Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
- Thread starter
-
- #81
Ushindi mwembamba eee.....mpira sio Kama yule demu wako uliyozoea kumpiga BAO kadhaa....siku mkifungwa labda ndio utakumbuka hii threadNilitegemea utachambua mapungufu ya huo mfumo wa Gamondi, sikuona hatari yoyote ya kengold jana zaidi ya ile diving header moja dakika za mwisho ambapo mpira uligonga mwamba na kurudi uwanjani.
Kwa sasa wapinzani wanaokutana na yanga malengo yao ni kupunguza idadi ya magoli ndio maana yanga akipata ushindi mwembamba kwenye macho ya wengi inaonekana wapinzani walikua na game plan nzuri.
Wewe nilikwambia ukashangilie mchezo mwingine una lazimisha sana na unatumia nguvu nyingi sana uonekane unaujua. Huyo niliye m quote ni shabiki wa Simba na ameelewa point yangu ni ipi. Ila wewe upo kishabiki tokea mwanzo wa uzi wako ni ngumu kuelewa kwasababu umejivisha vazi la usimba na uyanga. Humu kuna watu ni mashabiki wa Simba na Yanga ila wametanguliza uanamichezo kabla ya ushabiki ndio hao wanaoweza kuelewa nilichoongea.Machapisho makubwaa.....msingi wa hoja YAKo ni Yanga akibebwa na marefu ni fresh TU, na kwa zingine zote za ligi kuu zikibebwa ni sawa pia, ndio msingi wako hoja YAKo kiufupi si ndio???
Kama ndio hivyo ww sio mdau wa michezo wa mpira, bali ni shabiki anayeendeshwa na mihemko sawa mkuu??
Ndio maana nilikwambia wewe ni mjinga na mpumbavu usiyejua mpira, nitajie ni timu gani duniani isiyofungwa. Kumbe wee ni mjinga kiasi hiki? Kufungwa ni kawaida kwenye mpira na sio ajabu. Madrid, Man City, Barcelona, Bayern Munich, Liverpool hizo zote pamoja na ubora na ubora wao wanafungwa kwenye ligi sembuse Yanga. Ndio nyie mmeanza kufatilia mpira baada ya Azam kuanza kurusha matangazo ya mpira mnaleta vituko humuUshindi mwembamba eee.....mpira sio Kama yule demu wako uliyozoea kumpiga BAO kadhaa....siku mkifungwa labda ndio utakumbuka hii thread
Bado yupo sana, na atazidi kuwapiga hadi mchakae.Kocha wa ken Gold kafungua njia kwa makocha wengi kimfumo namna ya kucheza na Yanga, ni vile Hana wachezaji sahihi wa kutekeleza TU ( alichosema kwenye press preMatch na Imani makocha wengi wataanzia hapo )
Nilishawahi kusema aina ya mpira ambao Kocha mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anafundisha ni mpya Sana hapa kwa soka LA afrika ( pressing )....kwa afrika Bado ijazoeleka kwa makocha wengi.
Kwa Yanga huu mfumo umeonekana kufanya kazi kuendana na wachezaji walio kuwa nao.... ( Nilielewa hichi kitu kuanzia mechi na MAMELODI )
Ila Sasa ni dhahiri makocha wengi wamemsoma na kuanzia kujua namna ya kucheza na mfumo huu ( watu hawalali wakuu )
Hata pep guadiola kipindi anakuja Mancheter City na saivi ni tofauti kabisa kabadili mfumo si chini ya mara mbili ili kuendana na ushindani baada ya kujua tayari kila wakati makocha wanamsoma mbinu zake
Soma Pia: FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024
Hivyo basi, kwa Gamondi naona linaenda kutoka na inawezekana baada ya mda akaondolewa kabisa au timu yake ikapotea....
Nawasilish
Akijibu nitag.Kwani yeye hayupo dynamic kubadilika kutokana na mazingira?
Mkuu tuambie ni mfumo gani waliotumia Ken-Gold kucheza na Yanga.Kocha wa ken Gold kafungua njia kwa makocha wengi kimfumo namna ya kucheza na Yanga, ni vile Hana wachezaji sahihi wa kutekeleza TU ( alichosema kwenye press preMatch na Imani makocha wengi wataanzia hapo )
Nilishawahi kusema aina ya mpira ambao Kocha mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anafundisha ni mpya Sana hapa kwa soka LA afrika ( pressing )....kwa afrika Bado ijazoeleka kwa makocha wengi.
