Naziona dalili zote kwamba Mbowe na wenzake wanatoka Gerezani

Naziona dalili zote kwamba Mbowe na wenzake wanatoka Gerezani

CCM?? Na jeshi la Polis wanalindana.

Yaan Maisha ya mmoja, yanamtegemea MWINGINE ...tena kama ambavyo SS hakubaliki huku mtaani.?.


Kamwe ,kamweee tusitegemee Hukumu ya utofauti na Alichokisema SS.... BBC.


JPM alifanya Military-Government symbiosis.


SS anafanya Police-Government symbiosis.



KATIBA MPYA ndio kila kitu.
Wanalindana kuuibia wananchi,mmoja analindwa aibe kura mwingine analindwa ale rushwa
 
Bongo Raha.

Tuna amka asubuhi,

Tunakunywa chai,

Tunanunua bando,

Tumajadili mambo yale yale ya siku zote.

Tunakula mchana,

Tunaendelea kujadili

Tunakula usiku

Tunalala

Kesho tena tukiamka, ratiba inaendelea

Ogopa WASWAHILI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Bongo Raha.

Tuna amka asubuhi,

Tunakunywa chai,

Tunanunua bando,

Tumajadili mambo yale yale ya siku zote.

Tunakula mchana,

Tunaendelea kujadili

Tunakula usiku

Tunalala

Kesho tena tukiamka, ratiba inaendelea

Ogopa WASWAHILI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lete agenda mpya ndugu tujadili.
 
Lete agenda mpya ndugu tujadili.
Kutoka hatutakubali.

Mpaka hatutatoka Mwanza mpaka tufanye kongamano la katiba,

Tukaja vijana tuingie barabarani mpaka mwenyekiti aachiwe huru.

Sasa hivi tuko online tu, tunasubiria huruma kutoka kwa watu wale wale waliomkamata waamue kumwachia huru.

Wakikaza ndio imetoka hivyo.
 
Yes, unaweza kuwa karibu sana na ukweli....

CROSS EXAMINATION ya Jana tarehe 11/01/2022 toka kwa mawakili watatu wa utetezi (Nashon Nkungu, Malya & Kibatala) dhidi ya shahidi namba 08 Askari Polisi Jumanne Malangahe imefunua mambo mengi sana, moja kubwa ni udhaifu wa Jeshi la polisi ktk kusimamia sheria, kufanya kazi kwa mazoea na kutojua sheria ktk utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku...

Kikubwa zaidi ni kuwa, sasa inaendelea kuthibitika bila shaka yoyote kuwa kesi hii ni ya kubumba na watashangaa sana utetezi nao wakianza kuleta mashahidi wao kuja kuthibitisha "KOSA LA KUPANGA NJAMA ILI KUTENDA UGAIDI"

Nawahakikishia bila shaka yoyote na wala bila hata kupepesa macho kuwa, kuna baadhi ya mashahidi watakataa kuja kutoa ushahidi au la wataletwa kwa pingu kwa sababu kila kitu kimeshavurugika kwa sasa...

Kwa lugha rahisi ni kuwa, mpango mzima umshaharibika, hauendi kama walivyotarajia...!!

On the other hand, Mimi nawashangaa sana hawa Majaji wanaosikiliza kesi hii ya kijinga na kipumbavu kwa sababu hata kwa macho ya kawaida yasiyo ya kisheria, inaonekana wazi kabisa kuwa imetengenezwa na watu fulani waovu wachache huko serikalini, wenye nia na malengo maovu ili kuwaondoa katika picha (to take out of the picture) baadhi ya watu wanaowaona ni kikwazo kwa nia na malengo yao maovu kutimia...!

Kwa zaidi ya 100% Freeman Aikael Mbowe anaonewa tu. Hii ni mbaya sana na kwa kweli haiko sawa, ni balaa na laana kwa taifa na nchi yetu...!

Wameumizwa wengi sana kwa njia mtindo huu. Wenye majina na wasio na majina. Kumfikia Freeman Mbowe ndipo walipo crumble...

Wamefikia kwenye kilele cha OUVU wao na sasa it's KARMA TIME, IT'S PAYBACK TIME....
 
Awali tuliona nguvu kubwa inatumika kudhibiti Watu wasiingie mahakamani.

