Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
- Thread starter
-
- #61
Sijatoa sababu Kama hiyo popote hayo ni mawazo YAKo wwImefikia hatua Yanga asipofunga goli kuanzia nne, inakua wachezaji wamechoka mara makocha wameusoma mfumo wa Gamond sababu kibao. Kwa hiyo braza mechi ijayo Yanga wakishinda 5 utatuambia nini?
hata kagera pia mliwaonea msimu janaKuna watu mpira kama wameanza leo kufatilia, kwani Gamondi ndio mara yake ya kwanza kukutana na timu zinazocheza kama hao Ken Gold? Msimu uliopita Yanga ya Gamondi ilicheza na timu kibao tu zinazocheza hivyo lakini Yanga iliondoka na point 3 hata kama kwa goli moja. Au mnadhani msimu uliopita Yanga ilikuwa imechukua ubingwa kwa kushinda mechi zote kwa ushindi mnono? Acheni upuuzi
Kulazimisha tu ukubwa. Mkubwa anatambuliwa na wengine, wala hahitaji kujitambulisha. By the way, kwa nini Yanga isizikamie timu ndogo, imekatazwa na FIFA? Huu msemo wa kukamiwa ni wa kujihami tu, lakini mpira ndivyo unavyotakiwa, sio eti timu ikicheza kwa bidii iitwe imekamia! Sasa ulitaka wasimame?Yanga imekuwa tishio na imejinasibu kuwa timu bora Afrika, Jambo linalopelekea vilabu vingine vidogo kama kuikamia wakijua wanacheza na timu kubwa
Uliona wapi Mpira unaovuka mstari ukapitiliza hadi kwenye nguzo ya pili bila hata kugonga mwamba? Wewe kashabikie tu mdakoGeme ya leo ilikua droo.Lile goli la Madogo Refa kameza filimbi.
Kuna mchezaji wa Yanga, au kiongozi wa Yanga alikuwa ndiye mshika kibendera? Simba imeshawahi kunufaika na maamuzi mabovu ya marefarii na utasikia mashabiki wakisema potelea pote kikubwa ni point tatu. Na sio Simba tu bali ni vilabu vingi vinanufaika na wengine kupoteza haki kutokana na waamuzi kushindwa kutafsiri sheria kwa usahihi hata mechi za ulaya na za kimataifa tunaona hilo. Lakini huwezi kusema timu fulani imemuonea kwasababu hiyo timu sio wao marefarii. Mfano mwingine ni namna ambavyo mashabiki wa Yanga wanaichukulia Mamelodi kama waonevu na kuwa na kisasi dhidi yao wakati Mamelodi hawakuwa ndio waamuzi.hata kagera pia mliwaonea msimu jana
🤝🤝🤝Case closed umeongea point mkuuKuna mchezaji wa Yanga, au kiongozi wa Yanga alikuwa ndiye mshika kibendera? Simba imeshawahi kunufaika na maamuzi mabovu ya marefarii na utasikia mashabiki wakisema potelea pote kikubwa ni point tatu. Na sio Simba tu bali ni vilabu vingi vinanufaika na wengine kupoteza haki kutokana na waamuzi kushindwa kutafsiri sheria kwa usahihi hata mechi za ulaya na za kimataifa tunaona hilo. Lakini huwezi kusema timu fulani imemuonea kwasababu hiyo timu sio wao marefarii. Mfano mwingine ni namna ambavyo mashabiki wa Yanga wanaichukulia Mamelodi kama waonevu dhidi yao wakati Mamelodi hawakuwa ndio waamuzi.
Waendelee kukamia na vilabu vingine sasa, sio ikicheza na Yanga inakamia ila ikicheza na KMC inalegezaKulazimisha tu ukubwa. Mkubwa anatambuliwa na wengine, wala hahitaji kujitambulisha. By the way, kwa nini Yanga isizikamie timu ndogo, imekatazwa na FIFA? Huu msemo wa kukamiwa ni wa kujihami tu, lakini mpira ndivyo unavyotakiwa, sio eti timu ikicheza kwa bidii iitwe imekamia! Sasa ulitaka wasimame?
Nyie mlipokula Chuma 7, Yanga alibebwa?Mkuu, hujazoea TU mpira wetu??.....hizi timu zetu pendwa kubebwa ni kawaida Sana.....Mimi binafsi Huwa nahisi marefa wanaona kabisa hili ni kosa ila wanapeta kulinda amani Yao mtaani....coz Kuna maisha baada ya mpira
+ ULOZIYanga imekuwa tishio na imejinasibu kuwa timu bora Afrika, Jambo linalopelekea vilabu vingine vidogo kama Kengold, kmc, simba,azam n.k kuikamia wakijua wanacheza na timu kubwa
Nilitegemea utachambua mapungufu ya huo mfumo wa Gamondi, sikuona hatari yoyote ya kengold jana zaidi ya ile diving header moja dakika za mwisho ambapo mpira uligonga mwamba na kurudi uwanjani.Kocha wa ken Gold kafungua njia kwa makocha wengi kimfumo namna ya kucheza na Yanga, ni vile Hana wachezaji sahihi wa kutekeleza TU ( alichosema kwenye press preMatch na Imani makocha wengi wataanzia hapo )
Nilishawahi kusema aina ya mpira ambao Kocha mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anafundisha ni mpya Sana hapa kwa soka LA afrika ( pressing )....kwa afrika Bado ijazoeleka kwa makocha wengi.
