NBS acheni dhuluma, walipeni Makarani hela zao

Hivi unaonaje kwamba, watu wapewe hela ya chakula ili wanunue wao, hali itakuwaje wale wazee wa zero cost, yaani hanunui chakula ili ku-save hela, je, atasikiliza mafunzo vizuri?

Labda useme kwamba, hela ya chakula ni kubwa, kuliko kusema kila mtu anunue chakula chake. Itafika muda wa kula, wengine wamejikunyata tu, mwisho wa siku watapata vidonda vya tumbo na hawatasikiliza mafunzo.
 
Pesa ni ya nauli pia,
Sasa usipotoa nauli unategemea nini?
 
Ukijibana Zero cost na hela unayo huko ni kujitakia mwenyewe. Lakini heri upewe hela ukanunue chakula unachotaka, kuliko kupewa chakula cha buku kwa kukatwa 10,000/~
 
Umeongea Fact Sana
Hii nchi ngumu

Chakula wanaweka mwiko mmoja na Andazi 1 na chai....huu ni unyanyasaji

Wanawa-wa- underrate makarani lakin they forget hawa ndo kitovu Cha sensa when you treat them wrong. In early stage what do you expect?
 
Msikilize kwa makini Jenerali Anne Semamba Makinda aka bi kiroboto.... mmeambiwa muwe wazalendo na kazi ni yakujitolea.
 

Attachments

  • d55f41f9bad5b5084f747dc48ad332d5.mp4
    1.5 MB
Mmeanza kelele. Next time Bora kuchukua walimu tu. nyie wanyoa viduku ujuaji mwingi.

Na wamewawezea kinoma. Kutwa kulalamika kwamb wamepokonywa simu kwny semina so hawawez kuangalia video za daimondi wkt wa semina
 
Hii nchi inavijana wa hovyo sana na mtabakia kulalamika hvyohvyo mpaka kiama. Hizo nafasi Bora wangepewa waalimu tu wanajua system ya serekali kwenye ulipaji coz kunakuchelewa lakini haki ya mtu ataipata.

Yani day two ya training mtu analia njaa, hii nchi hatari
 
kwaiyo apo ni elfu 40 mara siku 19 sio haba labda wanaandaa taratibu za malipo labda wataweka ktk akaunt za benki si unajua tena mambo ya tozo maana pesa ya serikal nayo kuipata sio poa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…