NBC Premier League: Police Tanzania 0-1 Simba SC (27/10/2021)

NBC Premier League: Police Tanzania 0-1 Simba SC (27/10/2021)

Simba, vilevile, wasitegemee sana kushinda mechi zao kupitia penalti, hii pia itawagharimu sana.
Penati inatokana na makosa ya mpinzani ndani ya eneo lake la hatari, which means simba hupeleka mashambulizi makali kwa wapinzani hadi wanasababisha penati
 
Penati inatokana na makosa ya mpinzani ndani ya eneo lake la hatari, which means simba hupeleka mashambulizi makali kwa wapinzani hadi wanasababisha penati
Sio kwamba penati zote waga ni halali kwa asilimia mia moja kwani kuna timu zikisha zidiwa ujanja hutafuta penati ki-magumashi. Simba inawezekana wanachukua muelekeo huo.. 🤯🤯
 
Sio kwamba penati zote waga ni halali kwa asilimia mia moja kwani kuna timu zikisha zidiwa ujanja hutafuta penati ki-magumashi. Simba inawezekana wanachukua muelekeo huo.. 🤯🤯
Refarii anatakiwa aamue kama ni penati au la. Lakini hata wachezaji mabeki wa timu zinazocheza na Simba wanatakiwa wahakikishe wanakwepa mitego hiyo. Kutafuta penati kwa ujanja inaruhusiwa tu
 
Back
Top Bottom