Nchi hatari zaid kwa binadamu kuishi duniani! China, Iran & Saudi arabia

Nchi hatari zaid kwa binadamu kuishi duniani! China, Iran & Saudi arabia

hiyo heading ilitakiwa isomeke

Nchi hatari zaid kwa binadamu washenzi kuishi duniani! China, Iran & Saudi arabia​

Mkuu inategemea uko upande gani kama upo upande wa wanyongaji basi kwako wanaonyongwa ni washenzi!
Lakini kama upo upande wa wanyongwaji mara nyingine inaweza isiwe na huo mtazamo
 

Attachments

  • 73ACF944-5E4D-4C1B-843D-40E6DBCD76DF.jpeg
    73ACF944-5E4D-4C1B-843D-40E6DBCD76DF.jpeg
    1.3 MB · Views: 3
  • F6DFC34F-C697-41AB-9806-486654D8FA4D.jpeg
    F6DFC34F-C697-41AB-9806-486654D8FA4D.jpeg
    867.4 KB · Views: 3
  • D42E45B2-84B7-4D9A-A2C3-5CF287660C07.jpeg
    D42E45B2-84B7-4D9A-A2C3-5CF287660C07.jpeg
    1,018.6 KB · Views: 3
Hizi ni nchi hatari zaidi kwa watetezi wa uhai.Hunyonga mamia kwa mamia kila mwaka.

China watu zaidi ya 1000 kwa mwaka

Iran watu zaidi ya 500 kwa mwaka

Saudi Arabia watu zaidi ya 150 kwa mwaka.

Makosa ikiwa ni wanasiasa wa upinzani,madawa,ushoga ,Rushwa na uhaini

View attachment 2958799

IRAN pia ilinyonga watu waliojihusisha na maandamano juu ya kifo cha mwanamke ambaye aliuliwa na polisi kwa kutovaa hijabu.
Kaushi Isreal uone .Isreal kila mtu analindwa na askari 10
 
Hizi ni nchi hatari zaidi kwa watetezi wa uhai.Hunyonga mamia kwa mamia kila mwaka.

China watu zaidi ya 1000 kwa mwaka

Iran watu zaidi ya 500 kwa mwaka

Saudi Arabia watu zaidi ya 150 kwa mwaka.

Makosa ikiwa ni wanasiasa wa upinzani,madawa,ushoga ,Rushwa na uhaini

View attachment 2958799

IRAN pia ilinyonga watu waliojihusisha na maandamano juu ya kifo cha mwanamke ambaye aliuliwa na polisi kwa kutovaa hijabu.
Haki za binadamu za israel na USA ndio kunafaa ndio maana mnaingiliana wanaume kwa wanaume kwa kisingizio cha haki za binaadamu
 
Sasa kama we msaliti wa mother nation utaachwa?
Yaani we unakua rafiki na adui wa taifa lako.
We ndo wa kuunganisha assassination plot dhidi ya viongozi wa kijeshi, mabalozi na wanausalama wengine.
Wewe ndo mhamasishaji wa maandamano hatari juu ya taifa lako Kwa jina la demokrasia.
Nani akuache?
Hata hapa home hutabaki salama.
 
Sasa kama we msaliti wa mother nation utaachwa?
Yaani we unakua rafiki na adui wa taifa lako.
We ndo wa kuunganisha assassination plot dhidi ya viongozi wa kijeshi, mabalozi na wanausalama wengine.
Wewe ndo mhamasishaji wa maandamano hatari juu ya taifa lako Kwa jina la demokrasia.
Nani akuache?
Hata hapa home hutabaki salama.
Vipi walionyongwa kisa kuandamana
 
Vipi walionyongwa kisa kuandamana
Yaani maandamano Kwa nchi kama Iran ukionesha kuwa muumini wa mitizamo ya kimagharibi kama demokrasia Yao. Utaondoka.
Ni kama Kwa nchi kama Israel uanze kuonesha misimamo ya kuiunga mkono Iran . Hutabaki salama.
Ulizia kilichompata Yizhak Rabin alipojaribu normalization na Wapalestina.
Pia ulizia kilichompata JFD alipojaribu normalization na Soviet.
Usalama wa taifa ni zaidi ya demokrasia.
 
Yaani maandamano Kwa nchi kama Iran ukionesha kuwa muumini wa mitizamo ya kimagharibi kama demokrasia Yao. Utaondoka.
Ni kama Kwa nchi kama Israel uanze kuonesha misimamo ya kuiunga mkono Iran . Hutabaki salama.
Ulizia kilichompata Yizhak Rabin alipojaribu normalization na Wapalestina.
Pia ulizia kilichompata JFD alipojaribu normalization na Soviet.
Usalama wa taifa ni zaidi ya demokrasia.
Ha ha ha nakuelewa lakini aliyeuliwa alikua hajavaa ijabu! na haikuwa haki kumuua mtu kisa kuvaa kitambaa
 
Si hatari maana waharifu wanajua watakipata cha mtema kuni.

Sasa nchi hizo ambazo wewe waona salama, chukulia mexico, us watu wanauana wenyewe. Mwanafunzi anaweza chukua bunduki akaanza rusha risasi kwa wanafunzi wenzake. Na ni matukio ya kila mara.
Ni salama zaidi kuwa huko kuliko nchi hizo nyingine.

Ona yule rais aliyechukua magang wote katia gerezani, raia wake wanafurahi nchi imekuwa salama eti haki za binadamu wanaanza ooh amevunja haki zao wakati nchi ilikuwa inaongozwa na magenge hadi raia wanakimbia nchi na hawarudi. Now ni salama hadi watalii wanatembea mtaani kwa amani
Nchi ipi hiyo mkuu? Nataka nikazurure huko.
 
Hizi ni nchi hatari zaidi kwa watetezi wa uhai.Hunyonga mamia kwa mamia kila mwaka.

China watu zaidi ya 1000 kwa mwaka

Iran watu zaidi ya 500 kwa mwaka

Saudi Arabia watu zaidi ya 150 kwa mwaka.

Makosa ikiwa ni wanasiasa wa upinzani,madawa,ushoga ,Rushwa na uhaini

View attachment 2958799

IRAN pia ilinyonga watu waliojihusisha na maandamano juu ya kifo cha mwanamke ambaye aliuliwa na polisi kwa kutovaa hijabu.
Ingefaa tuibinafsishe Zenji kwa China walau kwa mwaka mmoja ili kukomesha ushoga, ila sema zaidi ya 90% watanyongwa chap chap
 
Back
Top Bottom