NBC Wamemtoa Wapi Twiga Mwenye Rangi Nyekundu

NBC Wamemtoa Wapi Twiga Mwenye Rangi Nyekundu

Matumizi mabaya ya Nyara za serikali hayawezi kuhalalishwa kisa tunahitaji pesa! Sikuwa nina muda wa kujadiri hili kabla hawakuwa wadhamini wa Ligi.

Ila kwa sasa kitendo cha kuwa wadhamini wa ligi naona itaenda kuathiri reputation ya Klabu Kubwa Kama Yanga kwa kutufanya washirika katika Matumizi Mabaya Ya Nyara za Serikali.

Tumekataa kuwa sehemu ya mpango huo.

Tumekubaliana kuwa Twiga wetu atakuwa na rasi inayofanana na wale walioko serengeti. Hii ni sawa na kuunga mkono jitihada za serikali katika Utalii.
Kwa hiyo twiga kuchorwa kwa rangi nyekundu ni matumizi mabaya ya nyaraka za kiserikali?

Unaweza kuniambia ni serikali gani iliyochora tembo mwekundu kwenye noti ya 10,000?
2019112508090879.jpg


Unaweza kuniambia tembo wekundu wapo katika hifadhi gani kokote kule duniani?

Unaweza kunipa sababu kwanini yanga isionekane ni club inayo chafua utu wa mtu kwa kuweka rangi ya njano katika ngozi ya watu waliochorwa kwenye logo ya club?
 
Matumizi mabaya ya Nyara za serikali hayawezi kuhalalishwa kisa tunahitaji pesa! Sikuwa nina muda wa kujadiri hili kabla hawakuwa wadhamini wa Ligi.

Ila kwa sasa kitendo cha kuwa wadhamini wa ligi naona itaenda kuathiri reputation ya Klabu Kubwa Kama Yanga kwa kutufanya washirika katika Matumizi Mabaya Ya Nyara za Serikali.

Tumekataa kuwa sehemu ya mpango huo.

Tumekubaliana kuwa Twiga wetu atakuwa na rasi inayofanana na wale walioko serengeti. Hii ni sawa na kuunga mkono jitihada za serikali katika Utalii.
We ni mpumbavu kama hata kampuni iliyobuni nembo yake unaisahihisha na huhusiki na lolote ,matumizi mabaya yapi za nyara za serikali kisa rangi?wale Bibi na bwana kwenye nembo ya taifa ni rangi yao?tembo mwenyekundu kwenye sh 10,000 na faru wa blue kwenye sh 5000 ni rangi zao halisi?

Akili za utopolo ni shida
 
Watu watatoka Ulaya kuja kuangalia Twiga mwekundu katika mbuga zetu na tutawaeleza nini kama wasipowakuta Twiga wenye rangi hiyo nyekundu

Kama taifa tunaelekea kubuya sana, kama tukitangaza Twiga mwekundu ilihali hatuna specie ya namna katika mbuga zetu

Kuna kila namna ya NBC watueleze huyu Twiga mwekundu walimtoa wapi?

Serikali ya Mama Samia hawatakiwi kulichulia kawaida hili swala

Naomba kuwasilisha
 
Watalii wanauliza huyo twiga yupo mbuga gani wakamuone. NBC jarbuni kuwa na michoro yenye uhalisia watalii wakituuliza huyo twiga yupo mbuga gani tutawaomba mtujibie hili swali
 
Kwa hiyo twiga kuchorwa kwa rangi nyekundu ni matumizi mabaya ya nyaraka za kiserikali?

Unaweza kuniambia ni serikali gani iliyochora tembo mwekundu kwenye noti ya 10,000?
2019112508090879.jpg


Unaweza kuniambia tembo wekundu wapo katika hifadhi gani kokote kule duniani?

Unaweza kunipa sababu kwanini yanga isionekane ni club inayo chafua utu wa mtu kwa kuweka rangi ya njano katika ngozi ya watu waliochorwa kwenye logo ya club?
Ongeza na faru wa blue kwenye elfu 5
 
Yaani iyo 2.5b ukiigawanya kwa timu 16 wanapata milioni 156 na laki2.5 . Hivi hizo milioni 156 kwa mwaka ndo uje kutusumbua kulazimisha kumuweka twiga mwekundu kwenye jezi ya mwananchi you can't be serious🤣🤣🤣🤣.

