"NBA admitted there should have been a T on Lebron's hanging on the rim and a foul on Jefferson tripping KD. Lebron and Kyire didn't really win the game. The refs decided for them to win by not giving the Warriors any chance to score at least 3 points to win. To bad that GSW plays vs Cavs 8 (+3 refs on their side)!!!"
Huyo si mimi, ni shabiki tu wa NBA!
Bro hata sijui unaongea nini!! hivi CAVAS kufungwa na timu kama detroit piston inaweza kuwa ni justification ya kwamba eti cavs ni timu ya kawaida na hata ushindi dhidi ya warriors ulikuwa ni wa kubebwa!!? Au unamaanisha nini hasa?Golden state sijui inachukiwa sana au ndio timu kubwa kwa sasa NBA maana jana cavs walilala kwa pistons tena kwa point nyingi kama 16 hivi, ingawa LeBron alikaa bench lakini hili lilipaswa kuzungumziwa ila sijaona hata mmoja akilizungumzia hilo why always GSW ndio isemwe ikipoteza tu.
Kuna vitu nilitegemea ungeviona kwenye ile gemu na kuviongelea ni gemu ndogo sawa hatukatai na kupigwa hutokea sawa ila huoni kila l james akikaa benchi mnakula kipigo hiyo ni bad sign kwa cavsBro hata sijui unaongea nini!! hivi CAVAS kufungwa na timu kama detroit piston inaweza kuwa ni justification ya kwamba eti cavs ni timu ya kawaida na hata ushindi dhidi ya warriors ulikuwa ni wa kubebwa!!? Au unamaanisha nini hasa?
Alafu timu kubwa kufungwa na timu ndogo na hasa kama ukupata muda mzuri wa kupumzika mbona ni kawaida!!..kwan wewe hujaonaga barcelona akifungwa na las palmas!?
Alafu hao hao piston ndio vibonde wa league kwa hiyo wakikutana na mkubwa lazima wakaze, kabla hawajashinda hiyo game yao na CAVS huko nyuma walikuwa wamegongwa mechi kama tano mfululizo walipigwa tena kwa magap makubwa makubwa ya point 13+ nyie wenyewe uliwashinda kwa taabu sana(116-112).
Sasa hebu angalia huyo hiyo piston juzi kapigwa na bucks kwa gap la karibu point 16 alafu hao hao bucks walipigwa na CAVs 115-93 mara ya mwisho walivyokutana.
Acheni excuse nyie tulieni hebu ulipe kisasi tareh 16 kama mna uwezo.
Bad sign kivipi? Mbona unakuwa na roho na mawazo ya kichawi hivyo?ila huoni kila l james akikaa benchi mnakula kipigo hiyo ni bad sign kwa cavs
Kutokuwepo kwa JR, subiri JR akirudi na nguvu mpya hata Lebron akikaa nje no shida.Kuna vitu nilitegemea ungeviona kwenye ile gemu na kuviongelea ni gemu ndogo sawa hatukatai na kupigwa hutokea sawa ila huoni kila l james akikaa benchi mnakula kipigo hiyo ni bad sign kwa cavs
Game imeisha kwa Memphis kushinda kwa vikapu 128 vs 119 vya GSWs.
Cha kushangaza ni kwamba Quarter 4 imeanza GSW wakiwa mbele kwa vikapu 19, nakumbuka juzi juzi kwa Cavs walikuwa mbele kwa vikapu 14 Quarter ya mwisho na wakapoteza mchezo.
Hii siyo GSW ilee ambayo ilikuwa wewe ukiitangulia vikapu hata 20 bado unakuwa huna uhakika wa ushindi.
Ndugu Mag3 una lolote la kutuambia?
Korver to Cavs? Wooooh! That would be a killer move!
Dah!
Grizzlies walishinda?
Mimi niliacha kuiangalia hiyo game baada ya GS kuwa mbele kwa double digits.
Kusema ukweli defense ya GS sucks.