Hakuna kukatwa we dogo! Una lako jamboHuo mwiko mmoja mchana na andazi moja asubuhi ndio dogo kasema hivyo hivyo. Hapo amekatwa 10,000/- kwa huo msosi. Yaani kwenye kila project kubwa watu wanawaza upigaji tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kukatwa we dogo! Una lako jamboHuo mwiko mmoja mchana na andazi moja asubuhi ndio dogo kasema hivyo hivyo. Hapo amekatwa 10,000/- kwa huo msosi. Yaani kwenye kila project kubwa watu wanawaza upigaji tu.
HUYU HYU BIBIYE KUTOKA VISIWANI ALITOA NYONGEZA YA TSH 8000 YA CHIPSI CHOMBEZA AWALIPE LAKI TANO NAKUNYA[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90] DAR MPAKA ZANZIBAR KWA MAFURUSHI MPKA BAHARINI MKIPEWA HIZO HELA KANYAGENI HAYO MAVI MVUKE NAYO BAHARINI MNIFATE PALE UNGUJASiku mbili ilifaa awe na laki 1,
View attachment 2311402
Lakini kasema wanalishwa wali wa buku so elf 9 mtu anaenda nunulia cement,semina ikiisha anahamia kabisa.Chakula cha mchana 10,000 kama harusi.
Bongo kweli nyoso
Usilete shida zenu binafsi kwenye Mambo ya serious bwana yaani zoezi linasiku mbili tu Usha Anza kusema dhuluma una akili kweli? Au Sensa anahesabisha mdogo wako tu nchi nzima?Kwema Wakuu,
Semina Kwa Makarani wa Sensa imeanza Jana. Makarani wameshaanza mafunzo, na mdogo wangu ni mmoja wao akiwa anafanyia Mafunzo yake chuo cha Ustawi wa Jamii.
Sasa toka jana wanapigwa kalenda juu ya fedha zao za Mafunzo, Chakula na za Kujikimu. Hawajalipwa za Jana na za Leo pia.
Sasa cha pili wanaambiwa kua hata chakula hawatapewa hela ya chakula ambayo ni 10,000/- Kwa siku, bali wanalishwa chakula kisha wanakatwa hiyo hela.
Yaani kuna mtu hapo NBS amejipa tenda ya kuwapikia kisha yeye ndo achukue hizo 10,000/- kilazima. Chakula chenyewe anachowapikia hata Cha Mama Ntilie Cha Buku kina afadhali.
Hivi ni lazima kila kitu tuingize mambo ya dili? Kama hela zipo si muwape wajigharamie nauli za kuja huko kwenye semina? Hata chakula wapeni hela zao kisha pikeni hapo kwenye semina anaetaka kununua kwenu aje kununua kwa hiari yake Kwa bei ya Soko, sio kulazimishana kwa bei mnazozitaka nyinyi.
Hili ni zoezi muhimu sana, lakini mnaanza kuliharibu mapema tu sababu ya ulafi na uroho wenu wa hela za watu. Watu wanakuja kwenye semina huku wamenung'unika, mnadhan lengo la semina litafikiwa kweli hapo?
Taifa likishakosa maadili sababu ya kiongozi dhaifu linakosa nidhamu tutegemee mengi zaidi.Ndio shida hii nchi aisee, ulaji kila mahali hata kwenye zoezi nyeti kama hili. Watu wanawaza kupiga tu, kwa expense za wengine wataabike.
Haswa....! Vumilia... Wamekupunguzia muda wa mahangaiko.... Pia mngejadili terms kabla , na kama ungeona haifai ungewaambia wakachukua mwingine...!!!Kwa kozi yangu fupi niliyoipata huko Cuba ni kuwa;
Hapo kwa Mdogo wako, Ni wewe mwenyewe
funny enough chakula hakitoshi ukiona wanavyogombania utafiriki watoto wa bweni walioona ubwanwa nyamaUmeongea Fact Sana
Hii nchi ngumu
Chakula wanaweka mwiko mmoja na Andazi 1 na chai....huu ni unyanyasaji
Wanawa-wa- underrate makarani lakin they forget hawa ndo kitovu Cha sensa when you treat them wrong. In early stage what do you expect?
