Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Za mchana mr MchambuziNakutakia usiku mwema wewe na familia yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za mchana mr MchambuziNakutakia usiku mwema wewe na familia yako.
Naona mlikaza ngozi ikakataa kufumuka hahahahUsinambie[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23] Ukimzoesha mbwa vibaya kuna siku atakufata mpaka msikitini/kanisani. Haka katimu ka juzi tu kameanzaje kututoa jasho wakongwe[emoji28][emoji28]Naona mlikaza ngozi ikakataa kufumuka hahahah
Mwe mwe mweee. Haka ka mbogwe maji kalitaka kutuadhili jana mpwaKipa ni mchezaji pia,na ili ufungwe lazima ufanye makosa.......Mayele lazima apewe heshima yake tu
Wale watakaofuata kucheza nao Kazi wanayo,wameongeza Yakuba toka Yanga,Okwa na Akpan na baadhi ya wachezaji.........bora si tumemaliza mapema na Bado game 8 tuwe champions tena........na game za mikoani zimebaki kwetu 2 zingine zote Kwa BenMwe mwe mweee. Haka ka mbogwe maji kalitaka kutuathili jana mpwa
Ushabiki sio kukoseana heshima amiiiHivi Kuna uhusiano gani Kati ya kuwa shabiki wa Utopolo na kukosa akili?
Ratba ya kumalizia imekaa utamu sanaWale watakaofuata kucheza nao Kazi wanayo,wameongeza Yakuba toka Yanga,Okwa na Akpan na baadhi ya wachezaji.........bora si tumemaliza mapema na Bado game 8 tuwe champions tena........na game za mikoani zimebaki kwetu 2 zingine zote Kwa Ben
Saaana sisi hatuna safari saizi ni kwenda Kwa Mkapa tu.......sasa acha hao wengine wakahangaike kwenye mashamba ya Mpunga mkoani huko,maana mvua zinanyesha saiziRatba ya kumalizia imekaa utamu sana
Unatoka dubai unaenda kucheza manungu[emoji16][emoji16][emoji16]Saaana sisi hatuna safari saizi ni kwenda Kwa Mkapa tu.......sasa acha hao wengine wakahangaike kwenye mashamba ya Mpunga mkoani huko,maana mvua zinanyesha saizi
Si tulishamaliza huko vijijini, mechi kama 7 hivi zote Kwa BenUnatoka dubai unaenda kicheza manungu[emoji16][emoji16][emoji16]
Hawakawii kulalamika kuwa wanaonewa, wakajisahaulisha round ya 1 wanakipiga kwa mkapa Yanga wanaenda mashambani.
Byuti byuti tuuSi tulishamaliza huko vijijini, mechi kama 7 hivi zote Kwa Ben
Katimu ka walima mpunga...wamekomaa halafu wana pumzi..mazoezi yao wanafanya milimani hahahaa[emoji23][emoji23] Ukimzoesha mbwa vibaya kuna siku atakufata mpaka msikitini/kanisani. Haka katimu ka juzi tu kameanzaje kututoa jasho wakongwe[emoji28][emoji28]
Ila mwaka huu kametuhenyesha mno tumekafunga goli moja moja (Yanga, Simba, Azam)
Ila jiangalie mtani utakapokutana nako. Maana wale watoto wako uliokuwa unawafuga watataka wakuonyeshe kuwa umekosea kuwaachaKatimu ka walima mpunga...wamekomaa halafu wana pumzi..mazoezi yao wanafanya milimani hahahaa
Kweli kabisa watalipa kisasi aisee...itabidi wawaangalia kwa jicho la tatuIla jiangalie mtani utakapokutana nako. Maana wale watoto wako uliokuwa unawafuga watataka wakuonyeshe kuwa umekosea kuwaacha
Usimuhesabu kambole...wapo 12 tuMna wachezaji 13 wakigeni mpaka sasa
Sheria inataka wachezaji 12
Sijajua kama Kisinda anaweza akawa kwenye mipango ya kuondolewa ila mpaka saizi sijajua itawezekana vipi na dirisha limefungwa
Ila kuna unconfirmed rumors zinazodai kuwa Morrison ndiye anayepigwa panga
Inshalah za mchana ni KheriZa mchana mr Mchambuzi