Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Futa hii alafu unywe ile fanta nyeusi upumzike sukari ikae sawa.Imepigwa baadae hii picha[emoji2]View attachment 2483735
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Futa hii alafu unywe ile fanta nyeusi upumzike sukari ikae sawa.Imepigwa baadae hii picha[emoji2]View attachment 2483735
Hata ile ngao ya jamii tulishuhudia mauza uza mengi sana....Yanga dhahiri dhahiri walinunua ile mechiMpira wa bongo una mauza uza mengi Sana .
Wachezaj Wana njaa Sana.
Hujanijibu, wewe ni Uto?Makolo stress tupu.
Ubora wa goli matters ...Nyinyi mliwafunga ngapi?
Makoda....haya bwnBahati yenu kipa kafanya makoda
Mkuu, achana na Teja, Ana arosto baada ya pusha kukamatwaMatokeo ya timu yako dhidi ya Ihefu yalikuwa hivi[emoji116]View attachment 2483868
Sisi tumemaliza mechi, malalamiko, lawama,vilio na maswali vinabaki kwenu 9 points on topTofauti ya Simba na yanga pamoja na kupata matokeo yanayofanana dhidi ya Ihefu goli la Simba lilikuwa la mipango ila la uto limeacha maswali mengi
Umewapendelea mno wachezaji watatu wapi ni mmoja tu asipokuwepo chama tu timu imeyumbaYanga ndiye timu pekee inaweza ikaweka benchi key player wake watano na bdo akapata matokeo, leo wachezaji watatu plus Lomalisa aliye ingia half ya pili.
Katika ile first eleven ya Makolo, wapumzisheni wachezaji watatu tu ktk first eleven yenu halafu muone mtavyo poteana na Mtibwa walikosekana wanne na timu ikapata matokeo.
Hilo kawaida yenu, ile mechi Simba na Singida hamkuwa na maswali mengi mkaona ni mistake ya kipa ila kwa Yanga ni tofauti. Mechi ya Prison mchezaji kampa Sakho mpira akafunge lakini ilionekana ni mistake ila kwa Yanga huwa sio mistake ni maswali mengiTofauti ya Simba na yanga pamoja na kupata matokeo yanayofanana dhidi ya Ihefu goli la Simba lilikuwa la mipango ila la uto limeacha maswali mengi
Kwa mpira upi,huu wa kipa kuacha goli na kujifanya analia bloangu???Ukiachana na IHEFU ww KOLO unasemaje,..huwa hatukukandi?
Weeeeeee,kwa hyo Mayele sio key player wenu bloangu?Yanga ndiye timu pekee inaweza ikaweka benchi key player wake watano na bdo akapata matokeo, leo wachezaji watatu plus Lomalisa aliye ingia half ya pili.
Katika ile first eleven ya Makolo, wapumzisheni wachezaji watatu tu ktk first eleven yenu halafu muone mtavyo poteana na Mtibwa walikosekana wanne na timu ikapata matokeo.
Tupo ugaibuni tunajipima na wakubwa wenzetu kwanza,hebu tuacheni madogo zetuNyie mliwafunga ngapi?
Hata Diarra ni key player ila hukumuelewa jamaa amemaanisha niniWeeeeeee,kwa hyo Mayele sio key player wenu bloangu?
Umekurupuka kama unaijua 11 eleven ya Yanga huwezi kuongea upuuzi huo.Weeeeeee,kwa hyo Mayele sio key player wenu bloangu?
mafundi garage cska Moscow ndio wakubwa zenu?Tupo ugaibuni tunajipima na wakubwa wenzetu kwanza,hebu tuacheni madogo zetu
Hivi Kuna uhusiano gani Kati ya kuwa shabiki wa Simba na kukosa akili?Ubora wa goli matters ...
Sio wakubwa zetu,ni wakubwa wenzetu,nyie wakubwa wenzenu si ni UKONGA STARS bloangu?mafundi garage cska Moscow ndio wakubwa zenu?
Sa unalia bloangu?Umekurupuka kama unaijua 11 eleven ya Yanga huwezi kuongea upuuzi huo.
Wewe timu kama hayupo Chama kupata matokeo kazi.
Kwani matokeo hayajapatikana? Maanake timu inajiamini hata walioko benchi wanaweza kuleta matokeoSa unalia bloangu?
Kwani mlishikwa miguu msikipange hicho kikosi chenu mnachokiamini?