Tukashuhudia Majaji wakitoa hukumu zilizo kinyume kabisa na mwenendo wa kesi na baada ya kutoa hukumu hizo wakapandishwa vyeo

Switch za ukutani tukaambiwa zimeharibiwa kudhibiti umeme usipatikane

Tukashuhudia ubunifu wa kutoa matangazo live Hadi Jaji akakereka Kwa namna vijana wanavyohabarisha

Exbits zikawa zinatolewa kwenye custody ya Mahakama kinyume cha sheria na utaratibu, Msajili anawasiliana na kukabidhiana exbits na shahidi ofisini kwake

Tumefika Wakati madhahidi wanaanza kusema HAPANA kwa wingi katika ushahidi wao, tumeshuhudia knowledge gap iliyopo kwenye vyombo vy dola pamoja na ofisi ya DPP katika uandaaji mashtaka na kuongoza mashahidi

Kidogo kidogo mwananchi akajaribu kwenda Live Kwa kuchagua vipengele anavyoona yeye vinafaa ila akaidhiwa pumzi

Jaji akaanza kulegeza masharti ya maamuzi hasa kwa kutupilia mbali baadhi ya vielelezo

Mashahidi Wakabanwa na kuanza kukumbushwa baadhi ya Kesi za mateso walizowahi kushiriki. Mashahidi wakaanza kuhusoanishwa na kupotea Kwa Watu.

Mara tunaona ITV wanarusha habari kwa uchambuzi wa hali ya juu tena kwenye taarifa ya habari.

Tunatakari tunabaini hata vyombo vya dola vimenyamaza na kuruhusu wanachadema kuimba wimbo Bado kidogo mambo yatàbadilika mahakamani bila kukamatwa kwa maandamano au makosa ya vurugu.

Uchambuzi kuhusu kesi hii unaanza kufanya kwenye vyombo vya habari. Uhuru wa watuhumiwa unaanza kuonekana.

Kwa Hali hii nataka niamini Kwamba Mhe. Rais amefuatilia kilichotipotiwa na vyombo vya habari, amefuatilia ushahidi unaotolewa, amefuatilia mwenendo wa kesi na amebaini wazi Kwamba kesi hii ilikuwa mtego kwake na ilitengenezwa na wataka Urais 2025 Kwa lengo lakumchonganisha na jamii lakini pia kumfanya aonekane kama anakubaliana na matendo maovu dhidi ya uhai wa binadamu yaliyofanywa na Watu wasiojulikana awamu ya Tano.

Mama amejiridhisha pasipo na shaka Kwamba kundi lililohusika kukusanya ushahidi huu hata kama litapewa fadhila ,ipo siku litatumika vinginevyo dhidi ya watu wengine may be yeye akiwa amestaafu Urais. Amejitunza Kwamba walioumiza watu wakiwemo watu wake wa katibu ni vijana wachache na hakuna namna isipokuwa kuruhusu uchunguzi wa kina wa matukio kadhaa yaliyofanywa na awamu ya Tano. Amebaini Kwamba watu Hawa Wana fedha, kama walichukua milioni mia kama rushwa Arusha, HUKO kwingine walipora kiasi gani? Hizo fedha kwa sasa wamezificha wapi? Wanataka kuzitumia kwa kazi gani?

Kwa funzo hili naamini Mama alikuwa sahihi kesi hii kwenda Mahakamani na imemfanya ajifunze aina ya watu wanaomzunguka na atambue ni strategies gani zitumike kuishi nao. Mwisho naamini mama amejifunza kutomwamini mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke. Bali wakumwamini ni MUNGU pekee.

Niwapongeze wote wanaoshiriki mchakato huu wakutuonyesha njia sahihi, Kila Jambo utokea kwa sababu flani na hii imetokea Kwa makusudi flani. Soon Mbowe na wenzake watarejea Uraiani kuendeleza harakati.

Mwenyenzi Mungu amsaidie mwenye nchi azidi kuwa na macho ya rohoni, asione kijani bali aione tanzania na aamini kwamba Tanzania inaweza kuwepo bila kijani ila kijani hakiwezi kuwepo bila tanzania. Mwenye mungu ampe moyo mkuu wakufungua wafungwa wa kisiasa na wasio na hatia kwa lengo la kuliponywa taifa.

