Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangekuwepo leo nadhani wangeongeza kitu kuwapa wakati mgumu YangaBado hawajaenda kina okwa na yokuba kitakua kikosi hatari
Mkuu uko sawa kweli au hangover, yaani unashindwa kuangalia mpira ni dakika ya ngapi then u-minus?Mpira umeanza kuchezwa saa ngapi kwani
Hawapo hata sub hao.Ngoja kipindi cha pili tumuingize Morrison, Aziz Ki, Feitoto na Musonda wakamsaidie Mayele, hawa watoto watatutambua kuwa sisi ndio wananchi
Hebu nipishe bwana ni minus nijumlishe huo muda sina...nimeuliza nimejibiwa..ww kama unaona mzigo kujibu unapiga kimya..hang over ulininywesha?Mkuu uko sawa kweli au hangover, yaani unashindwa kuangalia mpira ni dakika ya ngapi then u-minus?
Hapa sare tu umechanganyikiwa je mkifungwa nyie ihefu wa kukodi.
Toa Sure boy na KisindaTusila,Faridi wametuchelewesha 1st half
Umeona benchi lilivyo mkuu? Hapo nje sioni wakuchukua nafasi za hao flopToa Sure boy na Kisinda
Concentration. Nyie mnapenda kuongea kwenye keyboard sisi tuko tunaangalia uwanjani unatuona mida kama hii ya halftimeHii ndo tofauti ya utopolo na Simba...uto huwaoni mpk kinukie.... kikinuka huwaoniii
Ungefungwa usingekuja kimoja...Concentration. Nyie mnapenda kuongea kwenye keyboard sisi tuko tunaangalia uwanjani unatuona mida kama hii ya halftime
Unaota wewe.Wawapige 12 - 0
Yanga kung’uta hao
I love youHebu nipishe bwana ni minus nijumlishe huo muda sina...nimeuliza nimejibiwa..ww kama unaona mzigo kujibu unapiga kimya..hang over ulininywesha?
Naona unapagawa na bado
Sio kila anaechati humu yupo anaangalia game