Yote kwa yote pesa haikataliwi ila kuna pesa za kuwekeana masharti hata kampuni TeamViewer anaekaa kifuani kwenye jezi za Man United logo yao ni ya blue ila kwa utamaduni wa United huwezi weka rangi ya blue kwenye jezi zao nyekundu ikawabidi waweke logo nyeupe kwenye jezi

. Utamaduni wa klabu uheshimiwe ukitaka kuuvuna basi weka pesa inayoeleweka kidogo watu wanaweza kukufukiria😀😀😀Kama wewe ni kolo umeumbwa kubisha bisha
 
Dont take life that much serious changaule. We're just having a good time right here. Nothing is serious though.
Sawa mkuu, nilijua umeweka ligi ya kiukweli ukweli mpaka kombe liondoke na mtu. Sawa kama katika masihara
 
Yaani iyo 2.5b ukiigawanya kwa timu 16 wanapata milioni 156 na laki2.5 . Hivi hizo milioni 156 kwa mwaka ndo uje kutusumbua kulazimisha kumuweka twiga mwekundu kwenye jezi ya mwananchi you can't be serious[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Yote kwa yote pesa haikataliwi ila kuna pesa za kuwekeana masharti hata kampuni TeamViewer anaekaa kifuani kwenye jezi za Man United logo yao ni ya blue ila kwa utamaduni wa United huwezi weka rangi ya blue kwenye jezi zao nyekundu ikawabidi waweke logo nyeupe kwenye jezi

. Utamaduni wa klabu uheshimiwe ukitaka kuuvuna basi weka pesa inayoeleweka kidogo watu wanaweza kukufukiria[emoji3][emoji3][emoji3]Kama wewe ni kolo umeumbwa kubisha bisha
Unaidharau kumbuka mlikuwa na Zahera mkizunguka na kibubu mpate bukubuku ili mpate mafuta ya kuwapeleka morogoro
 
Unaidharau kumbuka mlikuwa na Zahera mkizunguka na kibubu mpate bukubuku ili mpate mafuta ya kuwapeleka morogoro
Wameona yanga tumekaa kimya wakaamua kutuchokoza na huyo twiga wao mwekundu, abadilishwe rangi haraka sana
 
Hizo ni technic za biashara na ndiyo maana umeshawatangaza hapa bila shuruti na bila kujua kuwa umewatangazia biashara yao.
 
Wameona yanga tumekaa kimya wakaamua kutuchokoza na huyo twiga wao mwekundu, abadilishwe rangi haraka sana
Akibadilishwa hatukubali tutaenda mahakamani kanuni za udhamini zifuatwe,haiwezekani mdhamini abadili logo kwa ajili ya timu moja Kati ya timu 16 inayoitwa utopolo
 
Akibadilishwa hatukubali tutaenda mahakamani kanuni za udhamini zifuatwe,haiwezekani mdhamini abadili logo kwa ajili ya timu moja Kati ya timu 16 inayoitwa utopolo
Serikali+bunge+mahakama+yanga=Tanzania,kwahiyo hao NBC watafuata wanachotaka yanga,halaf pia kasome na katiba ya fifa kuhusu culture za clubs usiishie kwnye katiba ya tff

Kumbukeni kibatala ni mwananchi na huko mahakamani tutawafanya vibaya sana
 
Suala sio wa muda gani? Suala ni je kuna twiga mwekundu

Kwa akili za Utopolo Naamini iko siku Utahoji hakuna Ndege Mwekundu mpaka Miguu hivyo yule aliyepo kwenye Nembo ya Jezi ya LIVERPOOL FC abadilishiwe.
 
Serikali+bunge+mahakama+yanga=Tanzania,kwahiyo hao NBC watafuata wanachotaka yanga,halaf pia kasome na katiba ya fifa kuhusu culture za clubs usiishie kwnye katiba ya tff

Kumbukeni kibatala ni mwananchi na huko mahakamani tutawafanya vibaya sana
Tusubiri itakwaje tusikaze misuli bure
 
Back
Top Bottom