Natamani kusema ukweli kuhusu hizo takwimu lakini naona Manyang'au akina MK254 yatazidi kutukoga! Anyway, labda niseme hivi... Nyang'au lolote litakalojiona ndo lenyewe kwa post yangu hii, basi huyo ni demu wangu in advance 🤣🤣!
Awali ya yote, nitamke wazi hizo takwimu zinasikitisha lakini ndo uhalisia wenyewe. Kwa upande mwingine, nikijikita Kusini mwa Jangwa la Sahara, I must pay my respect to Kenya. Modern Economy ndiyo imeiweka Kenya hapo ilipo, na naweza kuthubutu kusema ndio the best economy in South of Sahara if not the whole of Africa! WHY?
Nigeria is rich in oil and gas! South Africa is rich in minerals and a bunch of Wazungu! Take away gas and oil from Nigeria, and take away minerals and a bunch of Wazungu from South Africa, the net outcome will top Kenya above them all.
Of course, hata Kenya kuna Wazungu wa kutosha but native Kenyans contribution is still very significant.
Hapo juu nimeona mawazo ya tangu enzi za ujima yakitolewa na Los técnicos kwamba eti madini na gas haviozi!
Hayo ni mawazo ya ujima na ni mawazo yasiyo na maana yoyote kwenye karne hii ya watu kushinda maabara kutafuta mbadala wa kila kitu!!
Miongo kadhaa iliyopita mkonge lilikuwa ni zao ambalo liliingizia Tanzania millions of dollar lakini leo hii mkonge upo kaburini kwa sababu watu wamepata alternative!!
Leo hii ni duniani kuna Space X ya Elon Musk na Blue Origin ya Jeff Bezos, na yote haya yakiashiria Mars Colonization kwavile wenye akili zao wanaamini huko kunaweza kuwa na hazina kubwa ya raslimali kama vile nishati na madini!!
Vision ya Blue Origin kwa mfano, inasema:-
Haya mawazo yetu ya "No Hurry in Africa" yametulemaza sana, na inasikitisha hadi kesho bado watu wanaendelea kulemazwa na mawazo waliyotoa akina Nyerere miongo kadhaa iliyopita!!!
Na ni mawazo haya haya ya "madini na mafuta haviozi" ndiyo yaliyofanya consortium iliyotaka kujenga Gas Processing Plant pale Lindi igeukie Mozambique, hadi tutakapokuja kuona "now it's time" tayari Mozambique ishabeba soko la mafuta na gas!
Yaani badala ya kufikiria ni namna gani tunaweza kutumia raslimali tulizonazo at our advantage, bado tunaamini zikae tu, haviozi hivyo!
Na tutaendelea kuimba haziozi hadi tutakapokuja kushitushwa na maendeleo ya kiteknolojia kwamba, Wanasayansi kutoka nchi X hatimae wamegundua jinsi ya kugeuza available nitrogen which's 78% of air to natural gas or any other form of energy!
Wakati wa Mwalimu, ningemwelewa sana kwa sababu hata wasomi hatukuwa nao, lakini dunia ya leo kuwa na mawazo hayo hayo ni namna tu ya ku-justify our failure ya namna gani tunaweza kutumia raslimali zetu kwa faida!!
Awali ya yote, nitamke wazi hizo takwimu zinasikitisha lakini ndo uhalisia wenyewe. Kwa upande mwingine, nikijikita Kusini mwa Jangwa la Sahara, I must pay my respect to Kenya. Modern Economy ndiyo imeiweka Kenya hapo ilipo, na naweza kuthubutu kusema ndio the best economy in South of Sahara if not the whole of Africa! WHY?
Nigeria is rich in oil and gas! South Africa is rich in minerals and a bunch of Wazungu! Take away gas and oil from Nigeria, and take away minerals and a bunch of Wazungu from South Africa, the net outcome will top Kenya above them all.
Of course, hata Kenya kuna Wazungu wa kutosha but native Kenyans contribution is still very significant.
Hapo juu nimeona mawazo ya tangu enzi za ujima yakitolewa na Los técnicos kwamba eti madini na gas haviozi!
Hayo ni mawazo ya ujima na ni mawazo yasiyo na maana yoyote kwenye karne hii ya watu kushinda maabara kutafuta mbadala wa kila kitu!!
Miongo kadhaa iliyopita mkonge lilikuwa ni zao ambalo liliingizia Tanzania millions of dollar lakini leo hii mkonge upo kaburini kwa sababu watu wamepata alternative!!
Leo hii ni duniani kuna Space X ya Elon Musk na Blue Origin ya Jeff Bezos, na yote haya yakiashiria Mars Colonization kwavile wenye akili zao wanaamini huko kunaweza kuwa na hazina kubwa ya raslimali kama vile nishati na madini!!
Vision ya Blue Origin kwa mfano, inasema:-
Sasa watu endeleeni na mawazo yenu ya ujima ya kwamba mafuta na madini haviozi hadi mnapokuja kushituka watu wanasafirisha raslimali hizo hizo kutoka sayari nyingine kuja duniani!!!!Blue's vision is a future where millions of people are living and working in space. In order to preserve Earth, our home, for our grandchildren’s grandchildren, we must go to space to tap its unlimited resources and energy. If we can lower the cost of access to space with reusable launch vehicles, we can all enable this dynamic future for humanity.
Haya mawazo yetu ya "No Hurry in Africa" yametulemaza sana, na inasikitisha hadi kesho bado watu wanaendelea kulemazwa na mawazo waliyotoa akina Nyerere miongo kadhaa iliyopita!!!
Na ni mawazo haya haya ya "madini na mafuta haviozi" ndiyo yaliyofanya consortium iliyotaka kujenga Gas Processing Plant pale Lindi igeukie Mozambique, hadi tutakapokuja kuona "now it's time" tayari Mozambique ishabeba soko la mafuta na gas!
Yaani badala ya kufikiria ni namna gani tunaweza kutumia raslimali tulizonazo at our advantage, bado tunaamini zikae tu, haviozi hivyo!
Na tutaendelea kuimba haziozi hadi tutakapokuja kushitushwa na maendeleo ya kiteknolojia kwamba, Wanasayansi kutoka nchi X hatimae wamegundua jinsi ya kugeuza available nitrogen which's 78% of air to natural gas or any other form of energy!
Wakati wa Mwalimu, ningemwelewa sana kwa sababu hata wasomi hatukuwa nao, lakini dunia ya leo kuwa na mawazo hayo hayo ni namna tu ya ku-justify our failure ya namna gani tunaweza kutumia raslimali zetu kwa faida!!