Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Asipoamia haitakuja kamwe.Katiba mpya!
Hivi, upatikanaji wa katiba mpya nayo ni hisani ya Rais Samia [mimi simuiti Dokta kwa sababu hastahili kuitwa hivyo]?
Nimeona mara nyingi vya kutosha sasa watu wakisema:-
1. Samia atuletee katiba mpya.
2. Samia atupatie katiba mpya.
Sielewi kabisa. Kwani yeye huyo Samia ndo ana uamuzi wa mwisho kuhusu hiyo katiba mpya?
Ni hisani yake yeye huyo Samia, ambaye ni mtu mmoja tu, kutuletea Watanzania zaidi ya milioni 60, hiyo katiba mpya?
Kwa hiyo Samia akikataa kuleta hiyo katiba mpya, ndo basi tena?
Sisi Watanzania kuna kitu hakiko sawa kwenye psyche yetu.
Ndio maana yakeKwa sababu anashikilia dola,
Mabomu, bunduki, magari ya kuwasha na magereza anashikilia yeye.
Naona umejichoka sasa πππHuu Uzi wa Kaka NyaniNgabu unauchafua au nianzishe Uzi wa kumzingua Country? πππ
Fwalaaaa kabisa niombe Nini ? UTI sugu na gonorrhea? π€£π€£π€£Naona umejichoka sasa πππ
Acha uzi wanaume ambao sio waoga wamwage madini, ww kunguru muoga twende kwenye li uzi lako ulilomfungulia da mau la kuiomba ππββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Hii katiba inapendwa na walioko madaraka tu.Wewe kipindi cha magufuli haujawahi kuomba katiba mpya.uache unafiki
Hapana.Na kipaumbele rais anapewa toka ccm. Kwahio katiba haiwezi badilika kama ccm itaendelea kua madarakani
Pia, msimamo wa kuwa tunahitaji katiba mpya inayoendana na mazingira ya siasa za ushindani za vyama vingi, wengine tumekuwa nao tokea miaka ya 90 huko.Hakuna kilichobadilika practically juu ya msimamo wa awamu ya Magufuli na awamu ya Samia juu ya katiba mpya.Kinachonishangaza mimi ni mtu kuona msimamo wa katiba mpya awamu ya Magufuli ulikuwa sawa na huu wa Samia juu ya suala hilohilo,na ambao kimsingi ni msimamo uleule,eti haupo sawa!
Simkubali huyu wa sasa,na sikumkubali yule aliyepita pia,ila namchukia zaidi mtu mnafiki ambaye vita yake inaangalia nani ni muhusika,na sio kipi kinahusika.....Inasikitisha sana
Anawezeshaje?...Yeye ndio muwezeshaji
100%nakuunga mkono. Shida yangu mimi hawa wafuasi wa marehemu. Iweje leo na wao wadai katiba mpya.wakati alipokuwepo mwenda zake walikaa kimya?Hii katiba inapendwa na walioko madaraka tu.
Nje ya hapo ni mjinga tu atasema inafaa
Wewe twende chitchat tu mwananguπSasa km mambo yako sawa unajiuliza nini?? Uoga huo na unafiki
si wew wala mtu mwingine binafsi, chama au kikundi chochote, ama kwa mihemko au mamlaka yake au yao anaweza kukwamisha au kukwamua suala la katiba ispokua wanainchi na waTanzania wote πKatiba mpya!
Hivi, upatikanaji wa katiba mpya nayo ni hisani ya Rais Samia [mimi simuiti Dokta kwa sababu hastahili kuitwa hivyo]?
Nimeona mara nyingi vya kutosha sasa watu wakisema:-
1. Samia atuletee katiba mpya.
2. Samia atupatie katiba mpya.
Sielewi kabisa. Kwani yeye huyo Samia ndo ana uamuzi wa mwisho kuhusu hiyo katiba mpya?
Ni hisani yake yeye huyo Samia, ambaye ni mtu mmoja tu, kutuletea Watanzania zaidi ya milioni 60, hiyo katiba mpya?
Kwa hiyo Samia akikataa kuleta hiyo katiba mpya, ndo basi tena?
Sisi Watanzania kuna kitu hakiko sawa kwenye psyche yetu.
CCM NI WAPOTOSHAJIKatiba mpya!
Hivi, upatikanaji wa katiba mpya nayo ni hisani ya Rais Samia [mimi simuiti Dokta kwa sababu hastahili kuitwa hivyo]?
Nimeona mara nyingi vya kutosha sasa watu wakisema:-
1. Samia atuletee katiba mpya.
2. Samia atupatie katiba mpya.
Sielewi kabisa. Kwani yeye huyo Samia ndo ana uamuzi wa mwisho kuhusu hiyo katiba mpya?
Ni hisani yake yeye huyo Samia, ambaye ni mtu mmoja tu, kutuletea Watanzania zaidi ya milioni 60, hiyo katiba mpya?
Kwa hiyo Samia akikataa kuleta hiyo katiba mpya, ndo basi tena?
Sisi Watanzania kuna kitu hakiko sawa kwenye psyche yetu.