Mwenyenzi Mungu ampe moyo wakukubali adharani kwamba tulikosea awamu ya tano, akawatembelee waliopoteza wapendwa wao wakiwemo wototo wa saanane na gwanda kwa lengo lakuwarejeshea matumaini mapya na kuomba wasidhidi kuomba duha mbaya kwetu bali waombe nchi ipone. Mandela alifanya na hakupungukiwa kitu wala madaraka yake ya urais hayakupungua. Tusameane tuanze upya kuijenga tanzania, madaraka yanapita, kifo kipo.
2025 fever
 
Kutoka hatutakubali.

Mpaka hatutatoka Mwanza mpaka tufanye kongamano la katiba,

Tukaja vijana tuingie barabarani mpaka mwenyekiti aachiwe huru.

Sasa hivi tuko online tu, tunasubiria huruma kutoka kwa watu wale wale waliomkamata waamue kumwachia huru.

Wakikaza ndio imetoka hivyo.
Kuwa mvumilivu ndugu...

Kila jambo lina wakati wake ndugu...

Na ukifika wakati wake, siyo kutenda tu bila kutumia akili, bali maarifa, busara na hekima ikiongozwa na akili njema ni muhimu sana kutumika...

Lililo HAKIKA KABISA ni hili, kuwa, siku zote WAOVU huwa hawadumu na hawashindi. Hata hawa hawatashinda. Wataondoka tu na kila tendo liwe BAYA au JEMA lililotwndwa na watawala hawa, lina hukumu yake sawia na ni hapa hapa ktk ardhi ya dunia hii...
 
Yes, unaweza kuwa karibu sana na ukweli....

CROSS EXAMINATION ya Jana tarehe 11/01/2022 toka kwa mawakili watatu wa utetezi (Nashon Nkungu, Malya & Kibatala) dhidi ya shahidi namba 08 Askari Polisi Jumanne Malangahe imefunua mambo mengi sana, moja kubwa ni udhaifu wa Jeshi la polisi ktk kusimamia sheria, kufanya kazi kwa mazoea na kutojua sheria ktk utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku...

Kikubwa zaidi ni kuwa, sasa inaendelea kuthibitika bila shaka yoyote kuwa kesi hii ni ya kubumba na watashangaa sana utetezi nao wakianza kuleta mashahidi wao kuja kuthibitisha "KOSA LA KUPANGA KUTENDA MAKOSA YA UGAIDI"

Nawahakikishia bila shaka wala kupepesa macho kuwa, kuna baadhi ya mashahidi watakataa kuja kutoa ushahidi au la wataletwa kwa pingu kwa sababu kila kitu kimeshavurugika kwa sasa. Ama kwa lugha rahisi ni kuwa, mpango mzima umshaharibika...!!

Binafsi nawashangaa hata hawa Majaji wanaosikiliza kesi hii ya kijinga na kipumbavu kwa sababu hata kwa macho ya kawaida yasiyo ya kisheria, inaonekana wazi kabisa kuwa imetengenezwa na watu fulani waovu wachache, wenye nia na malengo maovu ili kuwaondoa katika picha (to take out of the picture) baadhi ya watu wanaowaona ni kikwazo kwa nia na malengo yao maovu kutimia...!

Freeman Aikael Mbowe anaonewa tu kwa 100%. Hii ni mbaya sana na milele haiko sawa...!
Inasikitisha sana. Binadamu kumfanyia hivi binadamu mwenzako kwa sababu tu ya Tumbo.
 
Kuwa mvumilivu ndugu...

Kila jambo lina wakati wake ndugu...

Na ukifika wakati wake, siyo kutenda tu bila kutumia akili, bali maarifa, busara na hekima ikiongozwa na akili njema ni muhimu sana kutumika...

Lililo HAKIKA KABISA ni hili, kuwa, siku zote WAOVU huwa hawadumu na hawashindi. Hata hawa hawatashinda. Wataondoka tu na kila tendo liwe BAYA au JEMA lililotwndwa na watawala hawa, lina hukumu yake sawia na ni hapa hapa ktk ardhi ya dunia hii...
Aiseee 🤣🤣🤣🤣

Anyway, ndio maana Mungu haonekani.

Maana hapa hatujui ni nani muovu kuliko mwenzake.