Kwa Yanga huu mfumo umeonekana kufanya kazi kuendana na wachezaji walio kuwa nao.... ( Nilielewa hichi kitu kuanzia mechi na MAMELODI )
Ila Sasa ni dhahiri makocha wengi wamemsoma na kuanzia kujua namna ya kucheza na mfumo huu ( watu hawalali wakuu )
Hata pep guadiola kipindi anakuja Mancheter City na saivi ni tofauti kabisa kabadili mfumo si chini ya mara mbili ili kuendana na ushindani baada ya kujua tayari kila wakati makocha wanamsoma mbinu zake
Soma Pia: FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024
Hivyo basi, kwa Gamondi naona linaenda kutoka na inawezekana baada ya mda akaondolewa kabisa au timu yake ikapotea....
Nawasilish
Wanasimba mnajifariji, kumbe mnajua Gamond ni kocha anayewasumbua kimbinu.Na kwani Kuna ubaya huyo huyo Gamondi msimu huu mbinu zake zikamezwa na matokeo kuwa tofauti na msimu ukiopita ( ambao umekariri ww )??
Hiyo hoja niliiota mwezi mmoja ukiopita.....na Leo imefanyiwa kazi kwa 100% Tena kwenye mechi kubwa.....shinda Iko wapi......huenda ni Kocha mwenyewe kajiongeza au Kuna mdau humu ( wa karibu na Kocha ) kampelekea haya mawazo yangu, inawezekana ata ww hapo ulipo unafurahi Simba kufika makundi CAFCC bila kujua Mimi ndio mwenye mchango mkubwa wa kimawazo......jamii forums ni kubwa sanaa ndio maana Mimi na ww tupo hapa, vile vile kwa mwingine nk....sawa dogo??Wewe nilikwambia ukashangilie mchezo mwingine una lazimisha sana na unatumia nguvu nyingi sana uonekane unaujua. Huyo niliye m quote ni shabiki wa Simba na ameelewa point yangu ni ipi. Ila wewe upo kishabiki tokea mwanzo wa uzi wako ni ngumu kuelewa kwasababu umejivisha vazi la usimba na uyanga. Humu kuna watu ni mashabiki wa Simba na Yanga ila wametsnguliza uanamichezo kabla ya ushabiki ndio hao wanaoweza kuelewa nilichoongea.
Wewe rudi kwenye uzi wako wa Kutamani Kagoma apangwe na Mavambo ili ukauendelezee madhaifu na ubora wa hiyo combination kwenye timu yako ya Simba.
Pressing + counter attacksMkuu tuambie ni mfumo gani waliotumia Ken-Gold kucheza na Yanga.
Vp na Mimi nikikubishia??...nikasema nayojua Mimi??, nani ataonekana mkweliGoal 5 5 zitaanza soon mtasahau yote hayo ambayo umeandika hususani mnaowaona vigogo watachezea sana 3+ msimu huu.
Tuacha na Yanga yetu maisha mafupi kwa Gamondi kwani wewe ndiye uliyemleta? Mashabiki wa Yanga wenyewe wameridhika na performance na matokeo wewe unaleta shobo na timu isiyokuhusu. Mpira sio kama unavyokata nyanya nyumbani kwako kuwa umekariri lazima iwe hivi, mpira kuna siku timu itashinda magoli mengi, ipo siku utashinda magoli machache tena kwa tabu na ipo siku utatoa sare au kufungwa. Ulizihesabu idadi savea alizofanya kipa wa Ken Gold? Zile ni on target ila kipa kuinusuru timu yake ifungwe goli chache hivyo bahati ilikuwa ni upande wao.Hiyo hoja niliiota mwezi mmoja ukiopita.....na Leo imefanyiwa kazi kwa 100% Tena kwenye mechi kubwa.....shinda Iko wapi......huenda ni Kocha mwenyewe kajiongeza au Kuna mdau humu ( wa karibu na Kocha ) kampelekea haya mawazo yangu, inawezekana ata ww hapo ulipo unafurahi Simba kufika makundi CAFCC bila kujua Mimi ndio mwenye mchango mkubwa wa kimawazo......jamii forums ni kubwa sanaa ndio maana Mimi na ww tupo hapa, vile vile kwa mwingine nk....sawa dogo??
Huo ni mfumo au ni mbinu? Kakuuliza mfumo gani sio mbinu ganiPressing + counter attacks
Hakuna timu ambayo haifungwiUshindi mwembamba eee.....mpira sio Kama yule demu wako uliyozoea kumpiga BAO kadhaa....siku mkifungwa labda ndio utakumbuka hii thread
kunavitu unajiuliza unakosa majibu hili goli la yanga kwa ken gold ni halali ila goli la Ateba kwa al-ahaly siyo halaliNa kama sio makosa ya kibinadamu leo mtu angeumbuka vibaya sana🤣🤣🤣View attachment 3106624
Hoja maandazi hii! Simba mnapigwa tena mkono!Kocha wa ken Gold kafungua njia kwa makocha wengi kimfumo namna ya kucheza na Yanga, ni vile Hana wachezaji sahihi wa kutekeleza TU ( alichosema kwenye press preMatch na Imani makocha wengi wataanzia hapo )
Nilishawahi kusema aina ya mpira ambao Kocha mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anafundisha ni mpya Sana hapa kwa soka LA afrika ( pressing )....kwa afrika Bado ijazoeleka kwa makocha wengi.
