Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Embu kua mtu mzima basi mzeeWatu watatoka Ulaya kuja kuangalia Twiga mwekundu katika mbuga zetu na tutawaeleza nini kama wasipowakuta Twiga wenye rangi hiyo nyekundu
Kama taifa tunaelekea kubuya sana, kama tukitangaza Twiga mwekundu ilihali hatuna specie ya namna katika mbuga zetu
Kuna kila namna ya NBC watueleze huyu Twiga mwekundu walimtoa wapi?
Serikali ya Mama Samia hawatakiwi kulichulia kawaida hili swala
Naomba kuwasilisha
Luc Emely alisemaje..???Kweli mkuu bora hata yanga wapo wawili wenye akili kwenu waliitwa wote mbumbumbu
Sisi tuna wawili wenye akili kwenu hakuna hata mmoja
Na huo moto wa kijani je? Na umevaa nguo au?Hakuna watu wa njano hapo, Ila mavazi yao ndiyo ya njano na kijani. Hebu tazama vizuri
Dar es Salaam Young Africans ni tu ya watu, ni timu ya wananchi na hilo lazima lithibitishwe katika proper logo ya timu, ukiangalia utawaona hao wananchi wenyewe, just simple as thatEmbu kua mtu mzima basi mzee
Kwa hiyo mgeni anavokuja kuangalia yanga anategemea wanafunzi wakiume na wakike wenye rangi ya njano na sketi za kijani wanacheza??
Au nyie yanga mna mwenge?
Sasa mkuuu mbona wewe utopolo unakua kama kunguru mjane?Dar es Salaam Young Africans ni tu ya watu, ni timu ya wananchi na hilo lazima lithibitishwe katika proper logo ya timu, ukiangalia utawaona hao wananchi wenyewe, just simple as that
Kwa ushauri tu kunywa maji mengi sana ya baridi ili ulegeze hiyo misuli ya kichwa
Ebu nitolee UMBUMBUMBU wako hapa, inaonekana hujui hata Maana ya LogoSasa mkuuu mbona wewe utopolo unakua kama kunguru mjane?
Kwahyo timu ikiwekewa logo ya simba maana ake ni simba wanacheza ??? Haya na mabondia wapo pale utopoloni?
Sio kila logo lazima iendane na kampuni mkuu lazima uelewe
Una uhakika kwamba wale ni watu?Kwa mantiki hiyo wale watu wa manjano kwenye logo yenu wanapatikana wapi, Jangwani?
Una uhakika kwamba wale ni watu?Logo ya timu yenu ina watu wenye rangi ya njano usoni, hiyo ni rangi halisi ya mtu?
yeah, tena wapo walio vaa sketi kuonesha ni wakike, na wapo mabondia piaUna uhakika kwamba wale ni watu?
halafu na mbumbumbu watambuliwe vipi?WHO inabidi wautambue UTO kama ni ugonjwa hatari, tena unaoshambulia mfumo wa fahamu na ubongo
Mkuu wale ni majini, asikuambie mtu kwamba wale ni watuyeah, tena wapo walio vaa sketi kuonesha ni wakike, na wapo mabondia pia
Unataka kuniambia ni kitu gani unaweza uka refer tofsuti na watu?
Halafu kwa mbinu hiyo hiyo utayoweza ku refer wale watu kwenye logo yenu kwanini usiitumie ku-refer twiga wa NBC na kitu kingine yofauti na twiga halisi?
Jee tembo huyu mwekundu anapatikana wapi?Twiga halisi huwa si mwekundu. Huo uekundu ni feki. Weka rangi ya twiga mwenyewe
Na BOT wamempata wapi tembo mwenye rangi nyekunduTangu lini twiga anakuwa na rangi nyekundu, Sisi kama Wanajangwani Tutamrudishia Rangi Yake ya Khaki.
View attachment 1965727
Twiga wetu sisi ni huyu hapa Chini.
View attachment 1965730
Embu jiongeze basi nbc ni benki mbna hamna safe pale au hela?Ebu nitolee UMBUMBUMBU wako hapa, inaonekana hujui hata Maana ya Logo
Dar es Salaam Young Africans Sports Club maana yake ni klabu ya michezo ndani yake ikiwemo football, boxing, Marathon, and other sports Na Ndio maana haiitwi Yanga f.c,hapo inabidi uelewe kwanza na ndio maana kwenye logo ya Yanga inaonesha ile michezo yote
Hivyo hivyo kwa simba sports club, huwezi kumuweka tembo kwenye logo na ni lazima awepo simba tena anakuwa mwekundu
Logo defines the company activity and what is dealing with, that's why we insist the reality of company logo
Nakuomba usiendelee Kuonesha UMBUMBUMBU wako hapa
Hata kwenye logo ya NBC lile ni ghost sio twiga, we uliona wapi twiga kama yule?Mkuu wale ni majini, asikuambie mtu kwamba wale ni watu