Possibly, ni waovu wawili kila mmoja na nguvu yake kwa wakati wake.
 
Mama na timi yake kabambe ya ushauri, wanalifanyia kazi hilo, tokea mama aingie madarakani.

Hi kesi ya mbowe, Hakubambikwa kesi Mbowe hata kidogo, aliyebambikwa kesi ni Mama. Mbowe ni chombo kilichotumika kumbambika kesi Mama. Juu ya hujumu zote alizofanyiwa mama, tukianza na walipoona Wameshindwa kusimamisha UAPIZWAJI wa mama kuwa Raisi, wakakimbilia kusomba pesa benki kuu, ili mama akose pesa za kuendeleza serekali na mengi mengine.

Na hii kesi ya Mbowe inawahusisha wengi hata kuna baadhi ya viongozi wa Chadema wanahusika na huu mkakati, tutakuja kuona ukweli ukitoka. Leo tunaiona kesi ikijumuisha matukio ya Lissu, Ben Saanane na wengineo, sijui inahusikaje na hii kesi, tena hilo limeletwa na wakili wa utetezi??????
 
Kazi yetu kubwa ni kuzidi kuomba MUNGU ili kesi hii ya michongo izidi kuwavua nguo wenye mamlaka
 
Kibatala alimchanachana Jumanne kiasi Cha kuonyesha wazi hakuna kesi. Maana vitu vyote vinavyowaunganisha watuhumiwa na kesi ya ugaidi imeonekana hakuna...hakuna rekodi ya maongezi, hakuna vilipuzi, hakuna ushahidi wowote! Wataenda kudhalilika vibaya
Hata mimi nilishangaa; nikahisi kuna mchezo unachezwa ili kumrahisishia jaji kazi ya kuandika hukumu.
 
Awali tuliona nguvu kubwa inatumika kudhibiti Watu wasiingie mahakamani.

Tukashuhudia Majaji wakitoa hukumu zilizo kinyume kabisa na mwenendo wa kesi na baada ya kutoa hukumu hizo wakapandishwa vyeo

Switch za ukutani tukaambiwa zimeharibiwa kudhibiti umeme usipatikane

Tukashuhudia ubunifu wa kutoa matangazo live Hadi Jaji akakereka Kwa namna vijana wanavyohabarisha

Exbits zikawa zinatolewa kwenye custody ya Mahakama kinyume cha sheria na utaratibu, Msajili anawasiliana na kukabidhiana exbits na shahidi ofisini kwake

Tumefika Wakati madhahidi wanaanza kusema HAPANA kwa wingi katika ushahidi wao, tumeshuhudia knowledge gap iliyopo kwenye vyombo vy dola pamoja na ofisi ya DPP katika uandaaji mashtaka na kuongoza mashahidi

Kidogo kidogo mwananchi akajaribu kwenda Live Kwa kuchagua vipengele anavyoona yeye vinafaa ila akaidhiwa pumzi

Jaji akaanza kulegeza masharti ya maamuzi hasa kwa kutupilia mbali baadhi ya vielelezo

Mashahidi Wakabanwa na kuanza kukumbushwa baadhi ya Kesi za mateso walizowahi kushiriki. Mashahidi wakaanza kuhusoanishwa na kupotea Kwa Watu.

Mara tunaona ITV wanarusha habari kwa uchambuzi wa hali ya juu tena kwenye taarifa ya habari.

Tunatakari tunabaini hata vyombo vya dola vimenyamaza na kuruhusu wanachadema kuimba wimbo Bado kidogo mambo yatàbadilika mahakamani bila kukamatwa kwa maandamano au makosa ya vurugu.

Uchambuzi kuhusu kesi hii unaanza kufanya kwenye vyombo vya habari. Uhuru wa watuhumiwa unaanza kuonekana.

Kwa Hali hii nataka niamini Kwamba Mhe. Rais amefuatilia kilichotipotiwa na vyombo vya habari, amefuatilia ushahidi unaotolewa, amefuatilia mwenendo wa kesi na amebaini wazi Kwamba kesi hii ilikuwa mtego kwake na ilitengenezwa na wataka Urais 2025 Kwa lengo lakumchonganisha na jamii lakini pia kumfanya aonekane kama anakubaliana na matendo maovu dhidi ya uhai wa binadamu yaliyofanywa na Watu wasiojulikana awamu ya Tano.

