Uchaguzi 2020 NCCR- Mageuzi yakutana na watia nia wa Ubunge 300 Dodoma leo

Uchaguzi 2020 NCCR- Mageuzi yakutana na watia nia wa Ubunge 300 Dodoma leo

Yanakazania ahadi ya viti 20 vya bure! Hela za serikali hizo zinateketea toka mfukowa hazina kwa mtoto wa dada
 
Tumewachoka walevi na watetea mashoga
Wabunge wao bangi na madawa ya kulevya wao, kiongozi wao ulevi wa kupitiliza na unzini wabunge wa kike wasagaji na wanaishi kinyumba kabisa mwengine yeye anatetea ushoga, uchafu huu
 
Wengine wakifanya wanakamatwa,ujinga huu utaendelezwa mpaka lini?najua hawtokamatwa,hii nchi ni yetu sote
 
NCCR wanafahamu vizuri tu hawana pesa wala hawana wapiga kura, wanabebwa bebwa tu kila upande.
 
Piga hio bani mtakuwa mmenipunguzia gharama ya bando has a wewe choko LA lumumba
Mkuu hawa mabatamzinga wa lumumba wanaishi kwa kulipwa kutokana na post wanazotuma hivyo wakipigwa ban wanakufa njaa, hawajui sisi wengine tunaingia humu kama burudani tofauti na wao hii ni ajira.
 
Back
Top Bottom