Kawe Alumni JF-Expert Member Joined Mar 20, 2019 Posts 8,685 Reaction score 12,000 Jun 27, 2020 #81 Nccr mageuzi ni ya pili kwa ubora baada ya Ccm Koko Mbwana said: Kuliko ccm? Click to expand...
Kawe Alumni JF-Expert Member Joined Mar 20, 2019 Posts 8,685 Reaction score 12,000 Jun 27, 2020 #82 Nccr mageuzi wameonyasha ukomavu wa kisiasa wanastahili kuwa chama kikuu cha upinzani Echolima said: Mkuu wa kaya alishawaahidi kuwapatia wabunge 20 ili tu kuua upinzani nchini Click to expand...
Nccr mageuzi wameonyasha ukomavu wa kisiasa wanastahili kuwa chama kikuu cha upinzani Echolima said: Mkuu wa kaya alishawaahidi kuwapatia wabunge 20 ili tu kuua upinzani nchini Click to expand...
I Imeloa JF-Expert Member Joined Jan 28, 2013 Posts 14,885 Reaction score 18,083 Jun 27, 2020 #83 Kwa nini leo ccm wanaoshabikia sana Nccr kwa sababu wamekuwa affiliate party na ndio maana wamegawiwa sehemu ya ile 1.5 trillioni ili wajijenge.
Kwa nini leo ccm wanaoshabikia sana Nccr kwa sababu wamekuwa affiliate party na ndio maana wamegawiwa sehemu ya ile 1.5 trillioni ili wajijenge.
I Imeloa JF-Expert Member Joined Jan 28, 2013 Posts 14,885 Reaction score 18,083 Jun 27, 2020 #84 Kawe Alumni said: Nccr mageuzi wameonyasha ukomavu wa kisiasa wanastahili kuwa chama kikuu cha upinzani Click to expand... Baada ya kukubali kuwa vibaraka. Mbona mnawaharibia hata mtoto mdogo anajua mmewafanya pandikizi.
Kawe Alumni said: Nccr mageuzi wameonyasha ukomavu wa kisiasa wanastahili kuwa chama kikuu cha upinzani Click to expand... Baada ya kukubali kuwa vibaraka. Mbona mnawaharibia hata mtoto mdogo anajua mmewafanya pandikizi.
B Bushesha jr JF-Expert Member Joined Apr 26, 2020 Posts 675 Reaction score 690 Jun 27, 2020 #85 Nyanjomigire said: Kwa nini leo ccm wanaoshabikia sana Nccr kwa sababu wamekuwa affiliate party na ndio maana wamegawiwa sehemu ya ile 1.5 trillioni ili wajijenge. Click to expand... Mimi ccm nashabikia act Wazalendo
Nyanjomigire said: Kwa nini leo ccm wanaoshabikia sana Nccr kwa sababu wamekuwa affiliate party na ndio maana wamegawiwa sehemu ya ile 1.5 trillioni ili wajijenge. Click to expand... Mimi ccm nashabikia act Wazalendo
T Themagufulianz JF-Expert Member Joined Apr 15, 2017 Posts 4,548 Reaction score 1,988 Jun 27, 2020 #86 True . mr chopa said: Chama kikuu Cha upinzani baada ya uchaguzi Click to expand...