Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee kura ni Siri bossKura zinapigwa na wajumbe;nikiangalia muundo wa CHADEMA na wajumbe wapiga kura sioni Lissu anakura
Weka Sera za wagombea woteKura zinapigwa na wajumbe;nikiangalia muundo wa CHADEMA na wajumbe wapiga kura sioni Lissu anakura
TAL kashashinda angalia matamko toka atangaze kugombea wajumbe na wapiga kura mikoa yote utapata jibu.Kura zinapigwa na wajumbe;nikiangalia muundo wa CHADEMA na wajumbe wapiga kura sioni Lissu anakura
Hii January Ina balaa, Kwa hiyo unataka uambiwe kwamba Joseph ataenda kupiga kura, Elpaul haendi, Comte atapiga kura mbili, my take uchaguzi maana yake watu watachangua kilichobora by will or influence atakaye PATA kura nyingi ndo mshindi.Kura zinapigwa na wajumbe;nikiangalia muundo wa CHADEMA na wajumbe wapiga kura sioni Lissu anakura
Umezitafutia wapi?.Kura zinapigwa na wajumbe;nikiangalia muundo wa CHADEMA na wajumbe wapiga kura sioni Lissu anakura
Issue sio kushinda issue ni figisu, kama wagombea wao wanakatwa ina maana hata tume imeshawekwa "vizuri"Inaonekana timu ya Lissu kama vile wanajua watashindwa, kwa nini zinaanza hoja za kuhamia NCCR Mageuzi, CHAUMMA , ACT n.k mara chama kipya
Wapi?😁Twende na Lissu
Kuelekea IkuluWapi?😁
Huo ni uchanga kwene siasa. Yaleyale ya Mchungaji laghai Bwana Msigwa.Inaonekana timu ya Lissu kama vile wanajua watashindwa, kwa nini zinaanza hoja za kuhamia NCCR Mageuzi, CHAUMMA , ACT n.k mara chama kipya
TAL kashashinda angalia matamko toka atangaze kugombea wajumbe na wapiga kura mikoa yote utapata jibu.
TAL kashashinda angalia matamko toka atangaze kugombea wajumbe na wapiga kura mikoa yote utapata jibu.