Kwa Yanga huu mfumo umeonekana kufanya kazi kuendana na wachezaji walio kuwa nao.... ( Nilielewa hichi kitu kuanzia mechi na MAMELODI )
Ila Sasa ni dhahiri makocha wengi wamemsoma na kuanzia kujua namna ya kucheza na mfumo huu ( watu hawalali wakuu )
Hata pep guadiola kipindi anakuja Mancheter City na saivi ni tofauti kabisa kabadili mfumo si chini ya mara mbili ili kuendana na ushindani baada ya kujua tayari kila wakati makocha wanamsoma mbinu zake
Soma Pia: FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024
Hivyo basi, kwa Gamondi naona linaenda kutoka na inawezekana baada ya mda akaondolewa kabisa au timu yake ikapotea....
Nawasilish
KUna ugumu gani mkuu? so far mechi zote ukijumlisha na za kirafiki na ngao ya jamii wamefungwa game moja tu na Augsberg ambayo inacheza bundesliga uko ujerumani na wakina bayern munich.Pamoja na mfumo pia wachezaji umri unaenda na viwango vinashuka,watu wanaweza kuelewa mfumo wako vilevile kumbe viwango vinashuka, Yanga msimu ulipita walikiwasha kwanza kabla ya hapo hawakuwa na mechi nyingi,ila mwaka huu naona kuna ugumu maana wamecheza mechi nyingi na bado wanaendelea kucheza.
Mkuu Simba goli wapatie wapi? Yanga alishinda vs Simba kwa clean sheet (1-0)KUna ugumu gani mkuu? so far mechi zote ukijumlisha na za kirafiki na ngao ya jamii wamefungwa game moja tu na Augsberg ambayo inacheza bundesliga uko ujerumani na wakina bayern munich.
Mechi zingine dhidi zote kashinda
Kaizer chief(4-0)
Simba(2-1)
Azam(4-1)
Kagera(2-0)
Vital'O home and away(10-0)
CBE home amd away (7-0)
Kengold(1-0).
Nashindwa kuelewa ni ugumu gani unaouongelea wewe, au unatarajia ynga ashinde goli 4+ kila mechi?
yap nimemkumbuka zilipigwa pasi kama man city max akaweka msumari wa moto, nilichanganya na zile 2-1 za msimu janaMkuu Simba goli wapatie wapi? Yanga alishinda vs Simba kwa clean sheet (1-0)
Lilikuwa goli la playstation lileyap nimemkumbuka zilipigwa pasi kama man city max akaweka msumari wa moto, nilichanganya na zile 2-1 za msimu jana
Ujuaji ukizidi ni tatizo.Kuna watu mpira kama wameanza leo kufatilia, kwani Gamondi ndio mara yake ya kwanza kukutana na timu zinazocheza kama hao Ken Gold? Msimu uliopita Yanga ya Gamondi ilicheza na timu kibao tu zinazocheza hivyo lakini Yanga iliondoka na point 3 hata kama kwa goli moja. Au mnadhani msimu uliopita Yanga ilikuwa imechukua ubingwa kwa kushinda mechi zote kwa ushindi mnono? Acheni upuuzi
Kulazimisha tu ukubwa. Mkubwa anatambuliwa na wengine, wala hahitaji kujitambulisha. By the way, kwa nini Yanga isizikamie timu ndogo, imekatazwa na FIFA? Huu msemo wa kukamiwa ni wa kujihami tu, lakini mpira ndivyo unavyotakiwa, sio eti timu ikicheza kwa bidii iitwe imekamia! Sasa ulitaka wasimame
Machapisho makubwaa.....msingi wa hoja YAKo ni Yanga akibebwa na marefu ni fresh TU, na kwa zingine zote za ligi kuu zikibebwa ni sawa pia, ndio msingi wako hoja YAKo kiufupi si ndio???Kuna mchezaji wa Yanga, au kiongozi wa Yanga alikuwa ndiye mshika kibendera? Simba imeshawahi kunufaika na maamuzi mabovu ya marefarii na utasikia mashabiki wakisema potelea pote kikubwa ni point tatu. Na sio Simba tu bali ni vilabu vingi vinanufaika na wengine kupoteza haki kutokana na waamuzi kushindwa kutafsiri sheria kwa usahihi hata mechi za ulaya na za kimataifa tunaona hilo. Lakini huwezi kusema timu fulani imemuonea kwasababu hiyo timu sio wao marefarii. Mfano mwingine ni namna ambavyo mashabiki wa Yanga wanaichukulia Mamelodi kama waonevu na kuwa na kisasi dhidi yao wakati Mamelodi hawakuwa ndio waamuzi.