Patheticfunny enough chakula hakitoshi ukiona wanavyogombania utafiriki watoto wa bweni walioona ubwanwa nyama
Wenzenu wa kampeni ya polio wamezulumiwa huko, nchii sasa hivi imekuwa ya ki............e SanaKwema Wakuu,
Semina Kwa Makarani wa Sensa imeanza Jana. Makarani wameshaanza mafunzo, na mdogo wangu ni mmoja wao akiwa anafanyia Mafunzo yake chuo cha Ustawi wa Jamii.
Sasa toka jana wanapigwa kalenda juu ya fedha zao za Mafunzo, Chakula na za Kujikimu. Hawajalipwa za Jana na za Leo pia.
Sasa cha pili wanaambiwa kua hata chakula hawatapewa hela ya chakula ambayo ni 10,000/- Kwa siku, bali wanalishwa chakula kisha wanakatwa hiyo hela.
Yaani kuna mtu hapo NBS amejipa tenda ya kuwapikia kisha yeye ndo achukue hizo 10,000/- kilazima. Chakula chenyewe anachowapikia hata Cha Mama Ntilie Cha Buku kina afadhali.
Hivi ni lazima kila kitu tuingize mambo ya dili? Kama hela zipo si muwape wajigharamie nauli za kuja huko kwenye semina? Hata chakula wapeni hela zao kisha pikeni hapo kwenye semina anaetaka kununua kwenu aje kununua kwa hiari yake Kwa bei ya Soko, sio kulazimishana kwa bei mnazozitaka nyinyi.
Hili ni zoezi muhimu sana, lakini mnaanza kuliharibu mapema tu sababu ya ulafi na uroho wenu wa hela za watu. Watu wanakuja kwenye semina huku wamenung'unika, mnadhan lengo la semina litafikiwa kweli hapo?
Ni laki Tisa kiongozi sio laki tano.Serikali imejipanga.Polio ni mradi wa wakina Biden sio wa mama Fatuma.HUYU HYU BIBIYE KUTOKA VISIWANI ALITOA NYONGEZA YA TSH 8000 YA CHIPSI CHOMBEZA AWALIPE LAKI TANO NAKUNYA[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90] DAR MPAKA ZANZIBAR KWA MAFURUSHI MPKA BAHARINI MKIPEWA HIZO HELA KANYAGENI HAYO MAVI MVUKE NAYO BAHARINI MNIFATE PALE UNGUJA
Posho Ni 40k kwa siku 19 field siku 2 na kuchukua vifaa siku 1 na Kaz siku 6 sasa Hapo mahesabu Ni Kuanzia Mil 1+ hakuna Mtu atapata chini milion 1 kwa ili zoezi Zima la sensaNi laki Tisa kiongozi sio laki tano.Serikali imejipanga.Polio ni mradi wa wakina Biden sio wa mama Fatuma.
NBS imejipanga Aisee,maana hapo ni zaidi ya trillions zinaenda kutumika,watu laki 2+ ulipe milioni na ushee kila MTU.Hakika nchi ina helaaa.Kazi iendelee.Jamani me bado sijajibiwa swali langu. Hawa watu jumla wanalipwa sh. ngapi?
NBS imejipanga Aisee,maana hapo ni zaidi ya trillions zinaenda kutumika,watu laki 2+ ulipe milioni na ushee kila MTU.Hakika nchi ina helaaa.Kazi iendelee.
Semina siku 19 Kwa siku ni elfu 40.Siku za KAZI ni 9 per day 50k.Jumlisha upate jumla kiongoziKwa hiyo wanalipa sh. ngapi exact Boss?
Sasa hapo kipi ni uongo?Wananchi wa tz mbona wivu mwingi?Watu mnajua kudanganyana