Uchaguzi 2020 NCCR- Mageuzi yakutana na watia nia wa Ubunge 300 Dodoma leo

Uchaguzi 2020 NCCR- Mageuzi yakutana na watia nia wa Ubunge 300 Dodoma leo

Mtanke

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
743
Reaction score
1,839
Chama cha NCCR-Mageuzi leo tarehe 27 June kinakutana na watia nia wake wa Ubunge katika majimbo yote Tanzania. Kikao hicho kinafanyika Dodoma na kina malengo ya kuwajengea uwezo na uelewa watia nia wote wa Chama hicho.

IMG_20200627_103646.jpg
IMG_20200627_103527.jpg
 
Back
Top Bottom