watu mpira kama wameanza leo kufatilia, kwani Gamondi ndio mara yake ya kwanza kukutana na timu zinazocheza kama hao Ken Gold? Msimu uliopita Yanga ya Gamondi ilicheza na timu kibao tu zinazocheza hivyo lakini Yanga iliondoka na point 3 hata kama kwa goli moja. Au mnadhani msimu uliopita Yanga ilikuwa imechukua ubingwa kwa kushinda mechi zote kwa ushindi mnono? Acheni upuuzi
Imefikia hatua Yanga asipofunga goli kuanzia nne, inakua wachezaji wamechoka mara makocha wameusoma mfumo wa Gamond sababu kibao. Kwa hiyo braza mechi ijayo Yanga wakishinda 5 utatuambia nini?Kocha wa ken Gold kafungua njia kwa makocha wengi kimfumo namna ya kucheza na Yanga, ni vile Hana wachezaji sahihi wa kutekeleza TU ( alichosema kwenye press preMatch na Imani makocha wengi wataanzia hapo )
Nilishawahi kusema aina ya mpira ambao Kocha mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anafundisha ni mpya Sana hapa kwa soka LA afrika ( pressing )....kwa afrika Bado ijazoeleka kwa makocha wengi.
Kwa Yanga huu mfumo umeonekana kufanya kazi kuendana na wachezaji walio kuwa nao.... ( Nilielewa hichi kitu kuanzia mechi na MAMELODI )
Ila Sasa ni dhahiri makocha wengi wamemsoma na kuanzia kujua namna ya kucheza na mfumo huu ( watu hawalali wakuu )
Hata pep guadiola kipindi anakuja Mancheter City na saivi ni tofauti kabisa kabadili mfumo si chini ya mara mbili ili kuendana na ushindani baada ya kujua tayari kila wakati makocha wanamsoma mbinu zake
Soma Pia: FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024
Hivyo basi, kwa Gamondi naona linaenda kutoka na inawezekana baada ya mda akaondolewa kabisa au timu yake ikapotea....
Nawasilish