NBS acheni dhuluma, walipeni Makarani hela zao

NBS acheni dhuluma, walipeni Makarani hela zao

Huo mwiko mmoja mchana na andazi moja asubuhi ndio dogo kasema hivyo hivyo. Hapo amekatwa 10,000/- kwa huo msosi. Yaani kwenye kila project kubwa watu wanawaza upigaji tu.
Hakuna kukatwa we dogo! Una lako jambo
 
Hii mambo ya sensa ni dhambi ya dhuluma inayozidi kuitafuna chama tawala na makada wake na Bado MamaaaQee Zao
 
Siku mbili ilifaa awe na laki 1,
View attachment 2311402
HUYU HYU BIBIYE KUTOKA VISIWANI ALITOA NYONGEZA YA TSH 8000 YA CHIPSI CHOMBEZA AWALIPE LAKI TANO NAKUNYA[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90] DAR MPAKA ZANZIBAR KWA MAFURUSHI MPKA BAHARINI MKIPEWA HIZO HELA KANYAGENI HAYO MAVI MVUKE NAYO BAHARINI MNIFATE PALE UNGUJA
 
Chakula cha mchana 10,000 kama harusi.

Bongo kweli nyoso
Lakini kasema wanalishwa wali wa buku so elf 9 mtu anaenda nunulia cement,semina ikiisha anahamia kabisa.
Katika nchi ukishaingiza tabia ya upigaji ni sumu isiyokwisha kwa maana KILA atakaepata nafasi ni kupiga SAsa itakuwa nchi hio.
 
Kwema Wakuu,

Semina Kwa Makarani wa Sensa imeanza Jana. Makarani wameshaanza mafunzo, na mdogo wangu ni mmoja wao akiwa anafanyia Mafunzo yake chuo cha Ustawi wa Jamii.

Sasa toka jana wanapigwa kalenda juu ya fedha zao za Mafunzo, Chakula na za Kujikimu. Hawajalipwa za Jana na za Leo pia.

Sasa cha pili wanaambiwa kua hata chakula hawatapewa hela ya chakula ambayo ni 10,000/- Kwa siku, bali wanalishwa chakula kisha wanakatwa hiyo hela.

Yaani kuna mtu hapo NBS amejipa tenda ya kuwapikia kisha yeye ndo achukue hizo 10,000/- kilazima. Chakula chenyewe anachowapikia hata Cha Mama Ntilie Cha Buku kina afadhali.

Hivi ni lazima kila kitu tuingize mambo ya dili? Kama hela zipo si muwape wajigharamie nauli za kuja huko kwenye semina? Hata chakula wapeni hela zao kisha pikeni hapo kwenye semina anaetaka kununua kwenu aje kununua kwa hiari yake Kwa bei ya Soko, sio kulazimishana kwa bei mnazozitaka nyinyi.

Hili ni zoezi muhimu sana, lakini mnaanza kuliharibu mapema tu sababu ya ulafi na uroho wenu wa hela za watu. Watu wanakuja kwenye semina huku wamenung'unika, mnadhan lengo la semina litafikiwa kweli hapo?
Usilete shida zenu binafsi kwenye Mambo ya serious bwana yaani zoezi linasiku mbili tu Usha Anza kusema dhuluma una akili kweli? Au Sensa anahesabisha mdogo wako tu nchi nzima?
 
Ndio shida hii nchi aisee, ulaji kila mahali hata kwenye zoezi nyeti kama hili. Watu wanawaza kupiga tu, kwa expense za wengine wataabike.
Taifa likishakosa maadili sababu ya kiongozi dhaifu linakosa nidhamu tutegemee mengi zaidi.
 
Kwa kozi yangu fupi niliyoipata huko Cuba ni kuwa;

Hapo kwa Mdogo wako, Ni wewe mwenyewe
Haswa....! Vumilia... Wamekupunguzia muda wa mahangaiko.... Pia mngejadili terms kabla , na kama ungeona haifai ungewaambia wakachukua mwingine...!!!
 
Umeongea Fact Sana
Hii nchi ngumu

Chakula wanaweka mwiko mmoja na Andazi 1 na chai....huu ni unyanyasaji

Wanawa-wa- underrate makarani lakin they forget hawa ndo kitovu Cha sensa when you treat them wrong. In early stage what do you expect?
funny enough chakula hakitoshi ukiona wanavyogombania utafiriki watoto wa bweni walioona ubwanwa nyama
 
Kwema Wakuu,

Semina Kwa Makarani wa Sensa imeanza Jana. Makarani wameshaanza mafunzo, na mdogo wangu ni mmoja wao akiwa anafanyia Mafunzo yake chuo cha Ustawi wa Jamii.

Sasa toka jana wanapigwa kalenda juu ya fedha zao za Mafunzo, Chakula na za Kujikimu. Hawajalipwa za Jana na za Leo pia.

Sasa cha pili wanaambiwa kua hata chakula hawatapewa hela ya chakula ambayo ni 10,000/- Kwa siku, bali wanalishwa chakula kisha wanakatwa hiyo hela.

Yaani kuna mtu hapo NBS amejipa tenda ya kuwapikia kisha yeye ndo achukue hizo 10,000/- kilazima. Chakula chenyewe anachowapikia hata Cha Mama Ntilie Cha Buku kina afadhali.

Hivi ni lazima kila kitu tuingize mambo ya dili? Kama hela zipo si muwape wajigharamie nauli za kuja huko kwenye semina? Hata chakula wapeni hela zao kisha pikeni hapo kwenye semina anaetaka kununua kwenu aje kununua kwa hiari yake Kwa bei ya Soko, sio kulazimishana kwa bei mnazozitaka nyinyi.

Hili ni zoezi muhimu sana, lakini mnaanza kuliharibu mapema tu sababu ya ulafi na uroho wenu wa hela za watu. Watu wanakuja kwenye semina huku wamenung'unika, mnadhan lengo la semina litafikiwa kweli hapo?
Wenzenu wa kampeni ya polio wamezulumiwa huko, nchii sasa hivi imekuwa ya ki............e Sana
 
HUYU HYU BIBIYE KUTOKA VISIWANI ALITOA NYONGEZA YA TSH 8000 YA CHIPSI CHOMBEZA AWALIPE LAKI TANO NAKUNYA[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90] DAR MPAKA ZANZIBAR KWA MAFURUSHI MPKA BAHARINI MKIPEWA HIZO HELA KANYAGENI HAYO MAVI MVUKE NAYO BAHARINI MNIFATE PALE UNGUJA
Ni laki Tisa kiongozi sio laki tano.Serikali imejipanga.Polio ni mradi wa wakina Biden sio wa mama Fatuma.
 
Back
Top Bottom