NBA Playoffs

NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.
Tsk tsk tsk tsk sasa inaashiria kuwa ubitizo umeanza juzi tuu Idacon maana enzi hizo mabitoz walikuwa mahepe sana wanajulikana kila kona au wewe utozi wako ulikuwa wa temeke kigiligilani.

Enzi hizo zipi zama za mawe au walizozaliwa wachangiaji wengi wa kwenye jukwaa la siasa? Alafu wengine local hang out joints tulikuwa tunakwenda kuscoop hunnies up alafu tunatokomea kwingine. So ukiniuliza Bongonian celebrities mimi ni mweupe(siwajui).
 
Enzi hizo zipi zama za mawe au walizozaliwa wachangiaji wengi wa kwenye jukwaa la siasa? Alafu wengine local hang out joints tulikuwa tunakwenda kuscoop hunnies up alafu tunatokomea kwingine. So ukiniuliza Bongonian celebrities mimi ni mweupe(siwajui).

Si bure inaelekea home ilikuwa gate kali sana Icadon eeh.
 
Twitwitwitwi.....enzi hizo alikuwa bado yupo kwao Kimbiji huko analinda ndezi!! Hahaha! Duh, halafu Hunter alivuta loooongtyme yaani..mungu amrehemu!

Hahaha babu hapo kwenye red umeniacha hoi duh mzee sikuwezi haya majina na maneno sijui unayotoa wapi au una daftari umeyaandika? Uko anatokea Game Theory(joking).
 
Hahaha babu hapo kwenye red umeniacha hoi duh mzee sikuwezi haya majina na maneno sijui unayotoa wapi au una daftari umeyaandika? Uko anatokea Game Theory(joking).

Mwenzio ndo anakotokea huko....
 
Wee lazima utakuwa unamuongelea demu mmoja hivi yeah ni ligh hivi alafu shotii ndiyo kahamia Dallas kutoka DC,mshikaji powa sana yule ana ndugu zake bado wako DC.

Yaps! Atakuwa ndio huyo......next time! Wkend njema!
 
Si bure inaelekea home ilikuwa gate kali sana Icadon eeh.

More like globetrotter kama C-17 vile. Haya ngoja niachie hapo maana QM na Iniesta hawakawii kuanza kulalamika, weekend hii any plans?
 
Haaaa acha kunizushia bana...mimi sijawahi kuwa na totoz iliyobandikwa kwenye ile site.

Kwikwikwikwiiiiii....leo unai-disown siyo....heheheheheh...haya bana...I see where your loyalty is
 
More like globetrotter kama C-17 vile. Haya ngoja niachie hapo maana QM na Iniesta hawakawii kuanza kulalamika, weekend hii any plans?

Kwani unawa-mind akina QM?!.

This weekend yeah i have plans nakwenda mitaa ya kati hapo kula raha/kupumzisha akili kidogo, si unajua tena life is too short ukipata opportunity tumia.what about you?
 
Kweli mumetoka mbali heheheheh!!!


oh yeah na tunaongea same language siyo wewe ulikuwa inaelekea ubitozi wako umejifunzia kutoka kwenye video games za akina tupac LOL.wenzio tumeanzia chekechea tunakunywa oats zina funza ndani alafu unaambia eti ni vitamins.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom