Nchi gani tofauti na Tanzania baadhi ya raia wake wanafurahia polisi kutoa kipigo kwa raia wengine karne hii?

Nchi gani tofauti na Tanzania baadhi ya raia wake wanafurahia polisi kutoa kipigo kwa raia wengine karne hii?

Hatutaki watu wanaochezea amani na uhuru wetu.
Mliandamana kwa amani mkapewa ulinzi.
Mkaanza kupanda mabega na slogan za kihaini ndio wananchi wakawashtukia kwamba lengo lenu ni madaraka na maslahi tu.
Mngengoja uchaguzi muanze slogan zenu.
Mlipokuwa na lengo zuri mliandamana bila tatizo.
Kwani hawo ccm wanaotumia hizo nguvu za policcm sio kutaka kuepo madarakani na maslahi yawe yanabakiaa na kuendelea kufanya hujuma kila siku kwa wanachi?
 
Pengine tafuta kwenye Google andika nchi zenye wapumbavu wengi utazikuta hizo nchi tena zimepangwa kwa utaratibu
 
Hatutaki watu wanaochezea amani na uhuru wetu.
Mliandamana kwa amani mkapewa ulinzi.
Mkaanza kupanda mabega na slogan za kihaini ndio wananchi wakawashtukia kwamba lengo lenu ni madaraka na maslahi tu.
Mngengoja uchaguzi muanze slogan zenu.
Mlipokuwa na lengo zuri mliandamana bila tatizo.
Wewe mama wewe.
 
Dharau kama hizi na kejeli ndio maana mnapuuzwa na majority ya mnaowaita wana matatizo ya akili.
Cha ajabu mnakuja tena kuomba kura kwa hao wenye matatizo ya akili.
Pole kwa kujijua na wewe ni mmojawapo miongoni mwa hao 95%!
 
Bongo ina maajabu yake.

Sijwahi kuona nchi yoyote duniani baadhi ya raia wake wanashadadia au wanafurahia police kupiga, kunyanyasa, kutaabisha au kusumbua raia wake wengine katika karne hii.

Hii ni ukiacha mataifa kama Marekani au Africa Kusini katika enzi zao za ubaguzi wa rangi.
Asilimia 80 ya watz ni mataahira yenye mtindio wa akili
 
Wamarekani huwa wanafurahia sana kuona polisi wanatoa kipigo kwa Wananchi wake.

Huwa wanasema maneno kama, 'You deserve what you got Asshole"

"Go back to your country"


...sio hivyo tu, hata Raisi yule chizi D Trump alipeleka Jeshi zima kuzima maandamano baada ya Polisi kumuua George Floyd.

Polisi wakizungu huwa Wanaua watu weusi kama 'trophy' na kupandishwa vyeo.
 
Si kila mtetea haki na mpiagnia maslahi ya Taifa anakuwa ni Kibaraka wa Wazungu? By the wazungu wapi hao unaowasema? Ni wale ambako kila wakati tunaelekea tukitembeza bakuli ? wale wanoatuchangue baudget yetu by 40%? Hujaeleweka hapa.
Kwani wewe mara ngapi unaona Chadema wanapeleka mashtaka Kwa Mabeberu wanaowapa pesa?
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Hivi yale mashtaka waliokabidhi UN baada ya yale maandamano ya awali walishajibiwa?Tanzania kama Taifa ilipewa adhabu gani?
Hawa nyumbu wanajiamulia mambo yao kwa mihemuko.Hakuna wa kumshauri mwingine.
 
Bongo ina maajabu yake.

Sijwahi kuona nchi yoyote duniani baadhi ya raia wake wanashadadia au wanafurahia police kupiga, kunyanyasa, kutaabisha au kusumbua raia wake wengine katika karne hii.

Hii ni ukiacha mataifa kama Marekani au Africa Kusini katika enzi zao za ubaguzi wa rangi.
Hii nchi watu wengi walivyo wapuuzi hata akitokea mwenda wazimu akasema nawaoa
Pole yako Sana, kwanza kabisa niseme tu kwamba Mimi sipo huko unakoninasibisha nako. Mimi ni mtu huru mwenye mitazamo huru katika fikra.

