steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Sa mbona mnalia lia kuwa ni kikosi cha pili,kwani hata kwa kikosi chenu mnachokiamini mara ya mwisho kumshindilia mtu goli 4 ilikuwa ni lini bloangu?Kwani matokeo hayajapatikana? Maanake timu inajiamini hata walioko benchi wanaweza kuleta matokeo