OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mkuu kumbe wewe ni Uto. Aisee pole sanaKisasi kimelipwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kumbe wewe ni Uto. Aisee pole sanaKisasi kimelipwa.
Hamna timu hapo mkuu,yaani Ihefu ndio wa kuwasumbua vile?
Nyie mliwafunga ngapi?Hadi huruma...ila Ihefu jamani sio kwa kuwakazi huku
Kalpana na steveachi acheni kujisahaulishaMatokeo ya timu yako dhidi ya Ihefu yalikuwa hivi[emoji116]View attachment 2483868
Hahah kama wale walizocheza na Wananchi kwenye ngao ya Jamii [emoji3][emoji3][emoji3]Mpira wa bongo una mauza uza mengi Sana .
Wachezaj Wana njaa Sana.
Shida nyie hamkukitendea haki kisasi 😆 😆 😆
Jana goli lilifungwa baada ya kupigwa pasi 80 kule DubaiKwani goli hutokana na Nini mkuu?? Tueleweshe
Haaa haaa haaa taratibu mkuu mbona kama umepanic hivi!Hebu nipishe bwana ni minus nijumlishe huo muda sina...nimeuliza nimejibiwa..ww kama unaona mzigo kujibu unapiga kimya..hang over ulininywesha?
Naona unapagawa na bado
Sio kila anaechati humu yupo anaangalia game
Umenipanikisha ningekua krb ningekumwagia upupuHaaa haaa haaa taratibu mkuu mbona kama umepanic hivi!
Yanga ndiye timu pekee inaweza ikaweka benchi key player wake watano na bdo akapata matokeo, leo wachezaji watatu plus Lomalisa aliye ingia half ya pili.Hamna timu hapo mkuu,yaani Ihefu ndio wa kuwasumbua vile?
Ukiachana na IHEFU ww KOLO unasemaje,..huwa hatukukandi?Hamna timu hapo mkuu,yaani Ihefu ndio wa kuwasumbua vile?
Usiwaambie watoe wachezaji watano, Kwa Simba ao wachezaji ni wengi sana. Pale Simba apumzike Chama tu, biashara imekwisha.Yanga ndiye timu pekee inaweza ikaweka benchi key player wake watano na bdo akapata matokeo, leo wachezaji watatu plus Lomalisa aliye ingia half ya pili.
Katika ile first eleven ya Makolo, wapumzisheni wachezaji watatu tu ktk first eleven yenu halafu muone mtavyo poteana na Mtibwa walikosekana wanne na timu ikapata matokeo.
Tz prisons kashaliwa huko tayar kimoko mbonaJamani hamna muwakilishi wa Azm.FC aanzishe live updates hukoo...
AZAM VS PRISONS
Eee naangalia hapaTz prisons kashaliwa huko tayar kimoko mbona
Usinambie[emoji3][emoji3]Ihefu fanya kama unabonyeza kwenye mshono
Makolo stress tupu.Mkuu kumbe wewe ni Uto. Aisee pole sana
Nakutakia usiku mwema wewe na familia yako.Ihefu fanya kama unabonyeza kwenye mshono