Mbili, napenda kukujulisha kwamba Mimi binafsi tangu awali nilikuwa na mtizamo tofauti kabisa na hiyo dhana ya kufanya maandamano waliyonayo Watu wa Chadema, kama ukifuatilia comment zangu za siku chache zilizopita kuhusu suala hili utabaini wazi kabisa kuwa Mimi nimekuwa nikipingana na wazo la kufanya maandamano kama ambavyo mpango wa Watu wa Chadema ulivyo. Endapo kama utakuwa siyo mnafiki, utaona kwamba Comment zangu nyingi Sana ukizifuatilia utaona kuwa nilikuwa sikubaliani na wazo lao hao Watu wa Chadema kuhusu kufanya maandamano, kwa sababu kwa maoni yangu ni kwamba maandamano siyo suluhu ya kudumu juu ya matatizo wanayolalamikia.
Ila watanzania kwa unafiki ! ,Hebu tupe hiyo opinion yako ambayo unaona inafaa zaidi kuliko plan ya maandamano ya Chadema , tupe ni mbinu gani Chadema watumie ili serikali ya mazezeta ccm irudishe watu waliotekwa na kupata justice kwa watu waliaouawa baada ya kutekwa na kuteswa na mahayawani wa polisi hao mnao wakingia kifua .
Msiwe mnaandika mambo kiwendawazimu ka mmenyofolewa ubongo , angekuwa ni ndugu yako mmoja wapo kati ya waliyetekwa au kuuawa na hao wapuuzi polisi usingeandika huu ujinga kama hawa wapumbavu wengine mataahira hapa jamii forum waliotapakaa humu wanachoandika .
Kuna Lundo tu la watu mamia kwa mamia ya watu wametekwa na polisi na kupotezwa na vibaka waliopewa leseni ya kuua nchi hii aka polisi mpaka leo , yule Boniface Jacob anapost karibia kila siku na wengine hata si wanachama wa Chadema , leo hii Chadema kuandaa maandamano ya amani kushinikiza serikali haramu ya ccm kuact na kuwa responsible ya yanayoendelea ndio kisingizio cha mamlaka haramu ya ccm kusema kwamba ni maandamano ya vurugu .
Jana Boniface amekamatwa na hao mahayawani wa polisi wakampa mashtaka ya jinai ,ni jinai gani ya kupost mamia ya watu waliopotea mapaka leo kwa kutekwa na kuuawa na polisi na wengine wamepotezwa na hao vibaka wa polisi mpaka sasa hawajulikani walipo , wewe kwako unaona hii ni sawa ?
Unajua repricautions na effects za hii trend ya utekaji kinyemela na mauaji inayoendelea ?

Tatizo la watz ni kuwa na akili fupi na kufikiri kwa urefu wa pua zao bila kuangalia mambo kwa mapana ,tu anaweza kudhani ni salama leo na mnufaika wa huu ugaidi na uharamia unaofanywa na ccm na vibaka wake hao wanaojiita vyombo vya dola lakini bila kuàngalia kwamba kuna siku na yeye trend hii hii kibao kitageuka na kumuumiza vile vile maana itakuwa ni kama utamaduni wa jinsi nchi inayoendeshwa na jamii ilivyo .

Shithole country full of shithole fools !
 
Mkoloni ni nani?Hizo lugha za kijinga ndio zinasababisha wengi wanawapuuza na kushangilia mkipewa kibano.
Badilikeni.
Wewe kvma mtoto wa kahaba tuliza chini mbunye hiyo , acha kuandika useng£ useng£ hapa na vitu visivyo na kichwa wala miguu .
Kapanue kalio hizo kwa mmeo na uache kuandika upumbavu humu .
Hapa sio facebook mbwa koko wewe
 
Bongo ina maajabu yake.

Sijwahi kuona nchi yoyote duniani baadhi ya raia wake wanashadadia au wanafurahia police kupiga, kunyanyasa, kutaabisha au kusumbua raia wake wengine katika karne hii.

Hii ni ukiacha mataifa kama Marekani au Africa Kusini katika enzi zao za ubaguzi wa rangi.
Hiki ni kiashirio kwamba nchi haipo salama mbele ya maadui sababu wananchi wamegawanyika pakubwa sana na kwa machungu kiasi cha adui adui akijitokeza ataonekana kama Mkombozi, just kama vile nchi inavyomalizwa kwa mikayaba ya hovyo, kuna wanaoshangilia na kusifia wakijiona ni wazalendo
 
Wewe kvma mtoto wa kahaba tuliza chini mbunye hiyo , acha kuandika useng£ useng£ hapa na vitu visivyo na kichwa wala miguu .
Kapanue kalio hizo kwa mmeo na uache kuandika upumbavu humu .
Hapa sio facebook mbwa koko wewe
Mbwa koko mama yako.Umejitokeza baada ya kukimbilia mvunguni . Keyboard warrior.
Msalimie mama yako mwambie nimemtumia pesa ya kanga.Usijali namsaidia baba yako pesa za matumizi.
 
Mbwa koko mama yako.Umejitokeza baada ya kukimbilia mvunguni . Keyboard warrior.
Msalimie mama yako mwambie nimemtumia pesa ya kanga.Usijali namsaidia baba yako pesa za matumizi.
Kampanulie ucchi mmeo akuhomole huko , usinipigie kelele mimi ,malaya wa kimboka taahira zwazwa mmoja
 
Back
Top Bottom