Mama amejiridhisha pasipo na shaka Kwamba kundi lililohusika kukusanya ushahidi huu hata kama litapewa fadhila ,ipo siku litatumika vinginevyo dhidi ya watu wengine may be yeye akiwa amestaafu Urais. Amejitunza Kwamba walioumiza watu wakiwemo watu wake wa katibu ni vijana wachache na hakuna namna isipokuwa kuruhusu uchunguzi wa kina wa matukio kadhaa yaliyofanywa na awamu ya Tano. Amebaini Kwamba watu Hawa Wana fedha, kama walichukua milioni mia kama rushwa Arusha, HUKO kwingine walipora kiasi gani? Hizo fedha kwa sasa wamezificha wapi? Wanataka kuzitumia kwa kazi gani?

Kwa funzo hili naamini Mama alikuwa sahihi kesi hii kwenda Mahakamani na imemfanya ajifunze aina ya watu wanaomzunguka na atambue ni strategies gani zitumike kuishi nao. Mwisho naamini mama amejifunza kutomwamini mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke. Bali wakumwamini ni MUNGU pekee.

Niwapongeze wote wanaoshiriki mchakato huu wakutuonyesha njia sahihi, Kila Jambo utokea kwa sababu flani na hii imetokea Kwa makusudi flani. Soon Mbowe na wenzake watarejea Uraiani kuendeleza harakati.

Mwenyenzi Mungu amsaidie mwenye nchi azidi kuwa na macho ya rohoni, asione kijani bali aione tanzania na aamini kwamba Tanzania inaweza kuwepo bila kijani ila kijani hakiwezi kuwepo bila tanzania. Mwenye mungu ampe moyo mkuu wakufungua wafungwa wa kisiasa na wasio na hatia kwa lengo la kuliponywa taifa.

Mwenyenzi Mungu ampe moyo wakukubali adharani kwamba tulikosea awamu ya tano, akawatembelee waliopoteza wapendwa wao wakiwemo wototo wa saanane na gwanda kwa lengo lakuwarejeshea matumaini mapya na kuomba wasidhidi kuomba duha mbaya kwetu bali waombe nchi ipone. Mandela alifanya na hakupungukiwa kitu wala madaraka yake ya urais hayakupungua. Tusameane tuanze upya kuijenga tanzania, madaraka yanapita, kifo kipo.
Watakuja kukupinga,wale wale walioshangilia tulipoteswa sana ndio hao hao wanatushtaki na wanataka kutufunga jela kwa ushahidi na mashahidi wa michongo.Wale watetezi wa kweli wa HAKI,UHURU,UMOJA,DEMOKRASIA na MARIDHIANO ya kuiponya nchi kwa kuandika Katiba mpya!
Walinzi wa amani wanapogeuka watesi wa Raia Wema,lazima hali zetu zitakuwa dhoofu kiuchumi,kijamii na maendeleo yatakuwa ni ndoto.
Ndiyo maana Mh Mbowe yupo gerezani,lengo na dhumuni lake namba 1 ni Katiba kwa gharama ya Uhuru wake.
 
Awali tuliona nguvu kubwa inatumika kudhibiti Watu wasiingie mahakamani.

Tukashuhudia Majaji wakitoa hukumu zilizo kinyume kabisa na mwenendo wa kesi na baada ya kutoa hukumu hizo wakapandishwa vyeo

Switch za ukutani tukaambiwa zimeharibiwa kudhibiti umeme usipatikane

Tukashuhudia ubunifu wa kutoa matangazo live Hadi Jaji akakereka Kwa namna vijana wanavyohabarisha

Exbits zikawa zinatolewa kwenye custody ya Mahakama kinyume cha sheria na utaratibu, Msajili anawasiliana na kukabidhiana exbits na shahidi ofisini kwake

Tumefika Wakati madhahidi wanaanza kusema HAPANA kwa wingi katika ushahidi wao, tumeshuhudia knowledge gap iliyopo kwenye vyombo vy dola pamoja na ofisi ya DPP katika uandaaji mashtaka na kuongoza mashahidi

Kidogo kidogo mwananchi akajaribu kwenda Live Kwa kuchagua vipengele anavyoona yeye vinafaa ila akaidhiwa pumzi

Jaji akaanza kulegeza masharti ya maamuzi hasa kwa kutupilia mbali baadhi ya vielelezo

Mashahidi Wakabanwa na kuanza kukumbushwa baadhi ya Kesi za mateso walizowahi kushiriki. Mashahidi wakaanza kuhusoanishwa na kupotea Kwa Watu.

