ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Wachezaji Wa Ihefu Walishindwa Kumwambia Kipa Kuwa mayele Kabaki Golini anasubiri Kumuotea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maelekezo ya mwambambuziKipa wa ihefu kauza hili goli
Unadhani Ihefu ni wanawake? Nao wanatafuta ushindi. Acha dhrauYanga inaonekana kama haina upepo; yaani mpaka sasa hivi bado wanapigishwa mchakamachaka na Ihefu? Inawezekana wakatoka droo au wakafungwa. Pengo la kukosekana kwa Fei Toto, Azizi Ki na Morrison linakuwa dhahiri sasa.
Mkuu Mayele akili kubwa. Huwa tunaona wachezaji wakubwa wa Ulaya wakifunga haya magoliWachezaji Wa Ihefu Walishindwa Kumwambia Kipa Kuwa mayele Kabaki Golini anasubiri Kumuotea?
Rage hakukosea kwa hakika..Msituachie jukwaa jamani, hata Mbeya tulitangulia. Halafu huyu kipa tumemtumia hela kwa namba ile ile tuliyo mtumia yule kipa aliye daka mechi ya ngao ya hisani.
I Said 🤣🤣Assist nyngneeeee kutoka Kwa Feisal salum, 🤣fistoooooo goooal
Kaweka lingne Leo ihefu wanayo kaZ
Ihefu ni timu ya mwihso kwenye ligi wakati Yanga ni timu ya Kwanza. Hiyo ndiyo ishu yenyewe.Unadhani Ihefu ni wanawake? Nao wanatafuta ushindi. Acha dhrau
Toka lini ngozi ya kitimoto ikawambwa ngoma?Simba msihofu Ihefu atasawazisha[emoji1787]
Imethibitika ni wanawake.Unadhani Ihefu ni wanawake? Nao wanatafuta ushindi. Acha dhrau
Nyie wenye mbinu mbona bado mpo nafasi ya pili?Uto wameishiwa mbinu. Kagoli kamoja ka kosa la kipa
Kwani goli hutokana na Nini mkuu?? TuelewesheUto wameishiwa mbinu. Kagoli kamoja ka kosa la kipa
Mpira ni mchezo wa makosa🤣🤣🤣🤣Kwani goli hutokana na Nini mkuu?? Tueleweshe