Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna lolote hahahaGooooal dodoma wanaongeza goli la nne kutoka waziri junior dakika 90..
Dodoma 4
Simba 2.
Mpira umekwisha
mamtu ya Yanga ni utopolo tu. kama na wewe ni Yanga am soryJamaa hayuko siriaz hajui wengine wanafuatia hapa Jf gemu dk zote 90
Hii ni social media and not your room media,hvo muache ale Uhuru wake ili mradi hajavunja sheria za nchi,halafu nakushauri utafute kazi ili uwe busy siyo kila mara unabishana mambo ya mpira tuSijui kwanini mashabiki wengi wa Utopolo wanapenda kukengeuka, uzi unafatiliwa na wengi lakini nyie mnajitoa ufahamu kupotosha
Refa kawanyima penati tatu za wazi kabisa dodoma jijiHii ni social media and not your room media,hvo muache ale Uhuru wake ili mradi hajavunja sheria za nchi,halafu nakushauri utafute kazi ili uwe busy siyo kila mara unabishana mambo ya mpira tu
Tutalipeleka kwa mama usijariRefa kawanyima penati tatu za wazi kabisa dodoma jiji
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Du Wamembatiza ' LUSAKA MWAMBA '
Pole sana, kuna nyakati za furaha na huzuniUshindi wa ajabu una makalio huo Ushindi.
Hii usiache ipite....Fanya Press Conference Mr Kilo Mia nane Asikose...!Refa kawanyima penati tatu za wazi kabisa dodoma jiji
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
na ndio kazi ya wachezaji. Mchezaji asiye struggle hafai kuwemo timu inayoshiriki michuano ya kimataifaSimba wana struggle sn,hawapo aggressive. Like wamechoka sanaaa.
Lazima wachoke, wamecheza mechi 7 (za kimataifa zaidi ya timu zingine) na kusafiri safari ndefu nyingi (dar-niamey-casablanca-moroko mikoani.. halafu urudi dar ucheze mechi kila baada ya siku 2 si mchezo).Simba wana struggle sn,hawapo aggressive. Like wamechoka sanaaa.
Wajipange sn
Unaandika huku unatetemekaSimba wana struggle sn,hawapo aggressive. Like wamechoka sanaaa.
Wajipange sana.
Lazima wachoke, wamecheza mechi 7 (za kimataifa zaidi ya timu zingine) na kusafiri safari ndefu nyingi (dar-niamey-casablanca-moroko mikoani.. halafu urudi dar ucheze mechi kila baada ya siku 2 si mchezo).Simba wana struggle sn,hawapo aggressive. Like wamechoka sanaaa.
Wajipange sana.
Tabularasa weweHii ni social media and not your room media,hvo muache ale Uhuru wake ili mradi hajavunja sheria za nchi,halafu nakushauri utafute kazi ili uwe busy siyo kila mara unabishana mambo ya mpira tu