Nchi gani nzuri ya kwenda kupumzika na kula raha za dunia

Nchi gani nzuri ya kwenda kupumzika na kula raha za dunia

Nawatakia wiki end njema membaz wote jf.
Ifikapo December 2018 napata likizo kubwa.na boss wangu kaniambia changua utanaka kwenda ukapumzike nchi gani.kiukweli nimekosa jibu la haraka nikamuomba anipe mda nifikiri wapi patanifaa. Kupitia wakuu wa humu ndani naimani nitapata sehemu sahihi ya kwenda kula laha.
Asante
Laha ni kitu gan?
 
Ikiwa uandishi wenyewe ndo huu. Mwangalie sana huyo boss wako. Atakuwa na lake jambo.usiamini amini watu... Maana unavyoandika tu unaonesha hata kazi uliipata kwa namna. Maneno haya. LAHA,CHANGUA,UTANAKA, huyo boss ashakugundua na anataka atumie hiyo nafasi kukunanii...


Nawatakia wiki end njema membaz wote jf.
Ifikapo December 2018 napata likizo kubwa.na boss wangu kaniambia changua utanaka kwenda ukapumzike nchi gani.kiukweli nimekosa jibu la haraka nikamuomba anipe mda nifikiri wapi patanifaa. Kupitia wakuu wa humu ndani naimani nitapata sehemu sahihi ya kwenda kula laha.
Asante
 
Halafu mtu huyu huyu kesho atakuja kulalamika kuwa anakaa kwa shemeji anamshika makalio dada yake makusud huku yeye anaona
 
Inategemea unapendelea nini labda ungesema vitu unaenjoy zaidi otherwise taste yangu nintofauti na yako.ila binafsi nataka nikaenjoy mbuga za wanyama .mwenye website ninqkoweza pata details za gharama kwa mtanzania tafadhari
 
Nawatakia wiki end njema membaz wote jf.
Ifikapo December 2018 napata likizo kubwa.na boss wangu kaniambia changua utanaka kwenda ukapumzike nchi gani.kiukweli nimekosa jibu la haraka nikamuomba anipe mda nifikiri wapi patanifaa. Kupitia wakuu wa humu ndani naimani nitapata sehemu sahihi ya kwenda kula laha.
Asante
Unaenda nae?
 
Back
Top Bottom