Nchi 10 za Afrika zenye akiba kubwa ya Dhahabu kwa mujibu wa Statista

Sisi Majuha tunauza tu Kama njegere pori..Kukosa maarifa ni janga ukiangalia mfumo wa uongozi nchi hii Watu wa hovyo kabisa wanakula kama mafisi hawajui lolote na hawajali
 
Tanzania na Congo visiwa vya amani hatumo?
 
[emoji1][emoji1] Juzi nimesikia msemaji wa Jeshi la Congo akisema jeshi lao Ni la 8 kwa nguvu Africa [emoji1][emoji1][emoji1].Hata Gold watakua wanazo ila hawapendi kujionyesha tu Kama Ali Kiba.
Heheheee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…