Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Sasa kama team hamna iliongozaje league? Ilifikaje semi final FA? Ilifikaje QF CAF CC? Yan ushindi wa juzi ndio unafanya mnawehuka mnakua na ujasiri wa kusema neno lolote bila ya kutafakari? Rage Rage Rage heshima kwakoManeno kibao.....
Yanga team hamna pale.....
Semi Final FA? Simba yupo pia......Sasa kama team hamna iliongozaje league? Ilifikaje semi final FA? Ilifikaje QF CAF CC? Yan ushindi wa juzi ndio unafanya mnawehuka mnakua na ujasiri wa kusema neno lolote bila ya kutafakari? Rage Rage Rage heshima kwako
Singida anaitaka top four, na mnaenda liti hamtoboiKwamba Simba atashinda mechi zote sio? Haya tufanye Simba itashinda mechi zake zote, ila tambua kuwa Yanga mpaka anaenda Mbeya atakuwa tayari ana point 6 atakazopata dhidi ya Singida na Dodoma. Hivyo kule mbeya atakuwa anahitaji alama mbili tu kutangaza ubingwa.
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu wewe umesema Yanga hamna timu mimi nikakwambia kama hamna timu hizo hatua zote ingefikaje naona unaanza kunitajia makolokolo mengine.Semi Final FA? Simba yupo pia......
QF CAF CC? Simba yupo QF CL ambayo yanga aliondolewa hatua za awali.
Unaongoza ligi? Kwa tofauti ya point ngapi na bado mechi ngapi?
Ukishajiuliza hilo utaacha kubrag hapa, yanga hivi yanga vile.
Kuongoza ligi haimaanishi ndio una team nzuri kuliko wote, tukijumlisha zaidi ya point 10+ ulizonufaika nazo kutokana na "makosa ya kibinadamu".
Top four tayari imejulikana kwa game zilizobaki hata Geita Gold akishinda game zote hawezi kufikia alama alizonazo Azam aliye nafasi ya 4. Ambacho SBS anapambania ni kumaliza nafasi ya 3 tu. Kwa hiyo pamoja na ivyo haibadilishi ukweli mechi na Yanga itakua ngumu lakini nae Yanga anapambana kutetea ubingwa wake.Singida anaitaka top four, na mnaenda liti hamtoboi
Makosa ya kibinadamu yakiwa yanawanufaisha nyie pekee tuelewaje?[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu wewe umesema Yanga hamna timu mimi nikakwambia kama hamna timu hizo hatua zote ingefikaje naona unaanza kunitajia makolokolo mengine.
Eti makosa ya kibinadamu lol. Kwa hiyo ni Yanga peke yake imenufaika na hayo makosa hakukuwa na timu nyingine? Okay kwakua umesema makosa ya kibinadamu hakuna shida.
Kama ungekua unauelewa mpira vizuri usinge dharau hilo gape la point 5 kwako ni mlima na Yanga pia lazima apambane kuhakikisha haachi alama hiyo haijalishi Yanga au Simba wamebakisha kucheza na timu gani.
Umjui lwambano kaangalie sherehe za Simba dayNdo mchambuz nliemwamini kwamba Hana mahaba na timu yyte ila Leo amedhiirisha unazi wake kwa Yanga...Kila wenzake wakimpa fact anabisha tu bila sababu za msingi
Hapo Singida, Moto utawaka, Singida na Azam wamepishana point 1 tu, na wote wanaitaka nafasi ya 3 ili wapate uhakika wa kushiriki shirikisho mwakani. Singida anahitaji kumfunga Yanga kupata nafasi hiyo.Kwamba Simba atashinda mechi zote sio? Haya tufanye Simba itashinda mechi zake zote, ila tambua kuwa Yanga mpaka anaenda Mbeya atakuwa tayari ana point 6 atakazopata dhidi ya Singida na Dodoma. Hivyo kule mbeya atakuwa anahitaji alama mbili tu kutangaza ubingwa.
Kwamba Simba atashinda mechi zote sio? Haya tufanye Simba itashinda mechi zake zote, ila tambua kuwa Yanga mpaka anaenda Mbeya atakuwa tayari ana point 6 atakazopata dhidi ya Singida na Dodoma. Hivyo kule mbeya atakuwa anahitaji alama mbili tu kutangaza ubingwa.
UnawewesekaHawa makolo ndio maana rage aliwaita Mbumbumbu... Yaani hata hesabu za vidole hawawez... Wamemfunga Bingwa wao wa miaka yote basi wanaamini Yanga atafungwa mechi zilizobaki zote alafu wao washinde zote ukiwa mpumbavu ni mpumbavu tu...
