Sisi hatuwekagi akiba? mbona tuliambiwa sisi ni matajiri tutembee kifua wazi.Nchi 10 za Afrika zenye akiba kubwa ya Dhahabu kwa mujibu wa Statistics
1. Algeria ๐ฉ๐ฟ - tani 174 za kipimo
2. Afrika Kusini ๐ฟ๐ฆ - tani 125 za metric
3. Libya ๐ฑ๐พ - tani za metric 117
4. Misri ๐ช๐ฌ - tani 80.73 za metric
5. Moroko ๐ฒ๐ฆ - tani za metric 22.12
6. Nigeria ๐ณ๐ฌ - tani 21.37 za metric
7. Mauritius ๐ฒ๐บ - tani 12.44 za metric
8. Ghana ๐ฌ๐ญ - tani 8.74 za metric
9. Tunisia ๐น๐ณ - tani 6.84 za metric
10. Msumbiji ๐ฒ๐ฟ - tani 3.94 za metric
View attachment 2259063
tujenge Ukuta mrefu afu juu tuweke nyanya za umeme kuzunguka maeneo yote ya migodi yetu ya dhahabu - afu ilindwe na JWTZ - tuone sasa kama hatuongozi duniani.Tanzania ya wanyonge haimo? Licha ya masoko kila kona
kwani Tanzania inachimba dhahabu?Tanzania ya wanyonge haimo? Licha ya masoko kila kona
Ndicho alichofanya Mwamba JPM pale A town kwenye madini ya Tanzanite, manyang'au yakaona yanazibiwa riziki, ni heri yampoteze tu mazima.tujenge Ukuta mrefu afu juu tuweke nyanya za umeme kuzunguka maeneo yote ya migodi yetu ya dhahabu - afu ilindwe na JWTZ - tuone sasa kama hatuongozi duniani.
[emoji1][emoji1] Juzi nimesikia msemaji wa Jeshi la Congo akisema jeshi lao Ni la 8 kwa nguvu Africa [emoji1][emoji1][emoji1].Hata Gold watakua wanazo ila hawapendi kujionyesha tu Kama Ali Kiba.Kwamba DRC hawamo?,Hizo takwimu zina walakini.
Mbona sio nchi tajiri pamoja na madini yote waliyo nayo?Kama kongo haimo!!Basi rekodi yako ni uongo!! kongo ndo nchi pekee tajiri duniani kuliko nchi yeyote kwa madini ya dhahabu na madini mengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahio alipotezwa?Ndicho alichofanya Mwamba JPM pale A town kwenye madini ya Tanzanite, manyang'au yakaona yanazibiwa riziki, ni heri yampoteze tu mazima.
Tanzania hatuna mali nyingi kama ambavyo huwa mnadanganyana kwenye vijiwe..Tanzania ya wanyonge haimo? Licha ya masoko kila kona
Viongozi wanahusikaje na reserves ya gold?Tanzania ๐น๐ฟ ina viongozi wa ๐ฎ
Yaliacha kutoroshwa? Pale bandari aliweka wanajeshi,Rushwa ilikoma?Ndicho alichofanya Mwamba JPM pale A town kwenye madini ya Tanzanite, manyang'au yakaona yanazibiwa riziki, ni heri yampoteze tu mazima.
Inatumika kutunza thamani ya pesa, yaani ni kama mbadala wa Fedha.Mimi nataka kuuliza kuelewa kinachofanya dhahabu inakua na thamani kiasi hiki Ni Nini?? Matumizi yake Ni hizi cheni na Pete tunazoona ndio kazi yake au Kuna matumizi mengine nisiyoyaelewa
Duuu! Ni kweli tunadanganywa mambo mengi sana!Tanzania hatuna mali nyingi kama ambavyo huwa mnadanganyana kwenye vijiwe..
Unakuta mnakomaa na kulaumu serikali as if nyie pekee ndio mnazo hapa Duniani kumbe ni kiduchu mnoo..
Madini ambayo tunayo kama yetu tumeshindwa kuyachimba kama helium.
Kwa hiyo hawana dhahabu?Wale ni kichwa cha ALMAS
Hata mimi najua hivyo.Kama kongo haimo!!Basi rekodi yako ni uongo!! kongo ndo nchi pekee tajiri duniani kuliko nchi yeyote kwa madini ya dhahabu na madini mengine
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23],Hapo kwa upande wa jeshi wameongopa, hawawezi kuwa wa 8.[emoji1][emoji1] Juzi nimesikia msemaji wa Jeshi la Congo akisema jeshi lao Ni la 8 kwa nguvu Africa [emoji1][emoji1][emoji1].Hata Gold watakua wanazo ila hawapendi kujionyesha tu Kama Ali Kiba.
Sisi tukipata tu tunauzaa ๐ฎ๐คฃ๐คฃTanzania ya wanyonge haimo? Licha ya masoko kila kona