Nchi gani tofauti na Tanzania baadhi ya raia wake wanafurahia polisi kutoa kipigo kwa raia wengine karne hii?

Nchi gani tofauti na Tanzania baadhi ya raia wake wanafurahia polisi kutoa kipigo kwa raia wengine karne hii?

Nchi imekaa kinafiki hii, yaani hakuna tunaloliweza kwa asilimia 100, labda unafiki tu.
 
Mbona wewe umeshindwa kuitumia? 🤣🤣🤣🤣

Upuuzi kama huo hauwezi kutokea 🇹🇿,nyie ni bakora tuu

View: https://x.com/Kipanga1986/status/1838195046467645818?t=MAu17qF7lsVEEn9Iw90tcQ&s=19

Pole yako Sana, kwanza kabisa niseme tu kwamba Mimi sipo huko unakoninasibisha nako. Mimi ni mtu huru mwenye mitazamo huru katika fikra.

Mbili, napenda kukujulisha kwamba Mimi binafsi tangu awali nilikuwa na mtizamo tofauti kabisa na hiyo dhana ya kufanya maandamano waliyonayo Watu wa Chadema, kama ukifuatilia comment zangu za siku chache zilizopita kuhusu suala hili utabaini wazi kabisa kuwa Mimi nimekuwa nikipingana na wazo la kufanya maandamano kama ambavyo mpango wa Watu wa Chadema ulivyo. Endapo kama utakuwa siyo mnafiki, utaona kwamba Comment zangu nyingi Sana ukizifuatilia utaona kuwa nilikuwa sikubaliani na wazo lao hao Watu wa Chadema kuhusu kufanya maandamano, kwa sababu kwa maoni yangu ni kwamba maandamano siyo suluhu ya kudumu juu ya matatizo wanayolalamikia.
 
Waafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.

Hakuna haja ya kuwatetea wapumbavu wasiojitambua.

Watanzania ni wakuhujumiwa, kuibiwa, na kuwaacha na mashida yao yawapige kisawasawa mpaka pale akili zitakapo funguka.

Yani unapiga tozo, kodi, unaminya haswa, Mpaka maji waite Mmaa! Wenyewe wataingia barabarani.
Na bado kuna manabii wanawapiga , wapigwe tu mpaka wawe vichaa .
 
Dharau kama hizi na kejeli ndio maana mnapuuzwa na majority ya mnaowaita wana matatizo ya akili.
Cha ajabu mnakuja tena kuomba kura kwa hao wenye matatizo ya akili.
Kupuuza au Kupuuzwa sio tatizo,
Tatizo ni kushadadia na kushangilia ukatili.
 
Kupuuza au Kupuuzwa sio tatizo,
Tatizo ni kushadadia na kushangilia ukatili.
Ukatili upi umeshadadiwa au kushangiliwa?Maandamano yamepigwa marufuku.Hukubaliani na hlio nenda Mahakamani.
Kujipima uzito na kukaidi amri hiyo ya Polisi ni kukosa uweledi.Kwani matokeo ni kuyasambaratisha.
Matatizo ya kujitakia kilio huwa ni mjukuu.
 
Pole yako Sana, kwanza kabisa niseme tu kwamba Mimi sipo huko unakoninasibisha nako. Mimi ni mtu huru mwenye mitazamo huru katika fikra.

Mbili, napenda kukujulisha kwamba Mimi binafsi tangu awali nilikuwa na mtizamo tofauti kabisa na hiyo dhana ya kufanya maandamano waliyonayo Watu wa Chadema, kama ukifuatilia comment zangu za siku chache zilizopita kuhusu suala hili utabaini wazi kabisa kuwa Mimi nimekuwa nikipingana na wazo la kufanya maandamano kama ambavyo mpango wa Watu wa Chadema ulivyo. Endapo kama utakuwa siyo mnafiki, utaona kwamba Comment zangu nyingi Sana ukizifuatilia utaona kuwa nilikuwa sikubaliani na wazo lao hao Watu wa Chadema kuhusu kufanya maandamano, kwa sababu kwa maoni yangu ni kwamba maandamano siyo suluhu ya kudumu juu ya matatizo wanayolalamikia.
Tatizo la chadema kukosa uongozi makini,Mhe Lowassa alishawaasa aache siasa za uanaharakati haziwezi kuwafikisha kuchukua dola
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Tatizo la chadema kukosa uongozi makini,Mhe Lowassa alishawaasa aache siasa za uanaharakati haziwezi kuwafikisha kuchukua dola
Siasa za uanaharakati zina shida gani ukiacha huko kushindwa kuwafikisha kuchukua dola??
 
Siasa za uanaharakati zina shida gani ukiacha huko kushindwa kuwafikisha kuchukua dola??
Kwani lengo la siasa za uanaharakati ni nini?Kama unaharakati umeshindwa kuleta tija inayokusudiwa inabidi ubadilishe mbinu.
Kurudia jambo lile mara kwa mara na kufeli na kuendelea kurudia ukitegemea matokeo tofauti ni ukichaa.
 
siasa za kumtoa mkoloni huwezi fanikiwa kwenye mazingira haya
Mkoloni ni nani?Hizo lugha za kijinga ndio zinasababisha wengi wanawapuuza na kushangilia mkipewa kibano.
Badilikeni.
 
Ni proven fact, majority ya watanzania wana uwezo mdogo wa kuchanganua mambo, hawajui ya muhimu yapi, ya kijinga yapi ilimradi wameshiba mihogo n energy drinks, wamebishana kuhusu simba na yanga, wamebeti, Jux katoka na nani, wapi kuna mafuta ya upako na wapi kuna mganga...

Hata kuwapigania ni kupoteza tu mda wako
Umeelezea kwa kifupi, lakini sahihi kabisa.
 
Bongo ina maajabu yake.

Sijwahi kuona nchi yoyote duniani baadhi ya raia wake wanashadadia au wanafurahia police kupiga, kunyanyasa, kutaabisha au kusumbua raia wake wengine katika karne hii.

Hii ni ukiacha mataifa kama Marekani au Africa Kusini katika enzi zao za ubaguzi wa rangi.
Mkuu haya unayoyaona bongo polisi kukamata upinzani ndio haya haya yalikuwa enzi za mandela katika kutafuta haki, uko kusini mwa afrika. Kaiyo kuna siku hali itakuwa shwari na kitakuwa na usawa pande zote mbili. Ni suala la muda tuu
 
Kelele za mitandaoni lakini ukweli ukidhihiri waoga watupu.Mnyika yupo Kanisa la Katoliki Msimbazi kajifungia toka jana.Inadaiwa anafanya ibada.
Polisi wapo getini wakisubiri amalize ibada.
Gari zote zinazotoka zinapekuliwa.Ukiwa muoga wacha kuropoka na kuchochea.
 
Back
Top Bottom