Nchi ambazo huwa zinabana polisi hali ya usalama huwa mbaya sana

Nchi ambazo huwa zinabana polisi hali ya usalama huwa mbaya sana

Duh mpaka unajua idadi ya nyuzi?

Nitaacha kujua, hii inaonyesha ni jinsi gani polisi ni wajinga, ndio maana matumizi ya nguvu ni makubwa kuliko akili. Kama kweli mnaweza kudeal na majambazi na sio uonevu, kuna mtu hapa Dar alijiunganishia bomba la mafuta na akakamatwa, mbona hamkumuua?
 
Nitaacha kujua, hii inaonyesha ni jinsi gani polisi ni wajinga, ndio maana matumizi ya nguvu ni makubwa kuliko akili. Kama kweli mnaweza kudeal na majambazi na sio uonevu, kuna mtu hapa Dar alijiunganishia bomba la mafuta na akakamatwa, mbona hamkumuua?
Wewe ni mhalifu
 
Polisi yupi atakubali upark nje ya kituo chake? Wa tz? Ili umchinje kama mkuranga?
Hata hapa zamani walikuwa friendly kidogo, tangu vituo vianze kuvamiwa ukienda usiku unahojiwa kwanza tokea mbali kabla huhaingia kituoni

Hizo nchi ulizotaja subiri waanze kukabiliwa na mashambulizi kama utawasifia tena
Hizo nchi zimeanza zamani sana na zinazidi kuboresha!Chinsali kuna check point ya jeshi la Zambia hapo ukifika na ukichoka unaweka pit stop bila wasiwasi wowote, hivyo hivyo kwa sesheke njia panda (jeshi )
 
Ngoja nikupe kisanga kimoja...

Miaka ya 2000 kule Bariadi kulikuwa na ujambazi wa hali ya juu.. Sasa akikamatwa Jambazi ilikuwa kifo..

Kuna mzee mmoja alitembelewa na mtoto wa dada yake.. Akakaa kwake kama mwezi mmoja..

Huyo mgeni ni mpole.. Katulia hapo Bariadi kumbe ni jambazi hatari sana... Yaani anatafutwa Sirari.. Mpaka anavuka mpaka anaenda Kenya..

Baada ya mwezi mtoto wa Dada kaondoka na kuaga vizuri.. Kamnunulia mzee mbuzi wa nne wa kufuga... Zawadi za hapa na pale..

Kesho yake tuu Polisi hawa hapa.. kwa mzee.. Mzee anaulizwa mgeni wako yuko wapi..?
Mzee wa watu kapokea kipigo.. Akasafirishwa Lamadi.. Baadae mpaka Msoma... Mzee hajui chochote kile...
Yule Mzee alipata mateso kama miezi 8 ndipo wakajua hausiki na hajui mtoto wa dada kama ni jambazi na hajui alielekea wapi..
Karudi Bariadi anachechemea...aliumia akiwa ndani ili aweze kutoa ushirikiano kama anajua chochote... Akawa amepata kidonda mguuni hakiponi... Nk nk.. Baadae akajikuta kapata pressure na mambo mengi nk..

Baada ya miaka kama mitano akaondoka Duniani na msongo mkubwa wa mawazo...

Nauliza je Polisi waendelee kufanya operations namna hii bila weledi...?

Ndio maana tunataka majambazi washughulikie lakini akili itumike bila hivyo... Watachanganywa humo wasio husika
 
Ngoja nikupe kisanga kimoja...

Miaka ya 2000 kule Bariadi kulikuwa na ujambazi wa hali ya juu.. Sasa akikamatwa Jambazi ilikuwa kifo..

Kuna mzee mmoja alitembelewa na mtoto wa dada yake.. Akakaa kwake kama mwezi mmoja..

Huyo mgeni ni mpole.. Katulia hapo Bariadi kumbe ni jambazi hatari sana... Yaani anatafutwa Sirari.. Mpaka anavuka mpaka anaenda Kenya..

Baada ya mwezi mtoto wa Dada kaondoka na kuaga vizuri.. Kamnunulia mzee mbuzi wa nne wa kufuga... Zawadi za hapa na pale..

Kesho yake tuu Polisi hawa hapa.. kwa mzee.. Mzee anaulizwa mgeni wako yuko wapi..?
Mzee wa watu kapokea kipigo.. Akasafirishwa Lamadi.. Baadae mpaka Msoma... Mzee hajui chochote kile...
Yule Mzee alipata mateso kama miezi 8 ndipo wakajua hausiki na hajui mtoto wa dada kama ni jambazi na hajui alielekea wapi..
Karudi Bariadi anachechemea...aliumia akiwa ndani ili aweze kutoa ushirikiano kama anajua chochote... Akawa amepata kidonda mguuni hakiponi... Nk nk.. Baadae akajikuta kapata pressure na mambo mengi nk..

Baada ya miaka kama mitano akaondoka Duniani na msongo mkubwa wa mawazo...

Nauliza je Polisi waendelee kufanya operations namna hii bila weledi...?

Ndio maana tunataka majambazi washughulikie lakini akili itumike bila hivyo... Watachanganywa humo wasio husika
Mkuu mfano ulioutolea hapa ni pure police state ndivyo wanavyofanya,je nchi yetu ni police state?,President Samia ametoa amri kuwa peleleza kwanza then do arrest not other way round, elewa ni wajibu wa police to links na crime scene kabla ya kukamatwa, why mzee wa watu walimkamata bila links na crime?ndio maana nchi inahitaji katiba mpya maana itaondoa dhuluma hizi, mazuzu wa middle class wao wanaona Sawa.
 
unajua kukutwa na hatia mahakamani si lazima uwe umetenda kosa,na kukoswa na hatia mahakamani si kwamba ni kweli hukufanya kosa!!!!

wapo wahalifu akifika mahakamani hafungwi,hata ungealika ushahidi gani.
Kwa hiyo?
 
Nitaacha kujua, hii inaonyesha ni jinsi gani polisi ni wajinga, ndio maana matumizi ya nguvu ni makubwa kuliko akili. Kama kweli mnaweza kudeal na majambazi na sio uonevu, kuna mtu hapa Dar alijiunganishia bomba la mafuta na akakamatwa, mbona hamkumuua?
Kumbe shida sio kuua, ila wauawe wote wote
 
Kumbe shida sio kuua, ila wauawe wote wote

Si mnahalalisha polisi kuua majambazi, mbona hawajamuua huyo jambazi aliyejiunganishia bomba la mafuta na ushahidi wa ujambazi huo ulikuwa wazi?
 
Back
Top Bottom