Kwa Yanga huu mfumo umeonekana kufanya kazi kuendana na wachezaji walio kuwa nao.... ( Nilielewa hichi kitu kuanzia mechi na MAMELODI )
Ila Sasa ni dhahiri makocha wengi wamemsoma na kuanzia kujua namna ya kucheza na mfumo huu ( watu hawalali wakuu )
Hata pep guadiola kipindi anakuja Mancheter City na saivi ni tofauti kabisa kabadili mfumo si chini ya mara mbili ili kuendana na ushindani baada ya kujua tayari kila wakati makocha wanamsoma mbinu zake
Soma Pia: FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024
Hivyo basi, kwa Gamondi naona linaenda kutoka na inawezekana baada ya mda akaondolewa kabisa au timu yake ikapotea....
Nawasilish
Kumbe we ni kolo a.k.a mbumbumbu ndio maana umeandika pumbaHiyo hoja niliiota mwezi mmoja ukiopita.....na Leo imefanyiwa kazi kwa 100% Tena kwenye mechi kubwa.....shinda Iko wapi......huenda ni Kocha mwenyewe kajiongeza au Kuna mdau humu ( wa karibu na Kocha ) kampelekea haya mawazo yangu, inawezekana ata ww hapo ulipo unafurahi Simba kufika makundi CAFCC bila kujua Mimi ndio mwenye mchango mkubwa wa kimawazo......jamii forums ni kubwa sanaa ndio maana Mimi na ww tupo hapa, vile vile kwa mwingine nk....sawa dogo??
Siku akipoteza ndio watu Kama ww mnakuwa wakwanza kuja HAPA jukwaani na kulia Lia bila sababu ya msingi, Leo nimekuja na nyuzi hii hapa JF mna panick bila kutumia akiliTuacha na Yanga yetu maisha mafupi kwa Gamondi kwani wewe ndiye uliyemleta? Mashabiki wa Yanga wenyewe wameridhika na performance na matokeo wewe unaleta shobo na timu isiyokuhusu. Mpira sio kama unavyokata nyanya nyumbani kwako kuwa umekariri lazima iwe hivi, mpira kuna siku timu itashinda magoli mengi, ipo siku utashinda magoli machache tena kwa tabu na ipo siku utatoa sare au kufungwa. Ulizihesabu idadi savea alizofanya kipa wa Ken Gold? Zile ni on target ila kipa kuinusuru timu yake ifungwe goli chache hivyo bahati ilikuwa ni upande wao.
La mwisho ni kwamba hiyo Ken Gold sio mara kwanza kucheza na Yanga, ilishawahi kucheza na Yanga mwaka 2021 kwenye FA cup na Yanga alipata goli moja tu kwa tabu mno na mchezaji mmoja wa Yanga akala kadi nyekundu dakika ya 84. Hivyo jitahidi siku moja moja za weekend ujitahidi uwe una maliza kupika chakula mapema na kazi zako za nyumbani ili uwe unafatilia na mechi za ulaya ili uwe unajifunza kuhusu mchezo wa mpira wa miguu uone huko ulaya timu iliyo na wachezaji ghali, wenye profile kubwa na wenye ubora wanavyoangaika na timu za daraja ya chini saa zingine. Ila ndio mpira ulivyo
Wewe ni kocha wa timu Gani?Siku akipoteza ndio watu Kama ww mnakuwa wakwanza kuja HAPA jukwaani na kulia Lia bila sababu ya msingi, Leo nimekuja na nyuzi hii hapa JF mna panick bila kutumia akili
Ww ni Moja ya wengi ambao hamueshimu muda ( kwa maana ya mpira una hitaji muda na sio ushabiki lialia ), pili hupendi kukubali ukweli ya kuwa mpira unaongozwa na mambo mengi Kama; mifumo, maandalizi, kusomana nk.
Umesoma Mimi sijui mpira ( ni sawa kwa mitazamo wako ), ukaenda mbali zaidi na kusema hata mpira wa ulaya sijui, ni wazi umepaniki.
Hivi kwa mfano nikuulize swali la kizushi TU, Unahisi Yanga atachukua ubingwa milele??, na akikosa utasema utatoa sababu gani ya msingi???, achaga utoto jibu kwa kutumia akili