Bushesha jr
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 675
- 690
Hata utoe povu Chadema ni wahuni tu tenawa kiwango Cha SGRMuhuni ni mamako na kopo lake mamajani na mwenyekit wenu huko Lumumba.
Wavunjwa miguu na Konyagi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata utoe povu Chadema ni wahuni tu tenawa kiwango Cha SGRMuhuni ni mamako na kopo lake mamajani na mwenyekit wenu huko Lumumba.
NCCR ni mchepuko wa CCM hilo liko wazi.NCCR wanafahamu vizuri tu hawana pesa wala hawana wapiga kura, wanabebwa bebwa tu kila upande.
Wanywa Konyagi Chadema ni wahuni tuSaccos anayomamako na wahun wa Lumumba wanaotumia polis baada ya kukataliwa na wananchi
Ok sorry nilitaka kusema huyu hapaNCCR ni mchepuko wa CCM hilo liko wazi.
Wivu utawaua! Siasa ni hesabu sio mihemuko, sifa na viburi. Wenzenu wanapeta, kwao siasa ni carrier.Hayaoni hata aibu! Lile limataga jingine lilikuwa Tanga,baada ya kubuma mapokezi yake kwao Bukoba.
Nyie vilaza mnafurahisha sana, mnajua hamna uwezo wa kujenga hoja mumshawishi mtu wa upande wa pili awaelewe, matokeo yake mme save hizo picha za Mbowe kwenye simu zenu ndio mnazitumia kama ngao ya mashambulizi mnayopokea toka upande wa pili.Ok sorry nilitaka kusema huyu hapaView attachment 1490111
Picha yenyewe editing ya FB washamba sana.Nyie vilaza mnafurahisha sana, mnajua hamna uwezo wa kujenga hoja mumshawishi mtu wa upande wa pili awaelewe, matokeo yake mme save hizo picha za Mbowe kwenye simu zenu ndio mnazitumia kama ngao ya mashambulizi mnayopokea toka upande wa pili.
Grow up.
Hakuna wapinzani tanzania Kuna wajasiriamali wa kisiasa,wachumia tumbo hasa uongozi wa chadema unawaza kula ruzuku na pesa za ufadhili kutoka kwa mabeberu,Upinzani Kwa namna yoyote Ile hawatakiwi kutofautiana kama kweli wanataka angalau kujiskia kama kunakatambalare Fulani hivi kwenye uchaguzi mkuu ujao,
Kama wataruhusu kutofautiana ni Sawa na kujaribu safari ya mguu kutoka Ntwala Hadi Bukoba kwa Mzee Rwakatale kushindana na Magufuli,
La sivyo safari hii watashikana uchawi, Kwa nguvu ipi Chadema iliyonayo ipiku kura za NCCR mageuzi, Hadi za CCM?
wakiambiwa ni wajinga wanakuwa wakali zaidi ya nyumbu
Wapigwe tu! Chama cha kikabila kipate wapi kura za kutosha?Wivu tu hyo ndo demokrasia hafu chadema wanyukwe sn
Chama cha NCCR-Mageuzi leo tarehe 27 June kinakutana na watia nia wake wa Ubunge katika majimbo yote Tanzania. Kikao hicho kinafanyika Dodoma na kina malengo ya kuwajengea uwezo na uelewa watia nia wote wa Chama hicho.
View attachment 1490062View attachment 1490063
Wivu tu huo, huko mtaa wa ufipa mnalala la bundi? Mko na kisirani muda woteKwa ufadhili toka lumumba.
Kwa ufadhili wa ikulu, walipakodi tunaumia Kodi zetu kuchezewaChama cha NCCR-Mageuzi leo tarehe 27 June kinakutana na watia nia wake wa Ubunge katika majimbo yote Tanzania. Kikao hicho kinafanyika Dodoma na kina malengo ya kuwajengea uwezo na uelewa watia nia wote wa Chama hicho.
View attachment 1490062View attachment 1490063