Kwani Kuna kufukuzana tena huko??Niende moja kwa moja kwenye hoja tangu semiza zianze ni siku ya kumi na moja Leo Kuna baaadhi ya halmashauri hazijalipa hata Senti moja swali hao Wana semina wanaishije usafiri, nk
Angalizo Kuna uhuni unaendelea watu wanawatoa watu wamekaa siku nane semina wanaleta watu wao zile siku nane wanajiandikia wao
Wito kama mtu kafukuzwa alipwe pesa yake na kwanini watu wakae semina siku zaidi ya tano bila malipo kwanini huo si uhuni na mazingira ya upikagi
Mama makinda watch out Kuna uhuni unaendelea kama hamjatoa pesa semeni.
Hivi wewe na negativity sijui ukoje? Kitu hujui nyamazaHakuna mahali wameshalipa nasikia.
Hizi pesa nyingi sana kama ukipata viongozi wanaofikiriBillion 350+ ni pesa ndogo kuelekezwa kwenye malipo tu achilia mbali vifaa na logistics zingine? Kwa Nchi maskini kuelekeza mapesa yote hayo kwa kazi ya mwezi unaita hela ndogo? Hahahaha you cant be serious!!
Sensa ni baada ya miaka 10Billion 350+ ni pesa ndogo kuelekezwa kwenye malipo tu achilia mbali vifaa na logistics zingine? Kwa Nchi maskini kuelekeza mapesa yote hayo kwa kazi ya mwezi unaita hela ndogo? Hahahaha you cant be serious!!
Hapo data zitapikwa,na picha itaishia hapo,eti mama anataka watu wanaosukumwa kufanya kazi toka mioyoni mwao,hawajui viongozi wa Tanzania nini?Sensa ni baada ya miaka 10
Sasa hii nchi Kama inashindwa kuandaa hela ndogo Kama hiyo bil350 ndani ya miaka 10 kwa zoezi muhimu Kama Hilo itakuwa nchi ya Ajabu Sana .
Pia kwanini uandae watu waombe Ajira ya Muda then mwisho wa picha uawageuke hii sio sawa Kabisa ili zoezi linaenda kuwa gumu na watu wachache Watapika data hii nchi imejaa wajinga Sana wao huko juu wanajiona ndo watu sahihi wanasahau kuwa karani ndo kitovu Cha sensa .
Kweli mama Anna Makinda angeachwa ajipumzikie! Mbona nchi ina watu wengi sana hii!Shida ya kuteua wazee kwenye kazi nyeti wamejichokea!
Hapo data zitapikwa,na picha itaishia hapo,eti mama anataka watu wanaosukumwa kufanya kazi toka mioyoni mwao,hawajui viongozi wa Tanzania nini?
0 imejiongeza hapoKwa information za ndani kila mwanasensa atalipwa 40000@19days =760,0000/= siyo mbaya ,ukizingatia hali ilivyo ngumu
πππ0 imejiongeza hapo
Billion 350+ ni pesa ndogo kuelekezwa kwenye malipo tu achilia mbali vifaa na logistics zingine? Kwa Nchi maskini kuelekeza mapesa yote hayo kwa kazi ya mwezi unaita hela ndogo? Hahahaha you cant be serious!!