Uchaguzi 2020 NCCR- Mageuzi yakutana na watia nia wa Ubunge 300 Dodoma leo

Uchaguzi 2020 NCCR- Mageuzi yakutana na watia nia wa Ubunge 300 Dodoma leo

Watu wanatakiwa kuwa positive kwa hiki alichokifanya Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi kwakua ni Jambo muhimu sana kuonyesha ummoja ndani ya chama na kuonyesha namna gani Mwenyekiti anajua maana ya uongozi.

Big up Mhe. Mbatia umeonyesha ukomavu kisiasa na kiuongozi.
 
Bila shaka wanaandaliwa kuwa replace cdm.

Watawareplace cdm kwa maagizo ya rais aliye madarakani, ila hawana uwezo wa kureplace cdm kwa ridhaa ya wananchi. Huko itakuwa ni kujidanganya kwa muda mfupi sana.
 
Upinzani ulikuwa wa 2015, wapinzani wa mwaka huu(2020) ni wasindikizaji wa chama tawala tu (apart from ACT-Wazalendo Zanzibar kwani wajukuu wa Shamte na Sultani wa 1963 - HISBU bado wapo) Rais Dr Magufuli atapata 90% ya kura zoooote, believe me or not. Upinzani wa 2015 ulivurugwa na Mhe Zitto na Prof Lip. Kwa kifupi watu wasipoteze muda wao kwa kushabikia vyama vya upinzani kwani wana ubinafsi sana(egoistic) yaani “ umimi”!

Kwenye nchi zenye mitazamo ya kijamaa, viongozi walioko madarakani huongoza kwa shuruti na kuwatia hofu wananchi wao. Hubana vyama vya upinzani, wakati huo huo wakifanya propaganda kuonyesha kuwa wanakubalika sana. Na hutengeneza propaganda kuwa watashinda uchaguzi kwakuwa wao ni imara. Lakini hawathububu kufanya uchaguzi huru na wa haki, maana wanajua wananchi wakiachwa kuamua kwa uhuru, watapata matokeo yasiyowafutahisha. Hata ww mleta hii post, umeingia kwenye huo mtego wa propaganda kwa kujua au kutokujua, au ww uko kwa lengo maalum la kutengeneza huko kukubalika kwa bandia.
 
Kwenye nchi zenye mitazamo ya kijamaa, viongozi walioko madarakani huongoza kwa shuruti na kuwatia hofu wananchi wao. Hubana vyama vya upinzani, wakati huo huo wakifanya propaganda kuonyesha kuwa wanakubalika sana. Na hutengeneza propaganda kuwa watashinda uchaguzi kwakuwa wao ni imara. Lakini hawathububu kufanya uchaguzi huru na wa haki, maana wanajua wananchi wakiachwa kuamua kwa uhuru, watapata matokeo yasiyowafutahisha. Hata ww mleta hii post, umeingia kwenye huo mtego wa propaganda kwa kujua au kutokujua, au ww uko kwa lengo maalum la kutengeneza huko kukubalika kwa bandia.

Vyama vya upinzani vimeshaanza kujivuruga, wiki iliopita vyama 12 vilianza kumshambulia Maalim Seif wa ACT-Wazalendo, na 2015 ACT-Wazalendo ilimukampenia Rais wa sasa wa Chama tawala kwani kilisisitiza ‘hakuna kumchagua Lowassa kwani ni fisadi( Lowassa sasa yupo ndani kabisa ya chama tawala) CUF kwa sasa wanasema hawawezi kamwe kushirikiana na ACT-Wazalendo wala Chadema!!what a mess!! Ndiyo maana nasisitiza ni Magufuli mpaka 2035 kwani katiba siyo msaafu!! Kama Germany inaona iliona umuhimu wa kiongozi mzuri Merkel na kumuongezea muda na Russia kuona umuhimu wa Putin mpaka 2036, kwani ni mwiko(taboo) kuongeza muda wa Dr Magufuli? Mashirika yote ya umma yaliyofisidiwa baada ya Mzee Ruksa kishayarudisha(fufua) mfano Reli, Ndege, Bandari, nidhamu kazini, wafanyakazi hewa, nishati, etc.!!!!
 
Vyama vya upinzani vimeshaanza kujivuruga, wiki iliopita vyama 12 vilianza kumshambulia Maalim Seif wa ACT-Wazalendo, na 2015 ACT-Wazalendo ilimukampenia Rais wa sasa wa Chama tawala kwani kilisisitiza ‘hakuna kumchagua Lowassa kwani ni fisadi( Lowassa sasa yupo ndani kabisa ya chama tawala) CUF kwa sasa wanasema hawawezi kamwe kushirikiana na ACT-Wazalendo wala Chadema!!what a mess!! Ndiyo maana nasisitiza ni Magufuli mpaka 2035 kwani katiba siyo msaafu!! Kama Germany inaona iliona umuhimu wa kiongozi mzuri Merkel na kumuongezea muda na Russia kuona umuhimu wa Putin mpaka 2036, kwani ni mwiko(taboo) kuongeza muda wa Dr Magufuli? Mashirika yote ya umma yaliyofisidiwa baada ya Mzee Ruksa kishayarudisha(fufua) mfano Reli, Ndege, Bandari, nidhamu kazini, wafanyakazi hewa, nishati, etc.!!!!

