Tsk tsk tsk tsk sasa inaashiria kuwa ubitizo umeanza juzi tuu Idacon maana enzi hizo mabitoz walikuwa mahepe sana wanajulikana kila kona au wewe utozi wako ulikuwa wa temeke kigiligilani.
....i think Hawks wange m-sign Patrick Nyembera wa Paz angewapa tuff sana,Kido ni mfupi 5"1 lakini anamachejo sana.
Enzi hizo zipi zama za mawe au walizozaliwa wachangiaji wengi wa kwenye jukwaa la siasa? Alafu wengine local hang out joints tulikuwa tunakwenda kuscoop hunnies up alafu tunatokomea kwingine. So ukiniuliza Bongonian celebrities mimi ni mweupe(siwajui).
Ha ha haa joke of the day....
Twitwitwitwi.....enzi hizo alikuwa bado yupo kwao Kimbiji huko analinda ndezi!! Hahaha! Duh, halafu Hunter alivuta loooongtyme yaani..mungu amrehemu!
Oyaa na wewe vipi ile totoz yako ya Chi town?
Hahaha babu hapo kwenye red umeniacha hoi duh mzee sikuwezi haya majina na maneno sijui unayotoa wapi au una daftari umeyaandika? Uko anatokea Game Theory(joking).
Wee lazima utakuwa unamuongelea demu mmoja hivi yeah ni ligh hivi alafu shotii ndiyo kahamia Dallas kutoka DC,mshikaji powa sana yule ana ndugu zake bado wako DC.
Totoz ipi tena hiyo NN?
Yaps! Atakuwa ndio huyo......next time! Wkend njema!
Heheheheheee....nenda utamu utaikuta
Si bure inaelekea home ilikuwa gate kali sana Icadon eeh.
Haaaa acha kunizushia bana...mimi sijawahi kuwa na totoz iliyobandikwa kwenye ile site.
Haya weekend njema basi usipotee hivyo tumetoka mbali sana unajua tskl tsk tsk tsk.
Kimbiji hivi siyo kule karibu na kisiju?
More like globetrotter kama C-17 vile. Haya ngoja niachie hapo maana QM na Iniesta hawakawii kuanza kulalamika, weekend hii any plans?
Kwikwikwikwiiiiii....leo unai-disown siyo....heheheheheh...haya bana...I see where your loyalty is
Mzushi kweli kweli wewe Lil'Ndava
Kweli mumetoka mbali heheheheh!!!
Bwahahahahahahaa...unajua ninachokiongelea....hihihihiihihihihiiiiii
Hujabadilika kabisa tokea chekechea ya TFNC....lOL
Ha haaa umenikumbusha mbali kweli....