Mara tunaona ITV wanarusha habari kwa uchambuzi wa hali ya juu tena kwenye taarifa ya habari.

Tunatakari tunabaini hata vyombo vya dola vimenyamaza na kuruhusu wanachadema kuimba wimbo Bado kidogo mambo yatàbadilika mahakamani bila kukamatwa kwa maandamano au makosa ya vurugu.

Uchambuzi kuhusu kesi hii unaanza kufanya kwenye vyombo vya habari. Uhuru wa watuhumiwa unaanza kuonekana.

Kwa Hali hii nataka niamini Kwamba Mhe. Rais amefuatilia kilichotipotiwa na vyombo vya habari, amefuatilia ushahidi unaotolewa, amefuatilia mwenendo wa kesi na amebaini wazi Kwamba kesi hii ilikuwa mtego kwake na ilitengenezwa na wataka Urais 2025 Kwa lengo lakumchonganisha na jamii lakini pia kumfanya aonekane kama anakubaliana na matendo maovu dhidi ya uhai wa binadamu yaliyofanywa na Watu wasiojulikana awamu ya Tano.

Mama amejiridhisha pasipo na shaka Kwamba kundi lililohusika kukusanya ushahidi huu hata kama litapewa fadhila ,ipo siku litatumika vinginevyo dhidi ya watu wengine may be yeye akiwa amestaafu Urais. Amejitunza Kwamba walioumiza watu wakiwemo watu wake wa katibu ni vijana wachache na hakuna namna isipokuwa kuruhusu uchunguzi wa kina wa matukio kadhaa yaliyofanywa na awamu ya Tano. Amebaini Kwamba watu Hawa Wana fedha, kama walichukua milioni mia kama rushwa Arusha, HUKO kwingine walipora kiasi gani? Hizo fedha kwa sasa wamezificha wapi? Wanataka kuzitumia kwa kazi gani?

Kwa funzo hili naamini Mama alikuwa sahihi kesi hii kwenda Mahakamani na imemfanya ajifunze aina ya watu wanaomzunguka na atambue ni strategies gani zitumike kuishi nao. Mwisho naamini mama amejifunza kutomwamini mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke. Bali wakumwamini ni MUNGU pekee.

Niwapongeze wote wanaoshiriki mchakato huu wakutuonyesha njia sahihi, Kila Jambo utokea kwa sababu flani na hii imetokea Kwa makusudi flani. Soon Mbowe na wenzake watarejea Uraiani kuendeleza harakati.

Mwenyenzi Mungu amsaidie mwenye nchi azidi kuwa na macho ya rohoni, asione kijani bali aione tanzania na aamini kwamba Tanzania inaweza kuwepo bila kijani ila kijani hakiwezi kuwepo bila tanzania. Mwenye mungu ampe moyo mkuu wakufungua wafungwa wa kisiasa na wasio na hatia kwa lengo la kuliponywa taifa.

Mwenyenzi Mungu ampe moyo wakukubali adharani kwamba tulikosea awamu ya tano, akawatembelee waliopoteza wapendwa wao wakiwemo wototo wa saanane na gwanda kwa lengo lakuwarejeshea matumaini mapya na kuomba wasidhidi kuomba duha mbaya kwetu bali waombe nchi ipone. Mandela alifanya na hakupungukiwa kitu wala madaraka yake ya urais hayakupungua. Tusameane tuanze upya kuijenga tanzania, madaraka yanapita, kifo kipo.
Adharani (hadharani); duha (dua) kweli wewe mhaya
 
Future posts....
1. Mashahidi wagoma kuja mahakamani...
2. Jaji anayesikiliza kesi amejitoa...
3. Ofisi ya DPP imewasilisha kusudio la kufuta kesi ya Mbowe. Yasema haina nia ya kuendelea nayo!
4. Rais SSH anaendelea kupongezwa kwa kumwachia huru kiongozi wa chama kikuu cha upinzani...
Huwajui chadema wewe!
 
Back
Top Bottom