Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Sawa. Maana serikalini kuna Mama na Majaliwa, na bungeni kuna Ndugai na Tulia Ackson. Wote hao ni wananchi 😀Serikali+bunge+mahakama+yanga=Tanzania,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa. Maana serikalini kuna Mama na Majaliwa, na bungeni kuna Ndugai na Tulia Ackson. Wote hao ni wananchi 😀Serikali+bunge+mahakama+yanga=Tanzania,
Mkuu kama umewahi kupita kule mikumi kuna twiga mpaka wa rangi nyeusiTangu lini twiga anakuwa na rangi nyekundu, Sisi kama Wanajangwani Tutamrudishia Rangi Yake ya Khaki.
View attachment 1965727
Twiga wetu sisi ni huyu hapa Chini.
View attachment 1965730
Unaanzaje kumpangia awaleteaye ugali Utopwise?Acheni hizo.Baniani mbaya kiatu yake dawa ya gono!😝😝😝😝😝
mbuga gani, jangwani kua mbuga?Wamemtoa wapi! Mbona katika Mbuga zetu hakuna "Red Giraffe"..?
Kwahyo mpk leo hujui kwamba Mama ni Mwananchi, halafu bungeni maamuzi yanapita kwa kupigiwa kura na sio maamuzi ya mtu mmoja na lile bunge kwa ninavyolijua robo tatu ni Wananchi kabisaSawa. Maana serikalini kuna Mama na Majaliwa, na bungeni kuna Ndugai na Tulia Ackson. Wote hao ni wananchi 😀
Na twiga pia ni wananchi, na manyani piaKwahyo mpk leo hujui kwamba Mama ni Mwananchi, halafu bungeni maamuzi yanapita kwa kupigiwa kura na sio maamuzi ya mtu mmoja na lile bunge kwa ninavyolijua robo tatu ni Wananchi kabisa
Kwani NBC wameanza baada ya kudhamini ligi?
Ulikua wapi kuuliza kabla ya wao kudhamini ligi?
![]()
Naona watu wa njano hapo kwenye logo ya utopolo, unaweza kuniambia hao watu ni specie gani na wanatoka galaxy gani?
Nilitaka nipite kimya kimya kwenye huu Uzi lkn Kwa upotoshaji wa hii comment hakuna namna inabidi Tu nikujibu.. Manchester United wamewahi kuwa na jersey ya blue kabisa..kwani ni lazima kuongopa mkuu?Yaani iyo 2.5b ukiigawanya kwa timu 16 wanapata milioni 156 na laki2.5 . Hivi hizo milioni 156 kwa mwaka ndo uje kutusumbua kulazimisha kumuweka twiga mwekundu kwenye jezi ya mwananchi you can't be serious[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Yote kwa yote pesa haikataliwi ila kuna pesa za kuwekeana masharti hata kampuni TeamViewer anaekaa kifuani kwenye jezi za Man United logo yao ni ya blue ila kwa utamaduni wa United huwezi weka rangi ya blue kwenye jezi zao nyekundu ikawabidi waweke logo nyeupe kwenye jezi
. Utamaduni wa klabu uheshimiwe ukitaka kuuvuna basi weka pesa inayoeleweka kidogo watu wanaweza kukufukiria[emoji3][emoji3][emoji3]Kama wewe ni kolo umeumbwa kubisha bisha
No thank you. You are real serious. And not only you.Dont take life that much serious changaule. We're just having a good time right here. Nothing is serious though.
Hiyo ni rangi ya NBCSuala sio wa muda gani? Suala ni je kuna twiga mwekundu
Wewe tuachie timu yetu, halafu kufuatilia mambo yasiyo kuhusu sio mchongoNo thank you. You are real serious. And not only you.
Mnatuaibisha sana wenzenu. Nembo ya Vodacom tulianza hivi hivi. Tubadilishe na rangi ya damu zetu kuwa ya njano au kijani basi.
Bora tujitoe basi katika ligi kama tunajitoa akili kwa mambo madogo kama haya. Nembo ya mtu anaedhamini ligi unamwekea masharti.
Usiumize kichwa. Hakuna mwenye ufahamu wa kukuelewa hata mmoja huko utopolo.Kwa hiyo twiga kuchorwa kwa rangi nyekundu ni matumizi mabaya ya nyaraka za kiserikali?
Unaweza kuniambia ni serikali gani iliyochora tembo mwekundu kwenye noti ya 10,000?
![]()
Unaweza kuniambia tembo wekundu wapo katika hifadhi gani kokote kule duniani?
Unaweza kunipa sababu kwanini yanga isionekane ni club inayo chafua utu wa mtu kwa kuweka rangi ya njano katika ngozi ya watu waliochorwa kwenye logo ya club?
Wewe kama mshabiki wa Yanga na sio Mzee Kikwete au Manara, Sunday basi huna akili hata za kuvukia barabara acha za ku-argueTangu lini twiga anakuwa na rangi nyekundu, Sisi kama Wanajangwani Tutamrudishia Rangi Yake ya Khaki.
View attachment 1965727
Twiga wetu sisi ni huyu hapa Chini.
View attachment 1965730
Fikra zako zimeishia hapo? Hainihusu kwa vipi. We una hati milki ya hii timu? Tukiambiana ukweli unatuona hatuhusiki. Mambo mengine ya kishamba.Wewe tuachie timu yetu, halafu kufuatilia mambo yasiyo kuhusu sio mchongo
Nitarudi kwa ajili yako
Suala sio twiga. Suala ni nembo. Kwani nani amekwambia huyo wa NBC ni twiga?
Rangi ya NBC wakati unaona kapakwa twiga kwa nn wasimwache na rangi yake wao wapake hiyo nembo nyingineHiyo ni rangi ya NBC
Duh! Leo tuna kiburi mpaka hatua hii. Kweli ukitaka kujua tambia ya mtu msubiri akipata pesa [emoji119][emoji119]Yaani iyo 2.5b ukiigawanya kwa timu 16 wanapata milioni 156 na laki2.5 . Hivi hizo milioni 156 kwa mwaka ndo uje kutusumbua kulazimisha kumuweka twiga mwekundu kwenye jezi ya mwananchi you can't be serious[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Yote kwa yote pesa haikataliwi ila kuna pesa za kuwekeana masharti hata kampuni TeamViewer anaekaa kifuani kwenye jezi za Man United logo yao ni ya blue ila kwa utamaduni wa United huwezi weka rangi ya blue kwenye jezi zao nyekundu ikawabidi waweke logo nyeupe kwenye jezi
. Utamaduni wa klabu uheshimiwe ukitaka kuuvuna basi weka pesa inayoeleweka kidogo watu wanaweza kukufukiria[emoji3][emoji3][emoji3]Kama wewe ni kolo umeumbwa kubisha bisha
Shati la mikono mifupi hujaliona hapo, hiyo mikono ambayo haiko covered na nguo unaitambua rangi yake?Hakuna watu wa njano hapo, Ila mavazi yao ndiyo ya njano na kijani. Hebu tazama vizuri
Wanajangwani hatujawahi kuyumbishwa...twiga mwekundu huyo atakuwa broiler [emoji16][emoji16][emoji16]Tangu lini twiga anakuwa na rangi nyekundu, Sisi kama Wanajangwani Tutamrudishia Rangi Yake ya Khaki.
View attachment 1965727
Twiga wetu sisi ni huyu hapa Chini.
View attachment 1965730