Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Ihefu watapigwa 12-0 leo, na tutaanza kushangilia kuanzia goli la sita kama msemaji wetu alivyotuamrisha, kabla ya hapo hatutashangiliaIhefu wameyakanyaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ihefu watapigwa 12-0 leo, na tutaanza kushangilia kuanzia goli la sita kama msemaji wetu alivyotuamrisha, kabla ya hapo hatutashangiliaIhefu wameyakanyaga
Kumbe wanapeleka mashambulizi ee basi watafungaKipa wa Ihefu ameonesha ubora mkubwa sana kuokoa mashambulizi mpaka muda huu
Sio goli, yapo mengi tu. Tumeamrishwa na msemaji wetu kushangilia kuanzia goli la sitaWachangiaji wanasubiri goli
12:30 jioni hii aka Usiku wa KisasiMpira umeanza kuchezwa saa ngapi kwani
Hii ndo tofauti ya utopolo na Simba...uto huwaoni mpk kinukie.... kikinuka huwaoniii
Perfomance wanayo ionesha leo hapa Ihefu ni uthibitisho kuwa hawakubahatishaKumbe wanapeleka mashambulizi ee basi watafunga
Bado hawajaenda kina okwa na yokuba kitakua kikosi hatariPerfomance wanayo ionesha leo hapa Ihefu ni uthibitisho kuwa hawakubahatisha
Baadae mtasema bahashaPerfomance wanayo ionesha leo hapa Ihefu ni uthibitisho kuwa hawakubahatisha
Tukiona mpira umedakwa halafu golikipa anaamua kumrushia attacker unafikiri tutaacha kusema bahasha?Baadae mtasema bahasha