Pitia hivyo vyama vya upinzani ambavyo ni matawi ya ccm, vilikuwa na kura kiasi gani za urais uchaguzi uliopita, vilikuwa na wabunge wangapi, na madiwani wangapi. Ukipenda pia fuatilia chaguzi za nyuma walikuwa wanavuna nini. Hivyo sio vyama, bali ni wamiliki wa majina ya vyama vya siasa vya upinzani. Russia sio nchi ya kidemokrasia. Germany ni nchi ya kidemokrasia, je katiba yao inasema nini? Tunahitaji katiba ile ya rasimu ya Warioba kwani ndio ilikuwa na maoni halisi ya wananchi. Hatuhitaji kiongozi wa kudumu anayeongozwa na hisia za kiitikadi.
 
Yani NCCR wanawaza kwa kutumia makalio kweli kweli! Eti wanategemea kujengwa na CCM!
Matumizi mabaya ya raslimali zetu,ghafla NCCR inaitisha vikao vya watia nia makao makuu na mavazi mapya wajumbe wote pamoja na gharama za kujikimu.Hii ni Engineering ya Pole pole,akili za kizee hizi.
Siku hizi Sera kuu imekuwa kuwagawa Watanzania ili watawaliwe kirahisi kiimla?Wengine Kule visiwani wanamtishia Nyau Babu yao Mh.Maalim.Eti wanampangia aseme nini kuhusu kudhibiti wizi wa kura.
Mambo ya kitoto Toto yamekuwa mengi na watu wakubwa wamekubali kuyaishi.
Nchi hii ukiambiwa ndiyo ile Tanzania ya Intellectual Mwl.J.K.Nyerere ambayo Uhuru na Umoja vimewekwa kwa Ngao yetu,hautaamini.
 
Tunawajua walionunuliwa na nccr tunawasubiri mtaani kwenye kampeni tusikie agenda zao
Endeleeni na mikutano haramu Wananchi tupo huku tunawasubiri
Wengi wao hata kusoma Katiba hawajawahi
Wanawake mnatumika kumsujudu mbatia
Maisha yaendelee
 
Let's ignore them,NCCR Mpya Engineer wake Mkuu ni Jiwe,Mkandarasi ni Pole pole,Mbatia ni Site Manager na hawa wengine ni vibarua na mafundi mchundo walioandaliwa.Baadhi ya viranja ndiyo hao kina Lwaka,Silinde,sina uhakika kama Lijualikali kama Nate kashafika pamoja na Selasini.
Hivyo hawa akina Nawe,USSR,Change etc wasitutoe relini.
NCCR inabebwa na CCM na KUB wao wa mabua washamteua,aibu hii
Mkuu hawa mabatamzinga wa lumumba wanaishi kwa kulipwa kutokana na post wanazotuma hivyo wakipigwa ban wanakufa njaa, hawajui sisi wengine tunaingia humu kama burudani tofauti na wao hii ni ajira.
 
Vyama vya upinzani vimeshaanza kujivuruga, wiki iliopita vyama 12 vilianza kumshambulia Maalim Seif wa ACT-Wazalendo, na 2015 ACT-Wazalendo ilimukampenia Rais wa sasa wa Chama tawala kwani kilisisitiza ‘hakuna kumchagua Lowassa kwani ni fisadi( Lowassa sasa yupo ndani kabisa ya chama tawala) CUF kwa sasa wanasema hawawezi kamwe kushirikiana na ACT-Wazalendo wala Chadema!!what a mess!! Ndiyo maana nasisitiza ni Magufuli mpaka 2035 kwani katiba siyo msaafu!! Kama Germany inaona iliona umuhimu wa kiongozi mzuri Merkel na kumuongezea muda na Russia kuona umuhimu wa Putin mpaka 2036, kwani ni mwiko(taboo) kuongeza muda wa Dr Magufuli? Mashirika yote ya umma yaliyofisidiwa baada ya Mzee Ruksa kishayarudisha(fufua) mfano Reli, Ndege, Bandari, nidhamu kazini, wafanyakazi hewa, nishati, etc.!!!!
Tanzania hakuna wapinzani kuna wajasiriamali wa kisiasa na wachumia tumbo tu
 
Nccr ni tawi letu ccm tunalifazili liwavuruge chadema na ACT make hivi vyama viwili vinatunyima usingizi kwa jinsi vinavyokubalika kwa wananchi
 
Back
Top Bottom