Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayaoni hata aibu! Lile limataga jingine lilikuwa Tanga,baada ya kubuma mapokezi yake kwao Bukoba.Kwa ufadhili toka lumumba.
Ndio kusema mnaona wivu?Kwa ufadhili toka lumumba.
Wabunge na wanamageuzi wengineKwa ufadhili toka lumumba.
Wivu wa nini sasa, sisi ni wanaume halisi tunajitegemea.Ndio kusema mnaona wivu?
Chama Mbadala wa chadomoChama cha NCCR-Mageuzi leo tarehe 27 June kinakutana na watia nia wake wa Ubunge katika majimbo yote Tanzania. Kikao hicho kinafanyika Dodoma na kina malengo ya kuwajengea uwezo na uelewa watia nia wote wa Chama hicho.
View attachment 1490062View attachment 1490063
Ndio kusema mnaona wivu?
Wivu tu hyo ndo demokrasia hafu chadema wanyukwe snHapa ndio sehemu ya ile 1.5t inapofanya kazi.
Wivu tu hyo ndo demokrasia hafu chadema wanyukwe sn
hakuna awajuaye hawa... so hawatapata kura majimboni labda za kugawiwa bure!Chama cha NCCR-Mageuzi leo tarehe 27 June kinakutana na watia nia wake wa Ubunge katika majimbo yote Tanzania. Kikao hicho kinafanyika Dodoma na kina malengo ya kuwajengea uwezo na uelewa watia nia wote wa Chama hicho.
View attachment 1490062View attachment 1490063
Itafanya kazi vipi na haikuchotwa?Hapa ndio sehemu ya ile 1.5t inapofanya kazi.
Hayaoni hata aibu! Lile limataga jingine lilikuwa Tanga,baada ya kubuma mapokezi yake kwao Bukoba.
Wanaweza kuongoza kambi ya wachache bungeni watu wapiga kura wamesha wachoka wahuni wa Sacco'sNccr mageuzi wapo vizuri sana
Itafanya kazi vipi na haikuchotwa?
Kwa hio hawatakamatwa.Wanaweza kuongoza kambi ya wachache bungeni watu wapiga kura wamesha wachoka wahuni wa Sacco's