NBA Playoffs

NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.
Weekend mitaa ya kati ilikuwa heka heka,haya nimerudi na uchomvu kibao.

Nipeni habari familia inakuwaje tena,tugawaneni basi umasikini.
 
Guess who is back
Back again
Sasha is back
Tell a friend
Guess who's back*10

I created a monster, Cause nobody wants to see shasha no more. They want to see Long legged, I am a chopped Liver, well if you want long legged, this is what I will give ya. A little bit of weed mixed with some hard liquor

anyways cheerz homeboyz
 
ulikuwa hujui? mbonA hata officer Ricky na Idris Elba wana ngome zao hapa....

Officer Ricky majanja wa kwao kina QM uko Florida lol kumbe ana rock fake LV... Nelly najua he bought a house(ile walioshoot Tip Drill video ndani yake) lakini sikujua kama amehamishia makazi hapa, alafu huyo mhuni mwenye shati jeusi vipi?

Sasha welcome back, ila wengine sie ni Liquor/weed/nicotine free.
YNIM unakumbuka wimbo wa No Limit wa Make 'em say uuuuuh?
 
Officer Ricky majanja wa kwao kina QM uko Florida lol kumbe ana rock fake LV... Nelly najua he bought a house(ile walioshoot Tip Drill video ndani yake) lakini sikujua kama amehamishia makazi hapa, alafu huyo mhuni mwenye shati jeusi vipi?

Sasha welcome back, ila wengine sie ni Liquor/weed/nicotine free.
YNIM unakumbuka wimbo wa No Limit wa Make 'em say uuuuuh?


Papii wanasema wanaume wasiopenda pombe ni malaya sana.na wakizalisha wanazalisha watoto wa kike kila wakati kwa sababu mbegu haina nguvu.

Thibitisha.

Things make go uuuuh.things make go mmh au siyo huo?
 
Mwenye shati jeusi yupi? Tip?...huyo si anaenda lupango muda si mrefu....
 
Mwenye shati jeusi yupi? Tip?...huyo si anaenda lupango muda si mrefu....

Ebanae for some reasons I thought huyu mhuni alishakwenda lupango na ile simu ya 107.9 kuhusu Alfamega nilijua ameipiga kutoka lupango.

@Sasha, No comment.
 
Ebanae for some reasons I thought huyu mhuni alishakwenda lupango na ile simu ya 107.9 kuhusu Alfamega nilijua ameipiga kutoka lupango.

@Sasha, No comment.

Ahahahahahahaaa....ile alivyotoswa Alfamega nilicheka sana....hawa majamaa wa hip hop wanashangaza sana wakati mwingine....jamaa linajifanya ligumu kumbe li snitch tu halina lolote...
 
Officer Ricky majanja wa kwao kina QM uko Florida lol kumbe ana rock fake LV... Nelly najua he bought a house(ile walioshoot Tip Drill video ndani yake) lakini sikujua kama amehamishia makazi hapa, alafu huyo mhuni mwenye shati jeusi vipi?

Sasha welcome back, ila wengine sie ni Liquor/weed/nicotine free.
YNIM unakumbuka wimbo wa No Limit wa Make 'em say uuuuuh?[/QUOTE]


Nakumbuka hilo dude msee nani! Kulikuwa kuna beshtee mmoja yaani yeye alikuwa anatinga mpaka zile P. Miller hahahaha....unakumbuka "Whodi," Icecream man" .e.t.c! Enzi hizo kuna demu mmoja nakumbuka akitwa Khia nae alitoa dude lake moja (Lick my..) lilikuwa linatoa warrant ya kuchezea "manyaki" ya Ma-Shaniqua kwa kilabu! Lakini mwezetu mjinga mjinga, JF Ndava, NN lazima enzi hizo alikuwa anashinda darhotwire 24/7 akipiga majungu na ufitinishi kama afanyavyo hapa JF....

NN get a life, chukua break kidogo, acha kufanya JF kama msosi.....😎
 
Ndiyo hivi Khia alipoteleaga wapi?.

my neck my back my chest like that,like now lick it good.tsk tsk tsk tsk.
anakwambia first you got put ur yo' neck into it,dont stop just do it.then you roll your tongue frm the crack back tot he front then you get it off keep me up on ya,make sure i keep my eyes on ya all over the club and stuff,real player show me so much love.

this song was the hit.
 
Papii wanasema wanaume wasiopenda pombe ni malaya sana.na wakizalisha wanazalisha watoto wa kike kila wakati kwa sababu mbegu haina nguvu.

Thibitisha.

Things make go uuuuh.things make go mmh au siyo huo?

Sio watoto wa kike tu, pia wanakuwa na matege ya kurudi nyuma kama yale ya Bonta......LOL!!

Pombe ni kinywaji kikongwe, 2nd to water, kilikuwapo hata kabla ya ugundulizi wa chai na kahawa...kama mtu hanywi kwa sababu za kiafya mie pia nasema ameen, lakini kama ni unoko tu au misababu ya kidini then boooooooooo...

Umeona tangazo la Dos Esquies...?
 
Nakumbuka hilo dude msee nani! Kulikuwa kuna beshtee mmoja yaani yeye alikuwa anatinga mpaka zile P. Miller hahahaha....unakumbuka "Whodi," Icecream man" .e.t.c! Enzi hizo kuna demu mmoja nakumbuka akitwa Khia nae alitoa dude lake moja (Lick my..) lilikuwa linatoa warrant ya kuchezea "manyaki" ya Ma-Shaniqua kwa kilabu!
wewe mtoto wa madrasa umejulia wapi mipini hii?
 
NN get a life, chukua break kidogo, acha kufanya JF kama msosi.....😎

Unajua nimekuachia muda mrefu sasa na huu upumbavu wako wa kudai mimi sina life zaidi ya JF.

Sasa Mike Jones nakutaka uthibitishe unayodai hapa. Takwimu zote zipo hapa..posts per day etcetera etcetera. Halafu ukishazipata zigawanye kwa masaa 24 yaliyopo ktk siku nzima halafu tuone kama madai yako yana ukweli.

Nyambaaaf kabisa wewe. Najua kazi zako za unesi hazikuruhusu kutumia kompyuta na sasa unaanza kuwapakazia watu eti wanashinda JF!

Eti get a life. Bloodyfull... I have a great life you modasucka! You wish you had my kind of life you stupid filthy what rhymes with a witch. You need to cut that obssession you have with me. Do you hear me? Now get a different hobby other than obssessing with me....pambaaaaf
 
wewe mtoto wa madrasa umejulia wapi mipini hii?

Mie complex wewe peasant! Ndio nyie wale ukiwa una sali sala tano basi lazima uote sigda! Ehehehehehe au ukiwa msomi basi lazima uwe mnoko.....wenzako tuna diverse ya experience ktk maisha na ndio maana dizaini zako za kutolea mimacho kila jambo tunawaona wagoloko tu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom