Nayapenda makabila yanayoenzi matambiko ya kimila kwani matambiko sio ushirikina

Nayapenda makabila yanayoenzi matambiko ya kimila kwani matambiko sio ushirikina

Nahisi kwanza tungepata tafsiri sahihi ya neno “ushirikina” .

Kisha itakua rahisi kuelewa matambiko.
 
Sipendi hayo mambo kwa sababu kuna jamaa alifanya tambiko ili awe kiongozi wa mtaa na ikawa,ingawa baadaye hata aliyemfanyia hayo mambo alijilaumu na kuomba msamaha kwa kuwaletea huyo bwana lakini haikusaidia
 
Ndugu mbona umekuwa mkali mno?

Jaribu kuwaeleza kawaida watakuelewa mkuu tu.

Lazima awe mkali si unajua tena mtu mwenye pepo,tena mapepo ya mizimu na matambiko ni makali kweli kweli kama faru,lakini ukiwa na nguvu za Mungu hayakubabaishi.
 
Inasikitisha sana kuwa watumwa wa dini na imani za watu mpaka tunachezewa akili. Kuna yule nabii wa Afrika Kusini anayewaambia waumini wake wapige punyeto kwanza kabla ya kusali na wanafanya hivyo tena mbele ya watoto wao. Yaani dini zinatumiwa kutufanya sie waafrika wajinga, yaani basi tu.

Hata kufanya matambiko ni utumwa wa imani za babu zako wale wachovu,sasa nikifanya kile wazee wachovu walifanya si nitaishia kua mchovu?Mimi acha nifanye kile cha Yesu aliyeshinda kifo na mauti
 
Matambiko ni mhimu sana sana , ni kweli matambiko sio ushirikina ila yanafania na ushirikina

Cha mhimu wakati unafanya tambiko au unazunguka mti ili upone uwe na IMANI ,moyoni mwako kusiwe na mambo mawili liwe tu like ulilolikusudia

Mfano, unatambikia mvua inyeshe ukiwa umepiga magoti (kuna mambo unatakiwa kufanya akati umepiga magoti siwezi kuyaandika hapa)
Amini kabisa baba yako alipiga magoti mbele ya uchi wa mama ako ukazaliwa ,naye pia baba ako alizaliwa kwa baba ake kupiga magoti mbele ya uchi wa mama ake hivo huko waliko wanawajibu wa kutusaidia sisi tulioko huku duniani ,

Moyoni mwako kunatakiwa kuwe na limoja tu kuwa itanyesha na sio kuanza kuwaza hivi itanyesha kweli?
Mfano tena umeamua kulivulia shamba nguo amini kuwa uchi wako utatenda kitu Kwenye shamba na sio kuanza kujihisi labda utakuwa umejidhalilisha.


Kwenye matambiko cha mhimu ni Imani Kali sana, moyoni kusiwe na mawili, usifanye ukiwa umelewa
Hiyo imani si bora uilekeze kwa Mungu kuliko matambiko
 
Mkuu kutoka kwenye huo utumwa ni kazi ngumu mno watu wametopea uko Kabisa, Na niwana andanwa kweli.kweli na mabalaa wanabaki kuhama hana mara leo kanisa hili mara kesho lile, Hakuna namna watu wataacha huo ujinga

Mkitambika mnaacha wazee nyama na na damu wazee waje kula,baadae wanakuja kula mbwa.sasa najiuliza hao wazee mnaosema ndio hao mbwa au?Yani mimi na akili zangu nimfuate mbwa???
 
kwa uelewa wangu imani yeyote ambayo haimuhusishi Mungu aliye hai ni ushirikina... kufanya matambiko ni ushirikina pia hauna tofauti na uchawi
Ndio maana mpaka kesho mtakua hopeless na kubara gwenu. Mnashindwa kuenzi na kuviboresha vya kwenu kisa kuiga kila kitu

Yaani nyie mmekua watumwa kuliko hata wazee wenu
 
Ndio maana mpaka kesho mtakua hopeless na kubara gwenu. Mnashindwa kuenzi na kuviboresha vya kwenu kisa kuiga kila kitu

Yaani nyie mmekua watumwa kuliko hata wazee wenu

Chakwetu ni Yesu ndio tulichopewa ,sio ushenzi ushenzi mwingine usio na maana.hakuna mtu mwenye akili anataka huo upuuzi wa matambiko,yakafie mbali
 
Kumbukumbu la Torati 5:6 .. Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
7 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
8 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini duniani, au kilicho majini chini ya nchi.
9 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao
 
Back
Top Bottom