Ni heri jana makolo mngekubali mfungwe na Yanga maana Yanga ingezidi kujiamini na kujisahau ambapo mngekutana nayo ½ Fainali ya Azam mngeifunga Yanga vzuri tu... Ila sasa kwasabab mmemkumbusha Prof Nabi na vijana wake kwamba wana overconfidence sana basi Mtakandwa ½ Fainali na mtakosa makombe yote tena na tena... Yaani next time Nabi atawashona marinda yote mliyopoteza
Points nyingi yanga imekusanya kutokana na maamuzi mabaya marefa.Tupunguze hisia kukamia mechi sio sababu ya kutokufungwa. Aliyebora kuliko mwenzake ndio atashinda nawashangaa mnaomponda Lwambano kwakua anasema Yanga atabeba ubingwa. Niwaulize Yanga kashinda mechi mgapi ngumu zaidi ya hizo mnazoziona nyie tena zenye maamuzi kabisa? Yan kwakua tu Mbeya City au Prison wako kwenye hatari ya kushuka daraja ndio iwe ngumu kwa Yanga kupata point kwenye hizo mechi.
Alex Lwambano ana hoja ni kutokana na usajili iliyofanya Yanga ndio maana anaipa mafasi kubwa kuendeleza kile alichokifamya huko nyuma. Yan kwa chuki zenu ndio hamtaki kumsikia aliye kinyume na fikra zenu za kipuuzi eti ubingwa wa Yanga upo rehani. Mbumbumbu wahed wakubwa
Kama hiyo ndio sababu Yanga kuongoza ligi mpaka sasa basi bila shaka Yanga atabeba ubingwa kwa sababu hiyohiyo ya maamuzi mabaya ya marefa.Points nyingi yanga imekusanya kutokana na maamuzi mabaya marefa.
Kifupi mpaka ilipofika imebebwa sana
Na pia katika hizo game 26 akumbuke katika game 25 Yanga ndio timu pekee iliyokuwa na wastani wa kufunga bao katika kila mchezoUna uhakika wewe kama nani? Wewe ni Mungu? Au ni mchezaji unayecheza uwanjani? Au upo sehemu ya benchi la ufundi? Unasemaje una uhakika wakati mpira uchezi wewe? Yanga kacheza michezo 26 kapoteza game mbili tu je kipi kinachokufanya uwe na uhakika?
Nabi anasisitiza waamuzi wawe na hofu ya Mungu.Kama hiyo ndio sababu Yanga kuongoza ligi mpaka sasa basi bila shaka Yanga atabeba ubingwa kwa sababu hiyohiyo ya maamuzi mabaya ya marefa.
At least kwenye hiyo nusu mumpange Mayele msirudie kosa tena kumpanga Mzinze kwenye mechi kama hiziHawa makolo ndio maana rage aliwaita Mbumbumbu... Yaani hata hesabu za vidole hawawez... Wamemfunga Bingwa wao wa miaka yote basi wanaamini Yanga atafungwa mechi zilizobaki zote alafu wao washinde zote ukiwa mpumbavu ni mpumbavu tu...
Ni heri jana makolo mngekubali mfungwe na Yanga maana Yanga ingezidi kujiamini na kujisahau ambapo mngekutana nayo ½ Fainali ya Azam mngeifunga Yanga vzuri tu... Ila sasa kwasabab mmemkumbusha Prof Nabi na vijana wake kwamba wana overconfidence sana basi Mtakandwa ½ Fainali na mtakosa makombe yote tena na tena... Yaani next time Nabi atawashona marinda yote mliyopoteza
Shirikisho lazima itashiriki timu namba tatu na nne kwenye msimamo wa ligi kuu. Narudia ni lazima iwe hivyo na sababu ni hizi hapa.Hapo Singida, Moto utawaka, Singida na Azam wamepishana point 1 tu, na wote wanaitaka nafasi ya 3 ili wapate uhakika wa kushiriki shirikisho mwakani. Singida anahitaji kumfunga Yanga kupata nafasi hiyo.
Ni sahihi na ndio mpira wa miguu ulivyo, ni mchezo usiotabirika. Sasa huyo unaayesema ana uhakika yeye mwenzetu ni nani.Na pia katika hizo game 26 akumbuke katika game 25 Yanga ndio timu pekee iliyokuwa na wastani wa kufunga bao katika kila mchezo
Kasoro tu ile ya juzi
Point zngekuw zinachukuliwa kirahisi hvyo hakuna ulazima wa kuwa na mashindanoKwamba Simba atashinda mechi zote sio? Haya tufanye Simba itashinda mechi zake zote, ila tambua kuwa Yanga mpaka anaenda Mbeya atakuwa tayari ana point 6 atakazopata dhidi ya Singida na Dodoma. Hivyo kule mbeya atakuwa anahitaji alama mbili tu kutangaza ubingwa.