Hivi unaonaje kwamba, watu wapewe hela ya chakula ili wanunue wao, hali itakuwaje wale wazee wa zero cost, yaani hanunui chakula ili ku-save hela, je, atasikiliza mafunzo vizuri?
Labda useme kwamba, hela ya chakula ni kubwa, kuliko kusema kila mtu anunue chakula chake. Itafika muda wa kula, wengine wamejikunyata tu, mwisho wa siku watapata vidonda vya tumbo na hawatasikiliza mafunzo.
Labda useme kwamba, hela ya chakula ni kubwa, kuliko kusema kila mtu anunue chakula chake. Itafika muda wa kula, wengine wamejikunyata tu, mwisho wa siku watapata vidonda vya tumbo na hawatasikiliza mafunzo.